Habari za majukumu ndugu zangu nauliza wapi naweza kupata engine ya pegeout 504 sr saloon plus gear box yake used well mantained in a good condition na price niko moshi
Asante sana.
Tofauti ya Harrier na Rav 4 Old Model
1. Uundwaji na Moboresho
Harrier iliundwa baadae miaka ya 1998 ikadumu mpaka 2002 wakati Rav 4 iliundwa miaka ya 1995 ikadumu mpaka 1999. Hivyo Harrier...
Bado watu wa Subaru tuna tatizo na genuine parts hasa mpya, natafuta brake shoe OG za forester sh5 2008 , nipeni machimbo wakuu. Pale Kinondoni 0-60 zipo chache na sio zote.
Wakuu salama?
Juzi nilipata crush ikapelekea rim kuvunjika na tairi kubast, ila nikasikia kuna wataalam wanaunga rim inakaa vzr tu.
Swali langu ni kwamba Je? Ikiungwa inafit vizuri kabisa...
Habari za muda huu rafiki na jamaa,
Mimi napenda kujifnza ufndi wa pikiki, lakini sijui ni aina gani ya pikiki ukijua kuztengeza huweza kuleta kipato zaidi na kujifnza huko huweza kuchukua muda...
Msaada wakuu, gari yngu ilikaa pasipo kuwashwa Kwa almost a year, Leo nilikua nataka kuiwasha ikakataa so nikaita fundi umeme na engine. Baada ya kuhangaika sana computer ya fundi umeme imeleta...
Wasalaam,
Leo ningependa kuiongelea kidogo gari tajwa hapo juu ambayo ni miongoni mwa gari pendwa kwa wengi kutoka kwenye kampuni ya Toyota.
Toyota Allion ni gari ndogo (sedan/saloon car) yenye...
Ndugu zangu nimatumaini yangu wote niwazima, nina Toyota Allion ambayo in a ratio lakutetemeka pindi ukiwasha a/c.
Nilijaribu kupeleka kwa mafundi wakaniambia nibadilishe compressor na...
Wanajamvi na wazoefu naomba kujua nitumie kitu gani kusafisha tope lililoganda chini ya gari, kwenye engine, oil sump na sehemu zingine. Kwa presha washer imeshindikana kutoka.
Msaada tafadhali...
Mimi ni kijana ambaye niko jiji Dar es Salaam katika harakati za kutafuta pesa nmefikiria kununua boda boda ili niweze kujiongezea kipato lakini kutokana na boda boda mpya kuwa gharama sana...
Wakuu Salaam.
Naomba Kujua Faida za Injini ya Petrol pia za Diesel.
Na Je, ni Injini ipi bora kati ya hiz mbili.
Interms of Durability na Performance.
Naombeni Michango yenu.
Hii Tesla Cybertruck inabadili tafsiri ya gari kwa karne hii. Hii gari kimuonekano ni kama SUV lakini hili ni Pick up!.
Cha kuipa sifa zaidi yenyewe ni EV - electric vehicle lakini imeweza...
NIAGIZE IPI KATI YA TOYOTA RACTIS, SIENTA NA SPACIO?
Na Kimomwe Motors (T) Ltd- Waagizaji Magari
Swali kama lilivyoulizwa na mmoja wa wateja wetu.
Majibu yako pichani
IJUE VOLVO XC 90
Na KIMOMWE MOTORS (T) Ltd- Waagizaji Magari
Utangulizi
Gari hii yenye inayotengenezwa nchini Sweeden, iliingia sokoni kwa mara ya kwanza mwaka 2003 ikishindanishwa na Mercedes...
Wakuu naulizia vile vifaa vya kuweza kudetect na kufanya diagnosis ya gari ndogo mwenye ujuzi navyo..
Nimepata access ya kununua China, ila sijajua ipi inaweza kuwa nzuri zaidi.. mwenye picha au...
IFAHAM TOYOTA PROGRES- kwa ufupi
Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagiza Magari
Utangulizi
Gari hii ndogo ya starehe ilizalishwa miaka ya 1998- 2007. Mshindani wake ni Lexus IS ingawa Progress...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.