Habari wana jf . Tumbo langu linazidi kuwa kubwa. Nimepima mkojo mimba sina na period naenda kama kawaida. Naomba kujua kama inawezekana kuwa na mimba na vipimo havionyeshi.
Salaam wanaJF!
Niliwahi sikia kuwa ktk kila mwanamke mmoja kati ya watano ana tendency ya kuachia fluid (mkojo?) kidogo ktk pichu yake kiasi cha 1/2 kijiko kidogo cha chai pale anapofanya haya...
Habari wana jf, kuna ndugu mmoja wa familia yangu ni mjamzito ila anatatizo lakuumwa na kichwa sana mpaka anakua hajielewi, hua anatumia dawa za hospital, sijajua kama kuumwa huko kuna uhusiano...
habar, nina tatizo la kutojisikia raha pindi nifanyapo tendo la ndoa na ki ukwel limekua ni tendo ambalo limenifanya mpaka niwe mbal na wanawake laweza kua lilisababishwa na historia yangu ya...
TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HII MWANAMKE AOZA MAKALIO YALIYOSABABISHWA NA MATUMIZI YA DAWA ZA KUONGEZA MAKALIO
Adha hii imempata mwanamke huyu baada ya kuanza kuona ngozi yake imeanza kuwa laini...
Wakuu kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na jambo flani ambalo nahic litantia wehu uko mbele nahitaji kukutana na mwanssaikolojia ili anisaidie kulitatua kwa yoyote anayemjua daktari wa...
plz ninaomba kujua niwakati gani ukifikia kwa mama mjamzito haruhusiwa kufanya tendo la ndoa na pia katika kufanya kuna kiwango chochote au umakini wowote unaotakiwa zaidi wakati wakufanya ili...
Kwanza kabisa ndugu zanguni wana Jf nawatakia heri ya mwaka huu mpyaa!,unaogawanyika.Haya niende kwenye mada nisiwachoshe ndugu zanguni;Jamani nawaomba wale ndugu zangu madaktari tulionao humu jf...
Amani na upendo uwe juu yenu.
wakuu ninapatwa na makohozi mara tu niamkapo asubuhi na makohozi yenyewe yapo kwa ndani kabisa ya koo na huwa si mengi na wala sina kikohozi.
kero yake yanakuja...
Amani na upendo uwe juu yenu.
wakuu ninapatwa na makohozi mara tu niamkapo asubuhi na makohozi yenyewe yapo kwa ndani kabisa ya koo na huwa si mengi na wala sina kikohozi.
kero yake yanakuja...
Ndugu madocta, nina mdogo wangu wa kiume umri miaka 12 anasambuliwa na tatizo huli..tumetumia njia mbalimbali bt tumeshindwa, plz naomba nisaidiwe coz tunashindwa hata kumpeleka boarding school...
huwa nikilala usiku asubuhi huwa najikuta nimehangaika sana mashuka yote huchomoka na USINGIzi HUWA HAUWI ULE MTAMU KABISA embu MADOKTA ni saidieni tatizo huwa nini?
:whoo::whoo:
Dar es Salaam.Timu ya Watafiti katika Chuo Kikuu cha North Carolina nchini Marekani, wamegundua aina ya sumu ambayo ina uwezo wa kuua seli ambazo zimekwishaathiriwa na Virusi Vya...
bhana naomba msahada wenu mimi ninatatizo la nguvu za kiume,ninapo fanya mapenzi na binti wa kike napiga bao mbili tu,zaidi ya hapo ume wangu haufanyi kazi tenaa,ndugu zangu naomba msahada kupona...
Habari wana jamvi, kwanza niombe radhi sababu sinahakika kama uzi huu wafaa uwe jukwaa hili.
Pili ,kiukweli naomba ushauri wenu ni njia ipi nitumie ili niweze kumuachisha mwanangu ziwa,anakaribia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.