Naitaka hii show alikuenayo plz anicheki ni ya Volkswagen polo batan zote zinafanya kazi issue tu show imevunjika njoo inbox fasta kama kuna muuza speak aje Au anaeijua Bei yake hii.
Gari yangu aina ya toyota liteace ya dieseli ina toa muungurumo mbaya na kutoa moshi.
Pia taa ya check engine inawaka. Fundi wa kwanza akasema tumeweka mafuta machafu hivyo tusafishe tank. Fundi...
Baada ya kelele nyingi mitandaoni zinazodai chuma kipya cha Daiaond ni feki, nikaamua kuingia mtandaoniili ili nicheki facts maana watalamu wanasema "No research, no data, no right to...
Kwenu wadau wa JF hivi gari feki ndio huwa zipoje? Zinafananaje? Na je ni hatari katika matumizi?
Nimepata wakati mgumu sana wa kuzielewa gari feki. Na je kama zinaweza kuhatarisha maisha ya...
Salam wakuu,
Direct to the point, hii funguo ya Mazda yangu nilienda kuchongesha funguo, nikafanikiwa lakini tatizo hii inafungua milango tu, haiwezi ku-turn on ignition.
Kufuatilia nikaambiwa...
Mwaka 1998 nlipanda gari ya jamaa yangu. Benz akanishawishi sana siku hiyo twende Morogoro na gari yake akaoneshe ndugu zake ana Mercedes Benz.
Hapo kabla nlienda naye ila tulitumia gari yangu...
ZIJUE GARI 6D17
Mwaka
Nigari ya mwaka 1998 lakin bado ipo vizuri na inafanya vyema kabisa katika tasnia ya ubebaji mizigo na haijawai kutuangusha katika hilo.
Cubic centimeter (cc)
Ina 8200 cc...
Wakuu habarini za kazi
Nina Gari yangu ni Fuso Super great, ilikuwa na shida ya kukosa nguvu ikitembea Kwa kilometres kadhaa.
Sasa fundi amekuja kupima akasema kuna baadhi ya sacket kwenye...
Wadau salaam kwenu,
Kwa sasa bus la Sauli ndio linaweza kuwa bas linalokimbia sana barabarani (dhania) kwa Tanzania.
Nnafikir na Mfalme Zakaria wa Mwanza Musoma hatoshi, naona tunaanza taratibu...
Naomba MSAADA: Baada ya kubadilisha injector nozzle zote engine imekosa nguvu, na bado check engine lamp HAIWAKI__
Nikitumia mashine ya Diagnosis (ANCEL) fault code P1922(switch on engine off) na...
Habari za majukumu ndugu zangu nauliza wapi naweza kupata engine ya peugeot 504 sr saloon plus gear box yake used well mantained in a good condition na price niko moshi
Chombo ya mangi imelala...
Kila mtu na kila siku tunakutana na hizi gari huko barabarani, makampuni, watu binafsi na hata taasisi za serikali wanatumia, je wanajua kuwa NCAP wamelipa score ya sifuri kwa kuwalinda walio...
Image: Source
Who doesn’t love train journeys? There would be very few people who don’t like to travel through train. It is the most cheapest and comfortable transport to reach your destination...
Baada ya woga mwingi dhidi ya magari ya BMW ila hali sasa imebadilia naona wapenz wa baby walker wengi wamehamia kwenye BMW series 1.
Nini siri ya haka kagari spea sio adimu tena na wamepunguza...
Habari zenu wakuu. Nimeona magari ford expore na ford escape yana bei nafuu na hata kodi yake sio kubwa sana. Kwa wenye uzoefu na hizi gari vpi kuhusu uimara wake, utumiaji wa mafuta , vipuri na...
Habari za majukumu ndugu zangu nauliza wapi naweza kupata engine ya pegeout 504 sr saloon plus gear box yake used well mantained in a good condition na price niko moshi
Asante sana.
Tofauti ya Harrier na Rav 4 Old Model
1. Uundwaji na Moboresho
Harrier iliundwa baadae miaka ya 1998 ikadumu mpaka 2002 wakati Rav 4 iliundwa miaka ya 1995 ikadumu mpaka 1999. Hivyo Harrier...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.