Habari wakuu?
Napenda hili gari Toyota RAV4 1998 ila nimeshindwa kutofautisha kati ya RAV4 J V na RAV4 L V. Naomba mwenye uzoefu wa kujua tofauti ya hizi gari ni nini, nataka kujua ili nikanunue...
Ndugu zangu habarini
Nataka kununua gari lakini nipo dilemma lipi nichague kati ya hizi mbili kulingana na maisha yetu, uimara ,upatikanaji vifaa pamoja na uzuri.
Baada ya kuchuja nimepata gari...
Wakuu,
Naomba Mdau yoyote mwenye User Manual (Mwongozo wa Mtumiaji) gari ya aina ya Toyota Probox anisaidie. Nahitaji soft copy ya mwongozo huo. Waweza attach hapa.
Asante
Toyota Prado ni gari mahususi ambayo imetengenezwa kwa ajili ya safari ndefu Sio mizinguko mifupi fupi ya mjini.Hivi mtu kumiliki Hilo dude kwa safari za mizunguko ya mjini Ni akili au ujinga...
Habarini wadau wa JF natafuta pikipiki ya kufanyia mishe za boda boda ila kwa sasa sina ufahamu mzuri wa ubora na changamoto za hayo makampuni.
Hivyo kwa mwenye uwelewa naomba anijuze. Natumaini...
Ndugu zangu habari zenu nyote...
Mimi natafuta garage au mafundi bora kabisa wa bodi kwa ujumla wake kwa maana ya kunyoosha na kupiga rangi upya + engine katika jiji la Mwanza....
Nimepata taabu...
Wakuu salama? Kuna gari nataka ni import imesimama sana nmeipenda ni toyota ist ila hapa sijapaelewa kwenye picha. Mafundi nielewesheni shida ni nini? Nisije nunua gari kumbe mbovu.
Kwenu mafundi.
Wakuu leo asubuhi, gari iliniletea usumbufu, tatizo ni steering kuwa ngumu sana kama naendesha fiat, na kwenye dash board likatokea neno P/S hapo tatizo nini.
Nifanye nini?
Wakuu salama? Kuna gari nataka ni import imesimama sana nmeipenda ni toyota ist ila hapa sijapaelewa kwenye picha. Mafundi nielewesheni shida ni nini? Nisije nunua gari kumbe mbovu.
Kwenu mafundi.
Wakuu, naagiza gari hapa kutoka Japan, Harrier tako la nyani ya 2008 kwa usd 5700, km 61k, je nilipie ama napigwa.
Naomba uzoefu wenu kwenye hili.
Ahsante
Wakuu nawasalimu katika jina la jukwaa hili.Nina changamoto fulani ambayo ningependa mnisaidie katika haya masuala ya uendeshaji wa magari ya automatic.
Mimi sina mda mrefu tokea nijifunze...
Wadau nataka kubadili matumizi ya ka-IST kangu kawe cha biashara, angalau kanisaidie kupunguza ugumu wa maisha.
Naomba mnisaidie taratibu nazo takiwa kizifuata katika kufanikisha hili katika...
Maisha kila siku ni changamoto ila mpaka ukutane na changamoto hizo.
Asilimia kubwa ya magari yetu tunapenda kutumia mfumo wa key remote ndio habari ya mjini.
Lakini ni hatari kama usipokuwa...
Hizi ni Gari Aina tatu tofauti lkn mm nimeshindwa kuelewa utofauti wake labda naweza kutofautisha kwa muonekano lakini sio kuwa ubora ukubwa wa engine na uimara wa hizo Gari.
Mwenye uelewa naomba...
Napenda kujua vizuri utofauti wa haya magari new model iko vipi? Na old model iko vipi
1.kimuonekano
2.ukubwa wa engine
3.mwaka wa kutengenezwa
4.wastani wa bei kwa hapa Tanzania
Napenda kujua...
Habari za leo ndugu zangu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nataka nikasomee udereva hasa lengo likiwa nikusafirisha abiria yaani kuanza na magari kama cruiser na Coaster (Manual) na kupata...
Habarini wadau.
Napenda nifahamishwe zaidi kuhusu hii gari, kuna mtu anataka tufanye biashara. Kwa mnaozijua hizi gari zina changamoto gani na zina ubora au uzuri gani?!
Wakuu, Kuna jamaa anataka kuniuzia Corolla yenye muundo Kama wa harrier kiaina, engine 5a afu manual namba B, ushauri wenu hizi gari ni nzuri? Changamoto zake ni zipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.