Wadau habari,
Mwezi uliopita kupitia STB JAPAN niliweza kuagiza gari tajwa kwenye tittle from abroad bahati nzuri imefika ipo bandarini so kuanzia this week ntaishughulikia malipo yote bandarini...
Catalytic converter theft on the rise in the UK
Increased precious metal prices have driven a rise in the number of stolen catalytic converters in the last year
Catalytic converter thefts are...
Habarini wapendwa kwema!!! Nina gari yangu aina ya Toyota corolla fielder shida kubwa kila nikiiwasha inawaka halafu inazimika nikirudia tena bado inazimika, ila ukiiwasha halafu ukaikanyangia...
Wakuu habar zenu.
Hivi kati ya lubricant/oil kati ya kampuni ya TOTAL na CASTROL ipi ni nzuri na ipo juu ya mwenzie? Hapo namaanisha quality. Naona watu wengi wanatumia total kuliko castrol.
Ipi...
Wasaalam ndugu wa jf garage.
Katika kupita pita mtandaoni nikabahatika kukutana na anime ya initial d ambayo inahusiana na kijana wa kijapan aitwaye takumi fujiwara ambaye anatokea katika...
Naombeni mautaalamu hapa hivi ni nini kinafanya huo moto unatokea hapo nyuma? Nimewatch sana hio video, ila bongo kuja kumiliki hzo ndinga tunasafar ndefu sana.
Jamani mwenye uzoefu wa hizi gari Nissan Hard Bord D22 hii huwa kuna muda ukiiwasha inaweza ikaenda vizuri ila katikati ya safari ina poteza nguvu mpaka uizime uwashe tena na kuikanyaga lesi ndipo...
Wajuzi ebu mnisaidie hapo, nahitaji moja ambayo ni durable, imara, less consuming(fuel), availability of spare na ziko cheap. Dukani hawaaminiki Sana wanasema kulingana na bidhaa walizonazo...
Wadau,
Naomba mnijuze
Kwanini gari yenye cc zinazofanana zinaweza kuwa na speed tofauti?
Kwa mfano za ki-Japan mwisho 180km/h wakati za Ulaya (Germany) zipo mpaka 240.
Je, ni kitu gani...
Wapendwa,
Gari yangu ina tatizo Hili, ikiwa kwenye mwendo halafu ataka kuongeza/kupunguza mwendo gari haiendi inajiresi kwanza kidogo ndio iachie. Inakuwa kama nimeshika breki huku nimekanyaga...
Naomba ushauri nini nifanye gari yangu nissan tiida wametiunga ule unga unaokaa kwenye exhaust muungurumo umekuwa mkubwa je ninaweza kuipata ingine hata ya kuagiza au hazipatikani au nifanyeje...
Habari jaman,
Naomba kueleweshwa vizuri juu ya huu utaratibu mpya wa bima za vyombo vya moto, Je?
1. bei ya bima ndogo imebadilika?
2. tunakata io bima kwa hawa hawa mawakala au ni hadi bank...
Wakuu kwema?
Hivi gari ya cc 990 na cc 1290, zina tofauti gani kwenye suala la kupiga masafa marefu?
Maana wengine wanasema kama gari engine capacity yake ni ndogo huwezi kwenda nalo masafa...
Habarini ndugu, nilikuwa na mpango wa kununua gari aina ya IST, ghfla nimetoka kuvutiwa sana na izi gari aina ya nissan dualis, nikaona ngoja kwanza niwashirikishe ndugu zangu humu ili kujua...
Nilikuwa naendesha kila mara inafika stage gari inadecelerates na kuzimika, ukiwasha inawaka unakimbia kidogo inazimika, nimefanya hivo mara nyingi mpaka nikafika safari ya km 45, fuel ilikuwa...
Katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kuuza magari huko duniani, nimegundua ukiachana na Toyota na Magari ya ulaya bei zake sio rafiki kwetu dunia ya tatu
Nimegundua Mazda wana brand nzuri za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.