habari wanaJF!
Kuna tatizo hili inawezekana linakutokea au limemtokea mtu wa karibu yako. Unakuta mtu akila tu nyama au baadhi ya samaki basi anatokwa na damu puani,je tatizo hili linasababishwa...
Chemotherapy can damage healthy cells? Say it isn't so? You don't need a degree to figure this one out. Poison kills indiscriminately– always has and always will. While damaging healthy...
kifupi ni kwamba ni natatizo la kuto umwa njaa hata nikikaa bila kula masaa 24.Sasa nakula tu kwa sababu nafahamu mtu inabidi ale ili aishi ila kiukweli ,njaa huwa hainiumi.Mwenye uelewa na tatizo...
Daktari mmoja wa Kiholanzi amesema, hivi sasa ana uhakika kwamba, kuna homa ya mapenzi ambayo huwapata baadhi ya wanaume, mara wanapomaliza kufanya mapenzi. Amesema wanaume wanaopatwa na homa...
Good stuff
Benefits of Walking
The human body is made to walk. Â
Walking 30 minutes a day cuts the rate of people becoming diabetic by more than half and it cuts the risk of people...
Huyu jamaa anayeelezea dawa za kuongeza nguvu za kiume za vivid herbel anapatikanaje ili tukutane nae atufafanulie kuhusu dawa hizo na mie nipo tayari kununua dozi nzima ya miezi mitatu kama...
Habari wanajamvi hili makini la JF DOCTOR.
Kwanza nawashukuru kwani lile tatizo nililowasilisha kwenu la "Kuumwa tumbo baada ya kufanya mapenzi" lilipona kabisa. Hii kutokana na Michango, ushauri...
Mama mmkubwa wangu anawatoto 10 ila baadaya kujifungua mtoto wake huyu wa mwisho alianza kubadilika ghafla akaanza tabia ya kuongea mwenyewe yaani kama anajibizana na watu na mara nyingine anafoka...
ADVANTAGES OF USING DRINK.
1.cleansing.
cleanses the digestive system, assists in purifying blood, eliminates bacteria, disinfects and detoxify.
2. balancing.
balances body acid alkali...
Mbu ainezae Malaria.
Majaribio ya chanjo mpya ya malaria ijulikanayo kama PfPZ ambayo mtu akipatiwa hataugua tena ugonjwa wa malaria maisha yake yote, yataanza kutolewa nchini mwezi ujao...
Asalaam aleykum, bwana Yesu asifiwe wapendwa wa JF
Tafadhali anayefahamu yule daktari wa ngozi aliyekuwa pale Luther House alihamia wapi anijuze jamani. Mwanangu ana tatizo la ngozi.
Nitashukuru...
jipatie aloe gelly Kwa matumizi yafuatayo
kusafisha mfumo Wa damu
kuboresha mfumo usagaji chakula
asthma
kisukari
presha
maumivu ya tumbo
maumivu ya moyo
kupunguza uzito
kukosa hamu ya Kula na...
top ten reasons to drink argi.
acts to release anti aging
hormones.
affects insulin sensitivity so it is particularly useful in maintaining blood glucose control.
reduce blood cholesterol...
COCOLLAGEN --For a Beautiful Skin-A CHOCOLATE FLAVORED BEVERAGE ENRICHED WITH HIGH GRADE QUALITY MARINE COLLAGEN
It provides elasticity and shape, giving skin its firmness as well as the ability...
Wadau
eti lipi bora kati ya haya yafuatayo?
kungonoka kwa kondomu kwa mwenza ambaye unajua ameathirika (mlienda kupima wote na majibu mkapokea wote) au kungonoka na kondomu na mwenza ambaye hujui...
Hello wapendwa,
Jamani nisaidieni nataka kupungua tumbo! je ipo dawa ya kufanya hivyo? Nimefanya mazoezi ila sioni mabadiliko. Mimi ni mpenzi wa pombe ila sio eti mnywanji ile saaana. Kiasi tuu...
nimepewa dawa za minyoo vidonge vitano hospital nimeambiwa nitumie mida ya asubuhi, ila mtoa dawa hajaniambia kama nitafune au vip..kwa upande wangu naona nimeze na maji bila kutafuna kama Bublish
Nina umri wa miaka 27 sasa nipo Dar nataka nichukue likizo nisingizie nimesafiri nipo mkoani siku 10, kiukweli nataka niakondoe mkono wa sweta ninao hadi sasa hivi.Je ni hospitali gani naweza...
Wanajamii wenzangu!
Kwanza niwatakie mapumziko mema ya kumalizia weekend.
Tatizo kuu linalonisibu mimi, ni kuumwa sana hasa nyakati za baridi kiunoni na kwenye makorodani. Tatizo hili mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.