Wadau mimi huwa nina tatizo moja na mafundi. Fundi wangu wa muda mrefu alipata dharura akasafiri. Nikaanza mtumia mwingine. Gari ilibadilika ulaji wa mafuta ikawa inatumia lita 1 kwa kms 6. Wife...
Wakuu habari,
Naomba kuulizia magari ambayo hayali mafuta kwa siku unaweza weka lita ngapi? Mfano unaenda nalo kazini tu kila siku.
Umbali wa kazini na nyumbani kwa daladala ni 1000 kwenda na...
Habari wadau. Kuna kitu huwa kinanitatiza kuhusu ubora wa mafuta ya gari kwenye vituo vyetu. Je hivi vituo (petrol station) zina mafuta yenye ubora sawa au kuna ambao mafuta yao yana mapungufu...
Tunatoa huduma ya Diagnosis ya Gari kwa bei ya kishkaji Tsh 20,000 tu.
Huduma itakua na moja au yote kati ya haya:
1. Read and Clear Check Engine Lights.
2. Read and Erase ABS & SRS trouble...
Wadau heshima kwenu.
Naendelea kupata maoni yenu kama kawaida, naomba kwa mwenye uzoefu wa hizo gari tajwa hapo juu aniambie nini hasa utafauti wake hasa kwenye
1. Ulaji wa mafuta..wastani km...
Wakuu nimezipenda hizi gari ni ndogo kimuonekano kama bajaji vile unaweza penya kwenye foleni, zina engine ndogo hivyo kuwa na matumizi madogo ya mafuta pia.
Je kuna mwenye uelewa zaidi...
Habarini wakuu kunasafari ambayo inabidi nisafari mapema mwanzo mwa mwaka ujao nadhani itakuwa kati kati ya mwezi januari ambayo ntatoka dsm kwenda kusin mkoani ruvuma ila Cjawahi safiri umbali...
Jamani napenda kujifunza nna kagari kangu nnako mwaka sasa kapo sawa ila napenda kufahamu ni sehemu gani huwa inasumbua ili niwe makini na service ndogo nafanya after 3000 km. Kwa wale wazoefu plz...
-Alternator ya Harrier new model yenye engine 2AZ
-Battery ya gari 12V N50
Nahitaji bei ya hivyo vitu vikiwa vipya na vikiwa used
Natanguliza shukrani.
Habari wana jamvi? naomba kuwauliza hasa wataalam wa umeme wa tattzo la gage kwenye dashboard(cluster) za nissan patrol yenye main na sub tank husabishwa na nn? na linatatuliwa kwa ambao...
Wakuu naomba ufafanuzi juu ya matumizi sahihi ya spliter kwenye magar makubwa hii ni baada ya ubishi mkubwa uliojitokeza.. Wengine walidai unaweza tumia spliter kwenye gia zote kuanzia 1-6 kwa...
Habari wanajamvi,
Nimejichangachanga nimepata 12M, je naweza kuagiza gari tajwa hapo juu kutoka Japan.
Pia, ukiacha makampuni ya Beforward na Tradecarview, nani wengine wenye huduma nzuri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.