Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Hello JF, Naomba msaada wa tafsiri ya vipimo hivi vya maabara. Nimefanya Widal test majibu yakasema STO 1:40 na STH 1:160. Naomba kufahamu majibu hayo yanamaanisha nini na kama kuna ushauri wa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
matatizo ya uzazi upande wa kina mama na kina baba tuna dawa ya tiba asilia isiyokuwa na chemical.Ni dawa zinazotokona na vyakula vyetu vya asili pamoja na magome ya miiti ambayo yamesagwa...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wazee nchini Afrika Kusini watumia mipira ya kiume maharafu kama condoms kujitibu maradhi ya baridi yabisi Desmond Tutu na Graca Mandela mke wa rais Mandela Na Ali Bilali Watu wa makamo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
yeyote anayejua wapi naweza kupata thiabendazole au mintezole ani pm, au yeyote anayejua second line treatment of migrant larva anijulishe
0 Reactions
2 Replies
929 Views
habari wana jf Doctor bilashaka muwazima wa afya! bila kupoteza muda ningependa kuuliza ni hosptal ipi...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Katika hali inayoendelea kuonesha uozo ulipo katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Waziri wa Afya, Katibu Mkuu na Mganga Mkuu wa Serikali wamehusika katika kumteua Daktari Msaidizi/ Assistant...
8 Reactions
245 Replies
28K Views
Ni mchana unapo fikaa watu tunakuaa maofisini au kazini inatokea mtu pale pale unasikia usingizi wakichovu chovu let say umekaa umepumzikaa kazi umemalizaa unasubiri maelezo mengine pale unakutwaa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna jamaangu kahitaji msaada. Ameniuliza ili ampime DNA mtoto wake mdogo wa miezi kadhaa afanyeje? Yaani process ikoje? Aende na mtoto hospitali? Je ni hospitali ipi Dar yenye huduma hiyo? Je...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wana jf naomba msaada........ni aina ya watu au ni maradhi?.................mtu kujisifia kwamba ana good heart........na kila baada ya sentensi moja mbili utasikia anasema mimi nina good...
0 Reactions
0 Replies
847 Views
Wakuu heshima kwenu, Juzi nilipata malalamiko kutoka kwa binamu yangu, eti alikuwa anawasiwasi na ujauzito wake kua labda ni mapacha kwani tumbo lake ni kubwa mno, hivyo akaenda ktk hospitali...
1 Reactions
62 Replies
58K Views
Habari zenu wadau wa afya..Juzi juzi nilitoka kumpeleka mchumba angu clinic moja hivi inayotibu kwa kutumia tiba asilia..nilichukua uamnuzi huo baada ya kuwa anasumbuliwa sana na maumivu chni ya...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Vyakula vikuu kwa sisi watanzania na wenye hali ya chini ya kawaida tumezoea kula wali, ugali, na ndizi. Kwa utaalam wa kiafya hatutakiwi kula vyakula hivi mara kwa mara kwani vinasababisha...
0 Reactions
5 Replies
23K Views
Habar wana jf! Mwanangu anasumbuliwa na kifua/kukohoa kwa miaka miwili sasa na katumia dawa za aina nyingi hadi zimemuharibu meno lakini hajapona na hali yazidi kuwa tete! msaada wana jf plz!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar wapendwa, polen na mihangaiko ya cku nzima ya leo. Jaman leo nimekuja hapa kushare nanyi jambo flani. Mwil wa binadam unahtaj Vitamins na Madini muhm ili kupambna na maradh tofaut. Kampuni...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
  • Redirect
Ni jamaa yangu wa karibu sana. NI mtu mwema na anaelewana na kila mtu. Tatizo lake kwamba ana tatizo la kusinzia sana. Akikaa mahali dakika chache anaishia usingizini. Akipanda basi baada ya dk...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Msada mada tajwa hapo juu madaktari wetu
0 Reactions
Replies
Views
Mwanangu ana miezi miwili ila tumbo ina musumbua, katumia shubili ila bado ina uma na omba msada.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nasikia kuna ugonjwa wa zinaa unaokata uume. Je ugonjwa huo ni ugonjwa gani? Dalili zake zikoje? Uume hukatika baada ya muda gani? Tiba yake ni nini? Je wanawake wanaathirika vipi na ugonjwa huu?
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Hello Mwanajamii, Bila shaka uu mzima na unaendelea vema na kazi zako za kila siku pia mimi nashukuru kuwa ni mzima na buheri wa afya. Leo napenda kuwashirikisha kuhusu namna mtu anavyoweza...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Madaktari mnisaidie! Dada yangu anateseka sana na tatizo hili akibeba mimba mara baada ya miezi 3 ikifika anasema kama damu inamtoka mara baada ya wiki mimba inatoka! umekuwa.mchezo wa muda...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom