Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

  • Redirect
Wandugu, Ninasumbuliwa sana na mafua mepesi ambayo karibu kila siku lazima niwe nayo.Kwa kifupi yamenianza miaka 15 iliyopita.Uzio nimepima na karibu kila aina ya dawa za mafua nimeshatumia ila...
0 Reactions
Replies
Views
help needed,a friend suffering
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Hv Punyeto ina madhara yeyote kiafya...kufuata wadada naona kama napotez mda hv...na kuweka maisha yangu reyani..
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari! nimekuwa mpigaji wa muda mrefu wa hii kitu na nimejitahidi kuacha na kufanikiwa kwa muda kisha Narudia tena Ninasumbuliwa sasa na magoti, japo nimesoma post nyingi humu Ndani na sehemu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mama yangu ana anasumbuliwa sana na sukari, msaada tafadhali wa hospitali gani nzuri au daktari gari kwa hapa Tanzania aende ili aweze pata matibabu mazuri. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
2 Replies
913 Views
Eating raw garlic can reduce risk of lung cancer by nearly half, says study. Habari njema Kwa Wale Wanaovuta Sigara Kwa wale wavutani wa sigara ili kuepushwa na ugonjwa Saratani ya Mapafu...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Sasa takribani mwezi mmja nawashwa mwili mzima sasa, na nilianza tu baada ya kumgegeda dem mmoja siku ya 3 ndo ikawa hivi ,nilifanya kavu sasa nawasiwasi kaniachia ngoma au ugonjwa gani huu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Msaada wanaJF, Nahitaji dawa ya kutibia ugonjwa wa pua kuziba ila nikipenga kamasi hazitoki. Mara nyingine pia husababisha maumivu ya kichwa hasa katika paji la uso. Wenzetu wa Tanga ugonjwa...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
  • Redirect
Heshima wakuu, Mimi ninatatizo la jino moja tu la mbele kupata ganzi ninapokunywa maji ya baridi au ninapo vuta upepo. Please naomba mwenye ushauri hapa jamvini anisaidie.
0 Reactions
Replies
Views
Wanajf nina tatizo la kubanwa na mkojo lakini nikienda kukojoa nakojoa mkojo kidogo sana tofauti na jinsi mtu unavyotegemea kwa kuwa umebanwa. Sijui ni tatizo na kama ni tatizo nini tiba yake.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Salaam zenu wanaJF ,namshukuru mungu kwa kupata mtoto wa kiume last month ila tatizo ni kwamba hajapata choo tangu jumapili ,tukashauriwa tumpe mafuta ya samaki ,tumempa lakini wapi amekuwa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Najisaidia haja kubwa yenye damu, nawashwa ------ sana ila naona haya kujikuna.
0 Reactions
3 Replies
909 Views
VERVE ni kinywaji bora kutoka kampuni ya kimataifa iitwayo VEMMA NUTRITION COMPANY ambacho kinasaidia sana kukupa nguvu mwilini, kukupatia vitamini, madini pamoja na kusaidia kuondoa maradhi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari Nina tatizo la matiti {yote mawili} kuhisi yamekuwa mazito na yanauma kwa kuvuta na kuacha..nikivua braa nahisi yanadondoka kwa maumivu ninayopata. Nilidhani ni kawaida ila mbona...
3 Reactions
41 Replies
8K Views
Wadau naomba mniambie hili tatizo la mwanamke kuumia wakati wa kuduu linasababishwa na nini. Yeye haoni raha hata siku moja.
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Eti jamani ulemavu wa viungo hua unarithi au kuambukiza? Yaani kama mama alikua mlemavu kunauwezekano na mtoto nae akazaliwa akiwa mlemavu?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Swali langu ni kwamba baada ya mama kujifungua hutokwa na damu ya uzazi kwa muda wa siku ngapi? Na je anapomaliza damu ya uzazi anaanza mzunguko wake wa hedhi ama hukaa muda gan kabla mzunguko...
0 Reactions
12 Replies
21K Views
Southern Africa: SADC Considers Universal HIV Testing Agência de Informaçao de Moçambique 19/08/2013 Lilongwe — Several leaders of the Southern African Development Community (SADC), speaking at...
0 Reactions
0 Replies
856 Views
habarini wana jukwaa, kidole changu kimekufa ganzi afu kimejaa kinanipa maumivu kiasi, je litakuwa ni tatizo gani wapi naweza pata tiba? Asanteni.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Magonjwa yatokanayo na STDs sio mapya na yameendelea kuwepo. Kwa elimu nahitaji kufahamu dalili za haya magonjwa na effective medicine ya kutibu. Hii itakuwa faida kwa wengi..
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom