JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
  • Sticky
Kumekuwa na mada nyingi kuhusu mambo yote yahusuyo magari, nikaona basi na sisi tuwe na Uzi huu ambapo habari zote zihusuzo magari kuanzia kuchagua, kuagiza, kuuza, kubadili nyaraka, matengenezo...
67 Reactions
7K Replies
1M Views
  • Sticky
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU WA JF Twende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu. Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini(based katika matumizi binafsi)? 1. Boxer...
6 Reactions
628 Replies
187K Views
  • Sticky
Nilikuwa naangalia mitandao mbalimbali ya magari ambayo wanaleta magari used hapa Tanzania. Bahati nikapata mtandao ambao umenivutia, una magari yanayoonekana ni mazuri kwa picha, lakini kwa kuwa...
15 Reactions
501 Replies
264K Views
  • Sticky
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU GARI HII Wakuu rafiki yangu mmoja yupo interested na hizi gari aina ya Subaru Forester lakini kabla hajaingiza maamuzi mzima mzima alitaka kujua yote...
6 Reactions
413 Replies
173K Views
  • Sticky
wadau naomba mwenye uelewa au uzoefu wa gari aina ya Land Rover Discovery 4, anipe maelezo.. specifications, bei, fuel consumption, upatikanaji wa spare parts, na kama inafaa sana kwa barabara zetu..
7 Reactions
260 Replies
100K Views
Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi, marefu na ya Kati...
89 Reactions
22K Replies
1M Views
Namba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee... Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV. Sijui kwa herufi moja huneba magari...
34 Reactions
2K Replies
153K Views
Usishangae kuhusu utambulisho huu. Mimi sasa ni ASE Certified Service Consultant wa magari madogo yanayotumia petroli hasa ya Ford, GM, na Chrysler. Nimepata license yangu hivi majuzi tu mwaka...
57 Reactions
1K Replies
212K Views
Chasis ya Scania Bus engine nyuma Miaka ya nyuma Scania ndio alikuwa mfalme wa kusafirisha abiria na mizigo hapa nchini. Wamiliki wa mabasi waliziamini sana Scania kwa uimara wake na mwendo...
62 Reactions
1K Replies
126K Views
Hii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality...
55 Reactions
1K Replies
79K Views
Moja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye...
52 Reactions
972 Replies
138K Views
Wadau, mi kila siku minekuwa nikijiuliza, ila sijapata jibu. Naomba wenye ufahamu wanielimishe kwenye hili. Hivi hizi herufi kwenye "licence plates" za magari zinamaana gani? STK STJ STH ST A ST...
32 Reactions
908 Replies
413K Views
Tukiwa safarini na wadau.. Tukasema tupime mwendo na Landcruiser.. Matokeo ndio kama hayo..! Hii test tumeifanya kwa kipande kifupi.. Then tukapunguza mwendo Landcruiser ikapita.. Rpms kwetu...
17 Reactions
857 Replies
40K Views
Moja ya gari pendwa hapa mjini Ni Executive sedan Inakupa kila kitu comfort,luxurious,performance&reliabilty!! Ukiona nyingi ujue zinapendwa na affordable Utagundua hata TRA wamezipandishia...
29 Reactions
851 Replies
52K Views
Naona watu siku hizi magari haya ya Nissani Extrail wananunua sana. Je, wanajua kuwa ni mabovu na spea zake ghari au hawaambiwi na watu. BAADHI YA MAWAZO YALIYOTOLEWA NA WADAU KUHUSU GARI HII...
8 Reactions
773 Replies
169K Views
Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo. 1- Isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo). 2- Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu. 3- Gari ambayo...
60 Reactions
764 Replies
54K Views
Basi gani umewahi kupanda na ukajutia safari yako.
10 Reactions
730 Replies
41K Views
Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo). Huku kwetu tunaita new model lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan. Kwa kawaida Harrier ni gari...
60 Reactions
674 Replies
163K Views
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU Wakuu naomba kufahamishwa, ni mahala au muda gani natakiwa kutumia OverDrive funcionality kwenye auto transmission. Ni kwa Ufahamu tu Nawasilisha ---...
4 Reactions
634 Replies
148K Views
Kwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani? Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine...
24 Reactions
587 Replies
33K Views
Si kwamba nazikandia hizi gari za kijapan la hasha. Nimewahi kuzimiliki Chaser mayai na balloon GX90. Kila moja imevuma kwa nyakati zake. Zikisifika kwa wepesi mwendo (kuchanganya haraka) kiyoyozi...
7 Reactions
497 Replies
56K Views
Wakuu nimeshuhudia hizi gari zikitelekezwa Garage kadhaa hapo Dar. Wamiliki wamechemsha kuzimaintain? Tuachane na kumiliki gari kwa kufuata mkumbo. MC pilipili like X3 lake sijui kalificha wapi...
20 Reactions
488 Replies
36K Views
Ni aina ya gari inayoaangaliwa kwa jicho la tofauti sana... Likionekana ni gari ghali na la kifahari huku watu wakitishana sana kuhusu ughali wa vipuri na upatikanaji wake wa shida. Lakini...
123 Reactions
479 Replies
88K Views
Kwa wingi wa haya magari barabarani, jinsi watu wengi wanavyoyazungumzia na wengine wakiyataja Kama magari ya ndoto zao, nilikuwa Napata sana Shauku ya kuyaendesha, Ama kuyatumia Na ku feel ile...
54 Reactions
448 Replies
32K Views
Back
Top Bottom