Cervical cancer vaccine to be availed in TZ soon
By The Citizen Reporter
Posted Thursday, October 10 2013 at 00:00
Dar es Salaam. A vaccine for cervical cancer will soon be available in...
Habar. Naombeni msaada na kueleweshwa tu kwa faida yangu na wengine. Eti kijana ke/me ambaye ameshawai kufanya mapenz je akikaa kwa muda wa zaidi ya miezi 2 anaweza akapata tatizo.? Mana...
x-girlfriend wangu amekuwa aking'ang'ania uume kubakia katika uke wake kila baada ya tendo hadi kupitiwa na usingizi nakujikuta hadi asubuhitupo vilevile, je, kunamadhara yeyote katika hili...
Kwenu wadau,
Kama nilivyojieleza hapo juu ndivyo ilivyo,lkn mwanzoni ckuwa hivyo.
Nilipokuwa form six mwaka 2005,uzito wangu ulikuwa 64kg na nilipokuwa namaliza udsm uzito ulikuwa 76 kg,lkn sasa...
natumai mu bukher wa afya!
jf dokta naomba msaada tatizo la kutapika ndani ya bus pind naposafir, kama kuna mwenye auelewa na tiba ya hili tatizo anijuze maana imekua ni kero kubwa kwang
LOWGAR
Bidhaa hii inatibu kisukari aina ya pili(Diabetes mellitus).
KISUKARI
Kisukari cha aina ya pili kinatokana na lishe mbaya ya vyakula na ulaji mbaya wa vyakula pasipo na mpangilio.
Chakula...
Uhusiano wa nguvu za kiume na mzunguko wa damu
Nini kinachofanya uume usimame? Kwa haraka unaweza kujibu ni msisimko. Naam, unaweza kuwa sahihi. Lakini msisimko ni matokeo. Kuna...
Manufaa ya kucheka.
Wanasayansi wamekadiria kwamba kucheka kwa furaha kwa nusu dakika ni sawa na kupumzika kabisa kwa dakika 45. Kuangua kicheko kunalingana na kufanya mazoezi ya viungo kwa...
Habari zenu wakuu..
Kwa anaefaham dawa au tiba ya kichunjua anifahamishe. Ni aina ya kikovu kidogodogo au mara nyingine huwa km kipele kisichokwisha hata km utakikuna au kukikwangua kwa kucha...
Habar wapendwa
Nilitoa uzi hapa kwamba mimba inanisumbua mkanipa ushauri nikawa natumia tangawiz tatizo la kutapika likaisha kabisa.
Ila leo mume wangu karudi baada ya kuwa nae mbali kwa...
Mimi ni kijana umri miaka 21,nina tatizo ambalo nasumbuliwa nalo kwa mda mrefu sasa lilianza kama miaka 2 iliyopita ,nilianza na dalili zifuatazo
1)nikipata haja ndogo,mkojo huwa hautoki mara...
nawasalimu wataalamu wetu,kwa kiasi kikubwa tunaona furaha pale mnapotusaidia kuhusiana na afya zetu, ila leo naomba msaada sana kuhusiana na tatizo la kupooza kwa upande mmoja wa uso (facial...
Wasalaam,nimepokea ujumbe huu.Naombeni taarifa kwa anayejua. Muathirika yuko Mbeya.Kiroho safi yani.
"Shalom brother! Kuna kaka yangu ameathirika sana na madawa ya kulevya mpaka amekuwa kichaa...
Dawa za Kichina.
Kati ya bidhaa 36, zilizonunuliwa 32 kati yake zilikuwa zina chembechembe aina tatu za dawa hizo za kuulia wadudu.
17 kati yake zina chembechembe za dawa za kuulia wadudu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.