Wanajukwaa heshima kwenu.
Katika pilikapilika za kujiajiri kuna kipengele nimekwama, nahitaji tolori bora kwa ajiri ya kubebea zege, je ni wapi naweza kupata tolori imara? Maana kuna moja...
Habari wana Jf, natumai mu wazima.
Leo naomba kuuliza wataalam walio wahi kumiliki/Kutengeneza gari aina ya Honda Fit, naomba kujua yafuatayo:
1. Ustahimilovu wa miundombinu (Barabara za...
Wadau naomba kama kuna mtu ana uzoefu na hili anisaidie, nimenunua vitz rs kwa mtu na katika kupiga mahesabu naona inaenda 8km per litre, sasa kwa uzoefu wangu ilipaswa angalau ifikishe 12km...
Wakuu Habari.
Nimekuwa nikipaka rangi kwa mafundi wa hapa na pale kila ninapopata tatizo la body ya gari.
Hii imepelekea gari kuwa na rangi tofauti tofauti mfano mlango unakuta rangi imekolea...
Wasalaam wakuu,moja kwa moja kwenye mada.
Mimi Napenda Sana hili gari Aina ya Toyota ipsum old model,yaani hii gari ipo moyoni sio siri.
Naomba kujua bei yake kutoka Japan mpaka Dar au kama...
Ni gari iliyojijengea heshima duniani kote, hususani Africa kutokana na uwezo wake wakukabili barabara mbovu na korofi, uimara wake na uwezo wa kuishi muda mrefu. Tuachane na hizo sijui Prado...
Wakuu nina passo 1kr piston 3 mwaka wa 2 na nusu naitumia na safari zangu ni hapahapa town ila nimegundua kwamba inakula lita 1 kwa km 9. Nadhani kwa passo labda inakula km 15 kwa lita ila naona...
Nina mpango wa kununua gari aina ya Pich Up used. Hivyo naomba kujua kati ya Toyota na Nissani ipi ni bora in terms of Bei, uimara, service na matumizi ya mafuta. Asanteni.
Greetings wadau wangu,
Please Naomba ushauri sahihi kuhusu gari tajwa hapo juu, Mimi ninahitaji gari SUV ya diesel ambayo Ina reliability ya Hali ya juu, durability ya Hali ya juu, stability ya...
Wadau poleni na majukumu.
Ninahitaji gari Toyota succeed, 2 wheels iliyotumika hapa Dar, yenye hali nzuri.
Bajeti yangu ni 7mil.
Mwenye nayo tuwasiliane
0624 210 241
Wakuu kuna mdau yupo kwenye IST ila kwa sasa anataka abadili kutoka IST hadi kumiliki kati ya Harrier au Klugger.
Kwa namna ambavyo wajuzi mpo humu naomba tumsaidie mdau, je ni gari gani kati ya...
Wajapani wanawezaje kutunza gari na kubaki mpya kiasi hiki ikiwa na miaka 28. Japan ni nchi ya visiwa visiwa, hali ya hewa ya joto na wakati mwingine baridi Kali, upepo unavuma chumvi, vitu...
Habari zenu wana janvi.
Kuna ishu imenipata ninataka ku repair gari yangu katika kupaka rangi na kunyoosha body ikae sawa, irudi mpya( gari yangu ni Toyota Verrosa, silver) ni sehemu ndogo ndogo...
Habari wana JF, Naomba kujulishwa mambo yafuatayo kwa wanaofahamu.
1. Chuo kinachotoa mafunzo ya udereva wa pikipiki Dar es salaam (Specifically wilaya ya Temeke).
2. Jinsi ya Kupata Leseni ya...
Gari yangu ni Toyota Kluger,
Kuna siku ilileta shida nikapeleka gereji pale kariakoo
Kuanzia hapo imeanza kuwa na mlio mbaya, haina nguvu, na consumption ya mafuta imekuwa juu Sana
Sasa...
Kama Heading inavyosomeka,tupendekeze route Mpya ambazo zinahitaji usafiri wa mabasi kwa kuanzishwa route Mpya au kuongeza idadi ya mabasi.
Mimi napendekeza route zifuatazo,
Mbeya-Kahama via...
Wakuu habari! Msaada kidogo kwa wajuzi wa magari. Nina gari (Toyota Ractis) nikiendesha nahisi harufu ya petrol mbichi ndani ya gari. Nimepeleka kwa fundi kabadili plug lakini bado tatizo halijaisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.