Wanajamvi Naomba Msaada wa Kujuzwa Program Gani ambayo Nitaandika kwa Kiswahili kisha intranslate kwa English.
Naitaji Kuandika Makala za Mada Kazaa..Sasa Siitajia kufanya makosa katika Uandishi...
Kati ya SUV kali aliyotoa Mitsubish hi hii mitsubishi outlander 2022
Mwaka 2016, Nissan-Renault Alliance walinunua share ya Mitsubishi kwa 34% wakiwa wamiliki wenye hisa kubwa kwenye Kampuni ya...
Nna gari aina mark x inasumbua sana tatizo la starter na power steering. Hasa starter. Jinsi lilivyo ukiliwasha Majira ya asubuhi litawaka vzuri ukitembea kuanzia kilometer 40 kuendelea au ukikaa...
Welcome to the Formula 1 official thread.
Anything related to F1, you are welcome.
Teams:
1. Red Bull Racing
2. Ferrari
3. Mercedes
4. Alpine
5. McLaren
6. Alfa Romeo
7. Haas F1 Team
8. Alpha...
Wajuzi naomba ushauri baada ya kujichanga na ni mpya ktk kumiliki usafiri. Lipi gari zuri kwa matumizi private, ukizingatia uchumi pande za spare, durability, running expences kati ya prado...
Habarini za kazi,
Jana nilienda kufanya service kwenye kababy walker kangu. Baada ya service ya kawaida (kubadili oil, greasing n.k) fundi akaangalia transmission fluid (ni ya toyota ATF Type IV)...
Kama kichwa cha habari hapo kinavyoeleza maombeni msaada wa DIAGRAM ya ist yenye engine ya 1nz fe na ile ya 2nz fe kwa mwenye nazo anisaidie wakuu nina shida nazo kwa mwenye nazo naomba me na kwa...
Na gari ndogo ya abilia Aina ya Rosa. Inasumbua Sasa kuzima gafla. Fundi moja amesema pump za umeme zinasumbua anasema nibadili. Ila bajeti inakuja m4+. Sijaelewa.
Nahitaji fundi aliyoko Kanda ya...
Wakuu naombeni msaada nifanye Nini kuondoa mis kwenye gari ya Suzuki Swift old model 2001 ilianza baada ya kuosha engine.
Fundi amenishauri nibadilishe plug, pump lakini bado miss ipo vilevile...
Miami International Boat Show ni maonyesho makubwa ya boti na vifaa mbalimbali vya majini. Mashindano haya hufanyika katika mji wa Miami huko Marekani na kukutanisha makampuni ya utengenezaji...
Habarini wana jamvi,
Naomba kujua ubora wa gari kutoka kampuni ya autocom japan maana naona bei zao ni nafuu kidogo ukilinganisha na wauzaji wengine (Befoward & sbt).
Je, nini kina chagiza hili...
Salama wana GT
Kuna jamaa anataka kununua family car, na baada ya search ya muda mreefu amepata Honda Crossroad ila hana uhakika na upatikanaji wa spare parts, so anaomba ushauri kwenye spare...
Wakuu
Naomba msaada.Hii gari sijawahi kubadili Oil tangu ninunue hivyo imefika wakati nataka kuweka Engine Oil.Naomba ushauri wa Engine bora kabisa na genuine kwa gari hii.
Ahsanteni
Habari za saa hizi wakuu, poleni na majukumu, gari yangu (corolla spacio) ilipata majanga iligongwa mbele vitu vyote vya mbele vikaharibika including fan, radiator na vyote vya mbele pale, so...
Wadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.
Ombi langu kwenu: Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo...
Kampuni hiyo ya kuunda Magari imesema taarifa zilizovuja ni pamoja barua pepe 296,019, namba za wateja wanaotumia mfumo wa T-Connect na namba za simu zinazounganisha magari kupitia mtandao...
Naombeni kujua bei ya engine and gearbox mtumba za scania 124.
Kuna mtu anataka kuniuzia lakini naona anataja bei kubwa kuliko nilivyoelekezwa na fundi wangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.