Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nina mtoto mdogo,ameota vipele kwnye makalio ambavyo vina muuma sana, msaada wa haraka haraka wenye kujua tatizo na tiba yake.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nimeamka asubuhi ya leo gafla naona kitu kama upele mkubwa kiasi kama jipu hivi sehemu ya shingo ya uume wangu. Uvimbe huo hauumi kabisa but unanipa wasiwasi coz haijawahi kunitokea. Naomba...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Habari za jioni wana JF! Nina tatizo la kupiga chafya mara kwa mara na hili tatizo limenitokea takribani wiki sasa naomba wataalam mnijuze chanzo pia athari zake ni nini?
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Dr Suboth Shetty A visiting surgeon, Dr Suboth Shetty, who specialises in spinal related complications, has said the use of modern technology allows for the use of minimal invasive approaches...
0 Reactions
0 Replies
781 Views
And Am Really Angry Right Now Nobody should have this disease. I never, in a bazillion years, would have ever thought I would be effected by it when I consider the type of family I grew up in...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Naomba ushauri kwa waliowahi kupanda na wenye utaalam wa kupanda milima. Kuna rafiki yangu alikuwa akitafuta baiskeli ya kufanyia mazoezi ya kupanda ml.Kilimanjaro. Ana wiki moja tu ili apande...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni nini kinasababisha baadhi ya watu kuwa na ulimi mweusi
0 Reactions
0 Replies
6K Views
mwanangu wa miaka 6 anaumwa jino.linamsumbua hasa usiku. nimeenda hsptl kumtoa kutokana na usumbufu wa kuogopa sindano Dr kashauri asimtoe, jamani hakuna means yyt ya kufanya mpaka atolewe maana...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
  • Redirect
- Kigugumizi chaweza kumkumba yeyote -Watu wengi hupata kigugumizi kwa muda baada ya kuathirika kisaikolojia. Hawa waweza kupata kigugumizi: -Wenye msongo wa mawazo -Waliodhalilishwa ama...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Kuna madhara gani kwa mtoto kunyonyeshwa hali yakuwa mama yake ni mja mzito? Uswahilini nasikia mengi, naomba kupata uhakika katika hili!
0 Reactions
Replies
Views
Habari wana jamii f. Naomba msaada wa swala hili, mimi na mke wangu tuna mtoto wa miezi 8,na kwa bahati mbaya mke wangu ameshika ujauzito mwingine, sasa sipo tayari kumwachisha mwanangu ziwa la...
0 Reactions
17 Replies
51K Views
  • Redirect
Naombeni elimishwa dawa bora ya kufunga kuhara maana nikiingia maliwato hali ni mbaya vitu vinatoka kama maji kwenye bomba limefunguliwa. Tatizo limeanza usiku wa leo mida ya saa 7 usiku na sasa...
0 Reactions
Replies
Views
Kunamadhara yoyote kwa mama mjamzito kuendelea kumyonyesha mtoto hali yakuwa yeye ni mjazito ?
0 Reactions
0 Replies
990 Views
Habari zenu wapendwa. Nina tatizo nahitaji msaada wa ushauri na ufafanuzi. Nina ujauzto wa wikin35. But nilipofikisha wiki 20 nilianza kupata vaginal bleeding, nilipoenda hospital nilifanyiwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jaman waungwana habari zenu, polen na majukumu, naomba msaada piah ushauri kwa mwenye knwoledge kuhusu tatizo la kukojoa mara kwa mara haipiti dakika tano, na inapotokea hali hyo huahakuna jinsi...
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Taarifa zilizopatikana kutoka wizarani zinaonyesha kuwa kati ya wagonjwa 150 na 200 husafirishwa na Serikali kwenda nchini India, ambako kuna uhakika wa matibabu, kila mwaka. Idadi hii haijumushi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wote, wakubwa shkamooni. Hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha uzi humu ndani, na nimelazimika kufanya hivyo kwa tatizo linalonikabili. Mwenyezi Mungu kanijaalia mtoto wiki moja...
2 Reactions
43 Replies
11K Views
Ugonjwa wa mafua huonekana wa kawaida, usio na madhara makubwa, lakini una athari za kiafya na karaha nyingi. Mafua yanaweza kuwa moja ya sababu kubwa inayofanya watu wengi kushindwa kwenda...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu JF Doctors., Jamani mi nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la macho kuwasha na kutoa machozi kila niuguapo mafua. Nashindwa kuelewa hii connection, why kila nikiugua mafua lazima na...
1 Reactions
3 Replies
14K Views
Wakuu nimekuwa nikijiuliza hivi ujauzito kihalisia ni miezi mingapi? Ni tisa au (kwa maana ya wiki 36) au zaidi ya hapo?? Je ilifika wiki ya 40 ni sawa au kuna tatizo labda?? Naulizq hivyo manake...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom