Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kwa mara ya kwanza kituo cha BBC ambacho kinarusha vipindi vyake moja kwa moja London toka mwaka 1957 hadi sasa hivi wakati naandika uzi, kwa sasa matangazo yatakuwa yanarushwa dsm Tnzania kwa...
3 Reactions
41 Replies
10K Views
Je lipo neno moja la kiswahili la tafsiri ya stationery? Nimejaribu google translate sikupata.
1 Reactions
42 Replies
28K Views
Wanaintelligensia, leo nakuja kifalsafa, hebu tuchemshe akili katika kuambiana maana na matumizi ya maneno hayo hapo juu, ukweli ni upi na uhalisia ni upi. Asanteni.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wanaJF ningepebda kujua nini maana ya maneno yafuatayo ambayo yanatumika katika mchakato wa katiba mpya. 1-Randama 2- Bango Kitita Ahsante naomba kuwasilisha.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Mambo. Mimi ni msomaji wa kiswahili na nataka kujua vile watu wanaongea barabarani. Ni noma kusoma hii lugha kisanifu halafu kwenda nje kugundua kwamba inatumika tofauti kabisa. Kwa mfano...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za muda huu, Nimejiuliza bila kupata majibu kwamba jina hili "kondakta" tunalotumia kwenye usafiri wa umma, chanzo chake au asili yake ni lugha gani? Nimewaza kwamba limetoka kwenye...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
hii ni sehemu ya pili ya shairi nilotunga kumkumbuka Meja KHATIBU MSHINDO. 5)ULIITAMANI HAKI,WATU WAISHI KWA AMANI. WAISHI BILA MIKIKI,NDO FURAHA DUNIANI. ROHO YAKO ITABAKI,TWAKUMBUKA MAISHANI...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HILI NI SEHEMU YA KWANZA YA SHAIRI NILOTUNGA KUKUMBUKA KIFO CHA MEJA KHATIBU MSHINDO,ALIYEFARIKI AKILINDA AMANI NCHINI CONGO. 1>ILIKUWA MACHI MOJA,ULIPOJIUNGA JESHINI. TENA KWA MOYO...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Umofia Kwenu wana JF, Kuna neno "Boma" huwa linatumika sana hapa kwetu tanzania wakimaanisha ni jengo chakavu au pagale! Boma kwanza si neno la kiswahili bali ni kifupisho cha British Overseas...
1 Reactions
4 Replies
8K Views
Ndugu zangu hapa Dar ni chuo gani au kituo gani kinafundisha vizuri lugha ya kiingereza 'english course' cha kuongea na kuandika. Maana naona matangazo mengi sana mitaani, redioni na tv kuhusu...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Tukienzini Kiswahili chetu, x haina nafasi kwenye kuandika Kiswahili acheni ujinga.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari yenu, mimi jina langu Jasmine. nimetoka nchi ya uchina. nimejifunza kiswahili kwa...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Kibanda umiza - is a local cinema where all movies are translated live to Kiswahili by a DJ, so that the audience can understand. Baobonye - Keyboard Neno au msemo gani wa Kiswahili uliouona...
0 Reactions
1 Replies
14K Views
Miongoni mwa vyombo vya habari vyenye weledi usio na shaka katika habari zake ni BBC Swahili. Nami nimekuwa msikilizaji na msomaji wa chombo hiki kwa muda mrefu sasa hasa nyakati za asubuhi na...
2 Reactions
44 Replies
7K Views
Wandugu natafuta mtu wa kunifundisha Mandarin kwa hapa Dar es Salaam.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ziwe mbili au tatu, Hilo Bado mgogoto, Nina mengi nawazua, wa kunifumbua hola, Na hata akitokea, Heko yake nitampa, Ziwe mbili au tatu; Serikali Tanzania? Tume yake Warioba, Maoni ilikusanya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kila lugha ina maneno fulani yanayosumbua wanaojifunza hiyo lugha. Nimegundua katika Kiingereza yapo haya maneno yanayotumiwa vibaya na baadhi ya watu kama ifuatavyo: their, there, they are...
4 Reactions
117 Replies
15K Views
Salaam wana JF! Kuna hili tatizo ambalo nimeliona katika jamii yetu (humu JF) na kwenye mitandao mingine ya kijamii. Nalo ni la kuchanganya matumizi ya maneno 'lose' na 'loose'. Haya maneno ya...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wanajamvi manju ni nani,au ni nini?
0 Reactions
8 Replies
26K Views
siku hizi mimi naona neno la jamaa. inaonekana neno ya jamaa kuna maana mengi. 1. Amekwenda kuwatembelea ndugu, jamaa na marafiki. Hapa jamaa ina maana watu ambao una mahusiano nao ya...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Back
Top Bottom