JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wanajukwaa heshima kwenu. Katika pilikapilika za kujiajiri kuna kipengele nimekwama, nahitaji tolori bora kwa ajiri ya kubebea zege, je ni wapi naweza kupata tolori imara? Maana kuna moja...
0 Reactions
3 Replies
480 Views
Naomba kufahamu sehemu ninakoweza kupata vipuri vya gari aina ya Toyota Fielder. Vinahitajika mjini Mwanza.
1 Reactions
7 Replies
834 Views
Habari wana Jf, natumai mu wazima. Leo naomba kuuliza wataalam walio wahi kumiliki/Kutengeneza gari aina ya Honda Fit, naomba kujua yafuatayo: 1. Ustahimilovu wa miundombinu (Barabara za...
4 Reactions
126 Replies
33K Views
Wadau naomba kama kuna mtu ana uzoefu na hili anisaidie, nimenunua vitz rs kwa mtu na katika kupiga mahesabu naona inaenda 8km per litre, sasa kwa uzoefu wangu ilipaswa angalau ifikishe 12km...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu Habari. Nimekuwa nikipaka rangi kwa mafundi wa hapa na pale kila ninapopata tatizo la body ya gari. Hii imepelekea gari kuwa na rangi tofauti tofauti mfano mlango unakuta rangi imekolea...
4 Reactions
43 Replies
17K Views
Nimenunua gari aina tajwa hapo juu,je kwa kawaida gari hii ikiwa smart haina usumbufu,hutumia liter moja kwa kilometres ngapi?,msaada tafadhali
4 Reactions
40 Replies
2K Views
Wasalaam wakuu,moja kwa moja kwenye mada. Mimi Napenda Sana hili gari Aina ya Toyota ipsum old model,yaani hii gari ipo moyoni sio siri. Naomba kujua bei yake kutoka Japan mpaka Dar au kama...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni gari iliyojijengea heshima duniani kote, hususani Africa kutokana na uwezo wake wakukabili barabara mbovu na korofi, uimara wake na uwezo wa kuishi muda mrefu. Tuachane na hizo sijui Prado...
3 Reactions
18 Replies
5K Views
Wakuu nina passo 1kr piston 3 mwaka wa 2 na nusu naitumia na safari zangu ni hapahapa town ila nimegundua kwamba inakula lita 1 kwa km 9. Nadhani kwa passo labda inakula km 15 kwa lita ila naona...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Nina mpango wa kununua gari aina ya Pich Up used. Hivyo naomba kujua kati ya Toyota na Nissani ipi ni bora in terms of Bei, uimara, service na matumizi ya mafuta. Asanteni.
7 Reactions
41 Replies
5K Views
Greetings wadau wangu, Please Naomba ushauri sahihi kuhusu gari tajwa hapo juu, Mimi ninahitaji gari SUV ya diesel ambayo Ina reliability ya Hali ya juu, durability ya Hali ya juu, stability ya...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta kijana mwenye utaalam wa kuchanganya Rangi za magari .nipigie 0713454603
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau poleni na majukumu. Ninahitaji gari Toyota succeed, 2 wheels iliyotumika hapa Dar, yenye hali nzuri. Bajeti yangu ni 7mil. Mwenye nayo tuwasiliane 0624 210 241
0 Reactions
0 Replies
441 Views
Wakuu kuna mdau yupo kwenye IST ila kwa sasa anataka abadili kutoka IST hadi kumiliki kati ya Harrier au Klugger. Kwa namna ambavyo wajuzi mpo humu naomba tumsaidie mdau, je ni gari gani kati ya...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wajapani wanawezaje kutunza gari na kubaki mpya kiasi hiki ikiwa na miaka 28. Japan ni nchi ya visiwa visiwa, hali ya hewa ya joto na wakati mwingine baridi Kali, upepo unavuma chumvi, vitu...
21 Reactions
181 Replies
18K Views
Habari zenu wana janvi. Kuna ishu imenipata ninataka ku repair gari yangu katika kupaka rangi na kunyoosha body ikae sawa, irudi mpya( gari yangu ni Toyota Verrosa, silver) ni sehemu ndogo ndogo...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wana JF, Naomba kujulishwa mambo yafuatayo kwa wanaofahamu. 1. Chuo kinachotoa mafunzo ya udereva wa pikipiki Dar es salaam (Specifically wilaya ya Temeke). 2. Jinsi ya Kupata Leseni ya...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Gari yangu ni Toyota Kluger, Kuna siku ilileta shida nikapeleka gereji pale kariakoo Kuanzia hapo imeanza kuwa na mlio mbaya, haina nguvu, na consumption ya mafuta imekuwa juu Sana Sasa...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Kama Heading inavyosomeka,tupendekeze route Mpya ambazo zinahitaji usafiri wa mabasi kwa kuanzishwa route Mpya au kuongeza idadi ya mabasi. Mimi napendekeza route zifuatazo, Mbeya-Kahama via...
5 Reactions
86 Replies
4K Views
Wakuu habari! Msaada kidogo kwa wajuzi wa magari. Nina gari (Toyota Ractis) nikiendesha nahisi harufu ya petrol mbichi ndani ya gari. Nimepeleka kwa fundi kabadili plug lakini bado tatizo halijaisha.
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom