Habari wadau, nimenunua pikipiki mpya Boxer BM 150, kwa ajili ya matumiz binafsi napenda kufahamu ni mda gani sahihi au ni baada ya KM ngapi natakiwa kubadili Engine oil.
Shukrani sana.
Wakuu zangu nimetembea na Nissan Dualis Mpaka Musoma pasipo kupumzika na kuizima.
Je, vipi kuhusu Gearbox yake kwa Skendo za kufa? Kweli imenifurahisha na imetembea sana.
habari za jioni wakuu, niliazima gari ya rafiki yangu kwenda nayo sehemu flani, wakati wa kuondoka sehemu hiyo nilijaribu sana kukanyaga brake ili ni push the button kuwasha gari ila ikagoma...
Naomba kueleweshwa kuhusu hizo gari kuhusiana na uimara na utumiaji wake wa mafuta.
Mwenye uelewa please.
Au ushauri gari gani nyingine inayofanana muundo na hizo ambayo ni economy kwenye mafuta...
Speedometer imekuwa calibrated kusoma speed ya gari kupitia mzunguko wa tairi.. Diameter ya tairi inacover distance fulani..!
Ukipunguza size ya tairi itasababisha gari kwenda spidi ndogo zaidi ya...
Huyu jamaa huwa anatumia syllabus gani...mbona kama namna anaelezea mifumo ya engine na utendaji wa magari ni wa zamani ..
Ni sawa na mm kusoma kitabu cha zaman kinachoelezea namna engine za...
Wakuu nimerudi tena, Nadhani mtakuwa mnaniona hapa mara kwa mara Kila nitakapopata changamoto
Juzi kati nilipata safari ya Dodoma nikaenda na Beamer (BMW X3) na ndio ilikuwa kwa mara ya kwanza...
Habari wadau,
Mimi bhana nataka ninunue iyo gari na bajeti yangu ni 18M je show room naweza nikaipata kwa bei iyo mana Crown athelet yangu nimeiuza jana 13M sasa nimeongezea hapo 5M nataka iyo...
Habari wadau, leo nimeona nifanye kushare na nyinyi kidogo kuhusu uchaguzi wa magari hasa linalokuja suala la bei.
Ni wazi bei za magari hazifanani, mfano Rav 4 latest model na Vanguard latest...
Wakuu Habari zenu naomba Msaada ya rpm, pikipiki yangu Ile Cc110 nimekuwa nashindwa kuelewa je rpm ina umuhimu gani na ina Msaada gani kama Dereva?
Mfano nikiwa kwenye speed ya 50 rpm inakuwa...
Wakuu katika kuzunguka mtandaoni nimepata Suzuki Escudo 2700cc, MT, japo Bei imechangamka Ila naimudu. Mwenye kujua gari tajwa anishauri kabla sijatuma pesa. Asanteni
Wakuu, mwaka huu mwishoni nimepanga kufanya safari kuendesha hiyo ndinga kwenye picha kutoka Cape Town South Africa mpaka Dar es Salaam Tanzania karibia Kilomita 5,000.
Kuna yeyote yaliyewahi...
Naona post zake Insta akitoa maelezo kuhusu service za magari,anatoa darasa zuri sana kupitia video clip zake,hasa kwenye kuibiwa masega anayemfahamu kwa undani pliz ni fundi mzuri kwa vitendo au...
Msaada wataalam, taa za mbele zina kama vumbi kwa ndani na nataka kufuta hilo vumbi, je kuna uwezekano wa kufungua kioo nikafuta kwa ndani kisha nikagundisha tena?
Wakuu niliibiwa na gari mwaka jana mwez wa kumi na mbili, gari ilikua na bima kubwa. Niliwasilisha taarifa yqngu bima, na uchunguzi wa polisi umekamilika lakini hakuna kilichobainika mpaka sasa...
Habar zenu Wadau[emoji8]
I hope mpo pouwah na Mnaendelea na Majukumu Ya Ujenzi wa Taifa Letu.
Nina ombi moja hapa.
Kuna ndugu yangu yupo Arusha anahitaj gar ya kutembelea na Bajet yake ni 7.5m...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.