JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Kuna rational gani katika hili, kwamba ukirudi reverse na ukakata kulia gari inaenda kushoto, why?
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Wakuu ni hivi, nilimwanga coolant yote kwenye rejeta, pia nikafunfungu koki kwenye injini na kumwaga yote. Halafu nikajaza upya kama lita 5 hivi, cha ajabu hata nikitembea km 10, nakuta maji...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Heshima kwenu wanajukwaa, naomba muongozo kwayeyote mwenye uelewa... Kuna gari ndogo cc1500 natarajia mwisho wamwezi huu itoke inchini burundi kuja hapa Tanzania, isajiliwe upya hapa Tz, sasa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau gharama ya statar ya Mercedes Benz c180 used. Fuer pump pia.
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari!, Naomba kujua Pros (+) na Cons (-) za gari Mercedes A170 W169 CVT transmission. Natanguliza shukrani
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu kwema. Naomba msaada kujua kama naweza kubadilisha namba ya gari kutoka B kwenda D. Na kama inawezekana gharama zipoje na gari yenyewe ni ndogo ya kutembelea.
4 Reactions
43 Replies
17K Views
Toyota IST ya 2005 kwenye dash board kuna check Engine light y Battery tatizo linaweza kuwa nini
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani wale tuliokutwa na ushamba baada ya kumiliki gari kwa mara ya kwanza tulete visa tulivyokutana navyo hapa. Binafsi baada ya kununua premio nilikuwa naiendesha huku nikiwa nimewasha...
21 Reactions
108 Replies
13K Views
Hii ni Xtrail ya 2007/8. Taa ya check engine inawaka lakini gari inafanya kazi vizuri tu. Nimejaribu procedure za kui-reset lakini bado. Pia nilichomoa battery kwa sekunde chache lakini bado. Kuna...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimepitia makala mbali mbali kuhusu cooling system za kwenye magari, baada ya kumpa jamaa yangu gari kwa zaidi ya miezi miwili ( nilisafiri mkoa wa mbali kikazi) Nimerudi baada ya kuchukua gari...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari, gari yangu imeandika neno ABS Kwenye Dash Board na imejilock, nimejaribu kuwasha kwa push to start Button ila Haiwaki nimechomeka Funguo nayo imenasa humo, Naombeni Msaada wakuu.
8 Reactions
84 Replies
10K Views
Hii gari hapa inatokaje?
2 Reactions
3 Replies
426 Views
Naomba mwenye connection za makampuni wanaouza magari toka Dubai. Nahitaji bus na trucks. Aksanteni
1 Reactions
4 Replies
788 Views
Naomba mwenye kuijua hii gari , Nimetokea kuipenda saana, Spea,mwendo,Mafuta nk
1 Reactions
10 Replies
931 Views
Hii Laki Tano na Nusu ni kwa Pesa ya Mama Samia + usafiri kikipanda meli mpaka bandarini nauli kinalipa $1500 kama Million Tatu na Nusu, Yani nauli ni mara sita ya gharama halisi ya msafiri...
6 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu Salam, Moja kwa moja kwenye mada tajwa, naomba uzoefu wenu wa aina hii ya gari "urban cruiser" Kuna ambayo ni manual yanatumia diesel na kuna Auto yanayotumia petrol [emoji618] japo zipo...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau, Naomba mwenye ufahamu anisaidie,nikitaka kununua gari ambalo lilisamehewa kodi ya serikali(Tax exempted) linalomilikiwa na taasisi kidini,Je ni nitapaswa kulipia ile gharama ya kodi...
3 Reactions
47 Replies
3K Views
habari zenu ndugu nnahitaji gear box ya manual na vikorokoro vyake vyote. gari ni corona premio 7afe ya 1998. mawasiliano...0710882764
1 Reactions
5 Replies
589 Views
Kwa yoyote yule anejua sehemu naweza pata usukani wa gari ndogo muundo wa Airbag uwe mpya au used, kuna chuma nimenunua wakora walipora usukani.
4 Reactions
22 Replies
1K Views
  • Redirect
Wadau nahitaji kununua gari aina ya Honda CrossRoad naomba ushauri kwa watalamu hasa kujua uimara, vifaa na utumiaji wa Mafuta.
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom