Maisha kila siku ni changamoto ila mpaka ukutane na changamoto hizo.
Asilimia kubwa ya magari yetu tunapenda kutumia mfumo wa key remote ndio habari ya mjini.
Lakini ni hatari kama usipokuwa...
Hizi ni Gari Aina tatu tofauti lkn mm nimeshindwa kuelewa utofauti wake labda naweza kutofautisha kwa muonekano lakini sio kuwa ubora ukubwa wa engine na uimara wa hizo Gari.
Mwenye uelewa naomba...
Napenda kujua vizuri utofauti wa haya magari new model iko vipi? Na old model iko vipi
1.kimuonekano
2.ukubwa wa engine
3.mwaka wa kutengenezwa
4.wastani wa bei kwa hapa Tanzania
Napenda kujua...
Habari za leo ndugu zangu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nataka nikasomee udereva hasa lengo likiwa nikusafirisha abiria yaani kuanza na magari kama cruiser na Coaster (Manual) na kupata...
Habarini wadau.
Napenda nifahamishwe zaidi kuhusu hii gari, kuna mtu anataka tufanye biashara. Kwa mnaozijua hizi gari zina changamoto gani na zina ubora au uzuri gani?!
Wakuu, Kuna jamaa anataka kuniuzia Corolla yenye muundo Kama wa harrier kiaina, engine 5a afu manual namba B, ushauri wenu hizi gari ni nzuri? Changamoto zake ni zipi?
Msaada wadau, Kuna Gari nimeipenda ipo zanzibar na muhusika anasema Gari imekaa Miaka 2 kule, ni cc 1800 Toyota celica, nilipomuuliza kuhusu kodi akasema haizidi 2m kitu ambacho nimepata mashaka...
Vipi wakuu?
Nimeanza kujifunza kuendesha gari, ninawezaje kumudu kukata kona kwa uzuri kabisa bila shaka? N akuhakikisha ninakaa kwney line yangu bila kukwangua pembeni.
Nipo ninasoma komenti.
Baada ya mtanange wa kuelekea katika ukurasa mpya wa teknolojia endeshi ya Magari ukiongozwa na mshika mwenge "Tesla Motors" hatimae mwaka 2020 ulikuwa mwaka wa mapinduzi sana ambapo asilimia 80...
Mh, yani process hizi zinavyozidi kuwa nyingi hofu yangu ni kwamba kuna dili zinaweza kuanza.
Ukaguzi huu ataelipia ni mnunuaji hakika ni maumivu ukiachilia mbali kodi zilizoongezeka kuagiza...
Nataka kujua kuna madhara gani yatajitokeza katika gari yangu endapo nitatoa Resonator tank? Kwa ambae haijui hii resonator ni kitank flan kinakaa chini ya battery pale kimeungwa na mfumo wa...
Jamani wataalamu gari yangu aina ya Alteza inamatege kwenye tyres za nyuma. Inakula upande wa ndani tatizo nini aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu,
Nina Subaru legacy ambayo matatizo yake yalianza mara baada ya kubadilisha timing belt, baada ya hapo cylinder head ikaliwa, baada ya kubadilisha nayo tu baada ya masaa machache...
Nimeona tangazo la TBS(Nimeli attach hapo) kuwa kuanzia mwezi March mtu akiagiza gari kutoka nje,halitakaguliwa hukohuko nje
Utaratibu uliopo sasa ni kuwa gari inakaguliwa hukohuko nje kupitia...
Mwanzoni gari yangu ya Vitz nilikua nikiwasha then nikaweka kwenye D pasipo kushusha hand break chini?huwa haisogei mbele?? Ila nashangaa leo nimeweka D then hand break ikiwa bado imesimama ma...
Niliwah leta hii mada mm nina marafiki wengi Na kila anaetaka kuendesha gar langu anaeendesha kwa kadri alivoelekezwa.
Je uendeshaji wa gar Miguu miwili ni nini atahar au faida tofauti na mguu...
Nmeona gari nyingi sana zikepigwa misumali flani hivi ya silver milangoni,madirishani na sehemu mbalimbali za gari. Sijaelewa huu ni urembo wa aina gani. Nmeuliza nimeambiwa mnaita "libiti"
Pia...
naombeni msaada wa piki piki hizi mbili kati ya toyo 150 na boxer bm 150 , mimi ni mpenzi sana wa piki piki toka india kama hyo boxer nataka nunua kwa ajil ya mbishe zangu za mjin na mara moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.