Hello ndugunina tatizo nahitaji mnisaidie,
Nna Gari yangu Toyota premio ambapo imekuwa ikitetemesha mguu unapopunguza mwendo hasa ukiwa kuanzia speed 60
Tatizo hili limedumu kwa miez miwili sasa...
Kwema ndugu zangu?
Gari yangu ni runx inagonga sana mguu wa kulia wa mbele nikiingia rough road. Nimepeleka kwa fundi akasema nibadilishe shockup lkn bado inapiga kelele yani inagonga sana...
Naombeni ushauri kujua ni engine gani za Toyota chini ya cc2000 ambazo hazisumbui na spear zake ninapatikana kwa wingi na kwa bei rahisi? Wengine wanasema ni 5E kama za Toyata Raumu na wengine...
Msaada wakuu, maana nishatembea mwaka mzima, uwa namwaga Oil ya Engine tu..
Pia service gani nyingine natakiwa kufanya maana chombo bado hiko Poa, si mnajua ki gari cha kwanza wakuu, kwaiyo mambo...
Gari ilipata ajari, engine inawaka kama kawaida, hub ya nyuma kushoto imeng'oka na bodi ndiyo kama hivyo. Zipo gereji wanaweza kulirudisha gari kwenye muonekano wake wa awali? Msaada tafadhali...
Ndg wapendwa naomba kusaidiwa juu ya tatizo nililokumbana nalo kwenye gari aina ya nissan vanete, gari hii ilikuwa nzima lkn kumetokea miss ambayo imeshindikana kutoka chanzo ni kwamba pale...
Msaada nawezaje kununua gari online kutoka Japan ikanifikia Tanzania? Je, ni njia salama? Naweza kufanikiwa? Kwa maana naona gari mtandaoni ni gharama ndogo sana ukilinganisha na zinavyouzwa...
Members nimetokea kuipenda hii gari muundo wake nataka kumuagizia wife nauliza kwa yoyote mwenye kuijua vema
Je, kwa mazingira ya Tanzania itafaa?
Spear zake upatikanaji wake upoje?
Kuna mafundi...
Wakuu wangu nawasalimu.
Naomba kujuzwa Garage Gani nzuri isio na usumbufu ambayo naweza peleka kiatu changu kilicho pata ajali na kukipaki home Kwa zaidi ya miez kadhaa kwa ajili ya kujichanga...
Wakuu habari za majukumu ya siku nzima?
Wadau ningependa kujua ubora wa hizi gari katika nyanja tofauti tofauti kama vile:-
1. Ubora wa engine, body na gear box.
2. Upatikanaji wa spare...
Habarini wataalamu,
Naomba ushauri kati hizo mbili gari ipi ipo vizuri katika vipengele vifuatavyo:
1. Uimara wa bodi
2. Gharama za spare zake.
3. Inaweza kwenda safari ya km 600 (mara moja kwa...
Makampuni ya kutengeneza magari hutengeneza Engine au Gear box mpya kwa ajili ya spare kwa magari yatayoharibika?
Biashara nyingi hufanyika kwa engine na gearbox used! Kama hawatengenezi ni...
Habari
Kwa mkoa wa Dar es Salaam, ni zipi kampuni best kwa kukodisha magari?
Na je mtu anaweza kupata choice ya magari yafuatayo:
- Range Rover
- Audi
- Landcruiser V8
Natanguliza shukrani...
Pikpiki yang nkiwasha inaonyesha alama nyekundu picha yake hapo chini hii alama kila ninapoiwasha hali ambayo mwanzo haikuwepo naombeni msaada wa kujua kama kuna kitu kimeharibika ama service ya...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema!
Nimenunua gari kwa mtu ambaye naye alilinunua kwa mtu na hakuwa amefanya mabadiliko ya kadi.
Nia yangu ni kuwa na kadi ya gari kwa jina langu. Kadi bado...
Zimepita siku 515 toka Kampuni ya Tesla kutangaza kuwa gari yao aina ya Tesla Roadster imeanza safari kuelekea Mars.
Mpaka kufikia Mwaka jana gari hio ilikua ishatembea maili milioni 179 Kwa...
IST/Vitz/Swift/Honda Fit
Ninamiliki moja kati ya hizo babywoka.
Nachotaka kujua ni je: Gari yangu itakua na matatizo sehemu ama ndio kawaida ya hizi babywoka.
Siku za weekend demu wangu huwa...
Gari ukiendesha vizuri inatumia mafuta vizuri hadi unashangaa. Kuna kipindi huwa unaweza kupata hata km20/lita kwa gari ya CC2000. Ila haichukui muda inarudi kwenye 10-12km/l.
Kuna sehemu huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.