Wakuu naombeni msaada wenu, mke wangu alijifungua mtoto mwaka mmoja uliopita kwa njia ya operation lakini hadi sasa haoni siku zake.
Hii imemletea hofu kubwa sana ingawaje hataki kunieleza...
Hellow members&drs! Poleni na majukumu ya kifamilia,binafs,serikali,chama nk.
Am single lady of 30's najua wengine watashangaa but ndio hivyo.. by the way sicho nachotaka kukiombea msaada laah...
Wazima humu. Jamani mimi twins wangu uzito wao hata nashindwa kuuelewa, wanakula vizuri tu, wako active lakini kwenye uzito napata mawazo sana. Binti amerudi kwenye kijivu, kijana nae anarudi...
Naimani mungu amewatangulia kwa cku ya leo, mimi nina swali eti n kwanini watu wengine mimba zao huwa znakua haraka na wengine hata huwa hazionekan, je ni sababu gani inakuwa hvo na n vitu gan...
Wadau, sikuambiwa na mtu yeyote lakini nilijikuta natumia mafuta ya zeituni yanaitwa Spanish oil kama dawa ya meno. Nilikuwa na jino lililooza haps reception nikawa natumia kama dawa ya meno...
Habari.
Ndugu wana Jf, kwa takribani zaidi ya mwaka sasa, ninasumbuliwa na tatizo la nyayo za miguu kuwaka moto.
Wakati inaanza nilijua tatizo ni aina ya viatu ninavyo tumia, nikabadirisha...
Naomba kuuliza swali hili kwa nia ya rafiki yangu mmoja. Ana tatizo la maji maji kwenye uchi wake, yaani jamaa Yake akiingiza hâta kabla ya kukojoa kunajaa maji.
Je hili ni tatizo? Dawa yake ni...
Ladies, while thongs may appear very sexy and fitting, research has proven that wearing them can do you more harm than good because they expose you to some health hazards. Here's a few of...
Now if this picture doesn't make u wanna throw your cigarettes out of the Window, I don't know what will!!!
Non Smoker Mapafu ya asie vuta Sigara. Smoker Mapafu ya Mvutaji Sigara. ​Kazi...
Naombeni kufahamishwa kama kuna matibabu ya kuachanisha nyama zilizoshikana kwa kumkarisha mgonjwa kwenye kiti na kumfunga jiwe la kilo 2 miguuni akiwa ananing'niza miguu?hospitali moja madaktari...
KITAALAM TATIZO HILI LINAITWA (ATTENTION DEFICIT HYPERACTIVITY DISORDER (ADHD)
Watoto wenye tatizo hili ni wale ambao wana shida ya kukosa utulivu, kukurupuka na kua na utundu uliopitiliza
Dalili...
By definition(What is orthodontics? - Medical News Today).
Wapi hawa watu wanapatikana, kuna mtu ana child/ milk tooth na ana miaka 30 so Hospital gani au Dr gani special wa hizi mambo...
Wakuu heshima yenu na itifaki izingatiwe!!!!!
Ninalo tatizo ambalo limekuwa likinisumbua kwa muda mrefu, zaidi ya miaka mitano sasa. Nimetafuta namna ya kulidhibiti bila mafanikio. Naomba...
Mtoto wangu ana miezi saba lakini kitovu hakijapona.Nilimpeleka hospitali,daktari akaniandikia dawa iitwayo SPAMCLOX na akanieleza nimkande mtoto kwenye kitovu kwa maji ya uvuguvugu yenye...
Wadau nawasalim wote! naombeni msaada kwa watalaam wanaojua kutibu tatizo la kuwa na upele mwingi kichwani. Mdogo wangu ana miaka 5 sasa na tatizo hili, akilala usiku kuna wakati mwingie anakuta...
Naomba niende moja kwa zote kwenye mada husika.mimi ni me nina mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano kwa takriban mwaka mmoja sasa, kwa kipindi kirefu tuko mbali kwani mimi nipo Dar na yeye ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.