Kuna hatua sita za kufuata ndani ya dakika mbili tangu kupasuka tairi ambazo unapaswa kuzifuata.
1. USIHAMAKI wala Kukanyaga Breki, tulia kwanza kwa sababu mara baada ya kupasuka tairi gari lako...
Kiukweli mi naikubali hii gari, kwanza mwonekano wake ni Luxury halafu pia iko tough kwa masafa marefu.
Wadau mnasemaje kuhusiana na mambo ya kiufundi, ubora, bei, na mengine mengi juu ya hii gari?
Habari.
Mwenye ujuzi na masuala ya Engine Oil sahihi kwa gari tajwa hapo juu yenye CC 2990 GRS 182 maana naona kama mafundi wetu ni changamoto hivi.
Mwanzo niliweka Castrol iliandikwa 5W~20 na...
Baada ya kupambana na toyota/mjapani kwa muda mrefu (tunajua anasaidia kujenga barabara zetu lakini yeye pia anapata $$ $ za kutosha kutoka ununuzi wa magari yake).
Ni wakati wa kuabdili upepo na...
Wakuu naomba tusaidiane kujua uimara na udhaifu wa hio gar mana nimeiona nikasema ngoja nishee nanyi hapa ili wadau muidadavue hasa kwa wale wenye nayo
Ina cc 1340 hivo najua kuna wadau wanaweza...
Wakuu kuna jamaa yangu anatafuta wanapotoa kozi za magari makubwa ya kusafirishia mafuta na mizigo kwa gari kubwa anataka kujifunza kuendesha hayo magari kwa anaejua au anahusika msaada...
Gari ina namna moja tu ya kufidia endapo nguvu itazalishwa kidogo, ambayo ni kuongeza kiasi cha mafuta.
Engine ya gari ili iweze kuzalisha nguvu iliyokusudiwa ni lazima kuwe na mafuta, Cheche...
Sijajua kama na tabia za madalali wa vitu vingine zipo hivi. Lakini nmewalenga sana madalali wa magari.
1. Lower your expectations.
Huwa mnakuwa na matarajio makubwa sana mkishapata mteja...
Wakuu habar za weekend,
Ndugu yenu nimejichanga nataka na mimi nimiliki gari na hii ndo mara yangu ya kwanza kumiliki usafiri.
Nimeona kabla sijafanya maamuzi nije kwenu wakuu mnishauri mawili...
Milango ya abiria ya noah road tourer, ikifunga haibani vizuri, hata mifumo ya umeme haifiki vizuri, ukifunga kuna uwazi, shida inaweza kuwa nini wataalam na ufumbuzi wake ni nini?msaada tafadhali.
Moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,, sijui ndio ushamba au ndio kukosa maarifa ya kibiashara (business strategies"), au ni ulimbukeni!!???
Kusema ukweli nashindwa...
Wakuu kwema?
Nimejichangachanga nimepata 5.5m kuna mhindi nilisoma nae chuo anataka kuniuzia Toyota fielder ambayo ni plate number A, plan yangu nilitaka hasa Ist, Sienta au Rav lakini bajeti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.