Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

  • Redirect
imenibidi niliweke wazi tu,kupiga punyeto ni jambo linalonisumbua sana kwa muda sasa.Nilianza kpindi nipo o level shule ya bweni ya wanaume kutokana na hali yenyewe ilivyokuwa.Ijapokuwa sasa...
0 Reactions
Replies
Views
A survey of more than 1,000 men in India has concluded that condoms made according to international sizes are too large for a majority of Indian men. The study found that more than half of the...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
  • Redirect
Wadau kuna athari gani kuwa mnywaji wa soda sana kuliko maji
0 Reactions
Replies
Views
Salaam wana jf. Napenda kujua kama kuna ukweli wowote kuhusu mdada kutoruhusiwa kutumia vidonge ama sindano za kuzuia kushika mimba (uzazi wa mpango) mpaka awe tayari ameshajifungua at least mara...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana jf, poleni kwa kazi kubwa ya ujezi wa taifa, nina rafiki yangu wakaribu sana (mwanamke) anatatizo la kuota ndoto mbaya, anaweza kuota kama sauti inamwita kwa jina lake nje tena hua...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari za sikukuu wanajamvi najua wote n wazima Nina tatizo sugu la mba wa kichwani nimutumia mafuta na dawa mbalimbali lakini napata nafuu ya mda tu halafu tatizo linarejea msaada tafadhali kwa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kwanza napenda nitambue michango yenu mizuri wana JF ambaya kwa namna moja au nyingine imeokoa maisha ya watu au kuimarisha afya zetu.Leo nimekuja na tatizo moja ambalo mwanzoni nilidhani nihali...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
mtoto wangu wa kiume ana umri wa mwaka 1 na miezi miwili anakojoa mkojo ambao anacha alama kwenye nguo hata ukifua na sabuni alama hizo hazitoki na muda mwingine anapenda kuchezea dudu yake...
0 Reactions
2 Replies
988 Views
Ndugu, habari? Mimi ni kijana (22), tangu nimekua na akili na uwezo wa kujitambua nimekua nikisumbuliwa sana na mafua, yaani sijawahi kustay free from mafua. Je hili ni tatizo gan? Na linaweza...
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Hi people. Naomba kuuliza hiv ni kweli kwamba wanawake wafupi ningum kujifungua kwanjia yakawaida? au sio kweli nakama ni kweli nitatizo gani linalosababisha hali iyo. KWENU WADAU
0 Reactions
3 Replies
945 Views
Mke wangu ana mtoto wa miezi 8,ni kwamba bado ananyonya,but imetokea tatizo mke wangu ana mimba changa, je kuendelea kumnyonyesha mtoto kuna madhara yoyote?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu,dada yangu ana tatzo la kujaa gesi tumboni hasa pale anapokuwa amekula. Tatzo Ni nini kwa wanojua? nataka nimsaidie dada yangu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu heri ya Mwaka mpya Naomba kwa anayejua tiba nzuri wa ugonjwa huu wa fungus ya miguu (Vesicular Athletes feet) anipatie ushauri.
0 Reactions
0 Replies
916 Views
Wakuu, kuna dawa yoyote mtu anaweza kupaka kwenye chunusi au kidonda na kikatengenezeka kidoti kama cha jokate?!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu na wataalamu nisaidieni hapo; je, kuna faida gani na hasara zipi za kunywa kiasi hicho cha maji kwa siku.? Nawasilisha.
1 Reactions
22 Replies
14K Views
Dawa sahihi ya malaria kwa mama anayenyonyesha ni ipi?
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Jamani naomba uhakika wa hilo kweli kuku huyu mnyama tunaempenda kwa kitoweo anaweza kumuambukiza binaadam mafua?
0 Reactions
0 Replies
930 Views
! Karibu watu 9 kati ya 10 hawaelewi hatari inayowakabili kwa kuwa wanene hasa sehemu za tumboni na katika nyonga. Uchunguzi uliofanywa kwa kuwashirikishwa watu 12,000 wa nchi za Ulaya...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Gritty Grace akiwa na wanae mapacha. Hatimaye leo Ericana na Eluidi (pichani) watafanyiwa upasuaji wa aina yake ambao haujawahi kufanyika duniani. Watoto hawa mapacha wenye umri wa miezi tisa...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Tafadhali nisaidie kwaushauli wa huduma yakwanza ya haraka mdogo wangu nilimuagiza kret ya soda akiwa njian moja ikapasuka chupa katikat ikiwa imebaki soda kidogo akanywa kias tumbo likaanza...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom