Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
  • Sticky
Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi huu ili kusaidia watu kujua virefu vya maneno mafupi tunayokutana nayo. Hii ni baada ya kusoma uzi mmoja na mtu kuuliza nini maana ya LED! LED - Light Emitting...
10 Reactions
710 Replies
215K Views
  • Sticky
Mimi Mama wawili (naamini na wengine wengi) nina nia sana ya kujifunza na kuboresha uwezo wangu wa kutumia Lugha ya Kiingereza. Nimeomba ushauri na nimepata jibu kuwa kuna washiriki wengi hapa...
47 Reactions
2K Replies
195K Views
  • Sticky
Mambo vipi waungwana,naomba kama kuna mtu ana Dictionary ya kiingereza yaani English to Swahili au Swahili to English anisaidie nilikuwa nayo kwenye Computer yangu baada ya kui-format imekuwa kati...
10 Reactions
94 Replies
105K Views
Achari yalisha. The pickle is an appetizer. Pickles make the guest relish the food. (If you need something from someone request for it in a polite and pleasant manner.) Ada ya mja hunena...
4 Reactions
606 Replies
769K Views
Nimekuwa nasikia maneno haya lakini yananichanganya kujua matumizi yake sahihi. Vukiza au fukiza? Vundika au vumbika? Kompyuta? Mtandao ila ingawa msanii puchu mkwara mwake chuna mbongo Ninayo...
1 Reactions
362 Replies
257K Views
Ekyawe kyawe kijunda nokala!
13 Reactions
1K Replies
216K Views
Kuna ripoti fulani nilikuwa nasoma nikakutana na neno "vifaranga" ikimaanisha samaki wachanga. Ni sawa samaki wachanga kuitwa vifaranga? Majina mengine ya watoto (vikembe) wa wanyama mbalimbali...
2 Reactions
44 Replies
211K Views
Hebu Pata Kumi Bora za Wahenga ________________________________________ Wahenga ni wazee wenye akili waliotutangulia maana siyo kila mzee ana akili kwa sababu hata wajinga wanazeeka. Mjinga...
3 Reactions
18 Replies
149K Views
  • Redirect
Ningependa sana kujikumbusha hizi..na sina uhahika kama bado zinafundishwa shule zetu za msingi!! Amevaa mawani =amelewa Amekula chumvi nyingi = amezeeka Mgaa gaa mpwa hali wali mkavu Kipya...
1 Reactions
Replies
Views
Whap'am? - Hello? The official national language of Jamaica is English although Jamaicans speak an English dialect called ''Jamaican Patois''. The communication accent can be difficult for other...
4 Reactions
22 Replies
118K Views
Moyo ulianza kunienda kwa kasi, viganja vilianza kulowa jasho, na koo lilinikauka nilipokuwa nikikata kona kuingia katika eneo la Hospitali ya Bombo, mjini Tanga. Moyo wangu ulikuwa umegubikwa na...
0 Reactions
9 Replies
114K Views
Wadau nimetatizwa na swali jepesi nadhani nimesahau ama sikuwahi kufahamu Hivi hizi rangi kama Pink; Blue. Silver, Peach, Gray, na nyinginezo zinaitwaje kwa kiswahili? Niondoleeni aibu...
1 Reactions
51 Replies
113K Views
Kwa nilivyosikia mimi neno shikamoo maana yake ni "niko chini ya miguu yako. Pia nimesikia hilo neno ni la kitumwa na lilikuwa linatumiwa na watumwa kuwaonyesha heshima wakuu wao. Kuna baadhi...
7 Reactions
356 Replies
99K Views
Kuna SMS mbali mbali za busara ambazo watu hutumiana kwenye simu za mikononi zikiwa na jumbe mbali mbali za kuelemisha, kufariji, kutia moyo, kukosoa, kukejeli, kuasa, utani na vichekesho ambapo...
0 Reactions
3 Replies
97K Views
1.Ukitaka kujua raha ya daladala kusiwe na foleni. 2. ............................
5 Reactions
553 Replies
96K Views
Nilipata kumsikia mtu akisema hangependa aitwe "mswahili". Nikapatwa na maswali mengi kichwani kwani mtu huyu alikua mzawa, mweusi na anaishi DSM. Kabla sijamtaka undani kwa kauli yake hii...
0 Reactions
215 Replies
94K Views
Baadhi ya Riwaya kama kufa na kupona, Njama na Kikomo.
2 Reactions
166 Replies
93K Views
Kuna haja ya kujulishana misamiati mipya ya lugha yetu adhimu. Kila siku lugha yetu inakua na misamiati inaongezeka kila siku. Hapa kuna baadhi ya misamiati, pia naomba ndugu zangu muongezee...
7 Reactions
125 Replies
89K Views
Kama walivyo waendesha vyombo vya moto huwa na majina rasmi mfano: Muendesha ndege ni Rubani Muendesha gari ni Dereva Muendesha meli ni Nahodha Je muendesha treni au garimoshi anaitwa nani?
0 Reactions
30 Replies
88K Views
Uswazi ndiko misemo inakoibukia....cheki hii misemo na weka ya kwako..... Usijisifu una mbio, msifu na anaekukimbiza....... Fukara hafilisiki.... Ukijenga nyumba ya vioo usianzishe ugomvi wa...
0 Reactions
123 Replies
85K Views
Neno CV au curriculum vitae linaitwaje kwa Kiswahili?
2 Reactions
93 Replies
79K Views
wataalamu hebu nifafanulieni hapa binamu ndio nani kwa kiingereza? na cousin kwa kiswahili? na niece kwa kiswahili? nephew kwa kiswahili???????? asanteni.....
0 Reactions
31 Replies
77K Views
Back
Top Bottom