Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wengi wetu tunatumia diclofenac kwa ajili ya kutuliza maumivu na kushusha homa. Dawa hii hapa Tanzania ni 'over-counter drug' au 'non prescription medicine' yaani dawa aihitaji cheti cha daktari...
1 Reactions
0 Replies
5K Views
[/FONT][/SIZE] Saratani imeendelea kuwa tishio Tanzania na sasa unaambiwa saratani ambazo zilikuwa hazijawahi kujitokeza au kuonekana kipindi kilichopita, sasa ndio kama zimezaliwa na watu...
1 Reactions
121 Replies
37K Views
Natumaini hamjambo ndg zangu, Langu moja ni kuuliza nina mtoto wangu ana mwaka na nusu, ila katika miguu yake haina uvungu, yani ipo flat. Sijui tatizo linaloweza kumpata nini? Yani madhara yake...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Uvimbe kwenye korodani husababishwa na nini?
0 Reactions
1 Replies
925 Views
Hi guys. ni muda sasa nimekua nikitafuta dawa ya kumwaga arthini kabla ya kuweka pavements kwenye car parking areas, lakini sijafanikiwa. nilienda kariakoo nikapewa feki . twiga chemicals wanasema...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Click on the link below to find more BBC News - Where are you on the global fat scale?
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Najua hapa kuna watu wengi wenye taaluma tofauti tofauti, ivo naamini tatizo hili linaweza kupata majibu sahihi, mazur na yenye tija kwa wote. Ni kitu gani kingine kinachosababisha uke kua mkubwa...
0 Reactions
120 Replies
39K Views
Mimi na Shemeji/wifi yenu tunapitia wakati mgumu sana kuelekea kuongeza mtoto wa pili, wakwanza anaelekea miaka 8, naomba msaada wa kujua ilipo hospital inayoweza kutoa huduma bora mengine...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ikiwa utalazwa hospitalini kwa dharura, kuna uwezekano mkubwa hutapata muda wa kujiandaa. Lakini pia kuna wakati unaweza ukawa unajua kwamba unaenda kulazwa hospitali kwa ajili ya tiba fulani...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu wana jf naitaji uhakika wa dawa za primolut N nikwel zina uwezo wa kuzuia mimba kwa mpenz wangu
0 Reactions
15 Replies
27K Views
Since at least the 80s, there’s been a lot of debate around whether or not women ejaculate at all, or if it is just an adult version of bed wetting. A group of French scientists published what...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwanza kabisa napenda kuwasalimia, nimatumaini yangu kuwa mu-wazima wa afya njema. waatalamu wa afya mimi nasumbuliwa na tatizo lakukosa hamu ya chakula, hilo tatizo limenianza linamda mrefu mno...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Doctor nisaidie nime fanya mapenz na mpenz wangu kwa bahati mbaya kondom ime chanika na nilikuwa tayar nime mwaga ndani naitaji njia yoyote ile kuzuiya mimba kukua yani isi tunge kwani hatupo...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Bye bye supermarket:lock1: 1. Removes grease stains from clothing and fabric 2. Removes rust; methods include using fabric dipped in Coke, a sponge or even aluminum foil. Also loosens rusty bolts...
3 Reactions
20 Replies
10K Views
Wakuu naombeni majina ya vyuo vya serikali vyenye course ya pharmacy ngazi ya certificate na diploma.
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Hili tatizo sijui ni langu tu ama tuko wengi. Nikilala chali ama kwa ubavu wa kushoto naota sana ndoto mbaya, nakabwa ama nalimishwa hata nisali kabla ya kulala ama niweke biblia kama hirizi chini...
3 Reactions
73 Replies
27K Views
ndugu zangu wapendwa,naombeni msaada mwenzenu tumbo linanikata chini ya kitovu mpaka sijielewi.msaada samahani nifanyeje?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
'Ranjan Das, CEO and MD of SAP-Indian subcontinent died after a massive cardiac arrest in Mumbai recently. One of the youngest CEOs, he was only 42.' What killed Ranjan Das? He was very active...
0 Reactions
1 Replies
801 Views
Red scrotum syndrome ina tibiwa na nn na ni nini chanzo chake na kuna madhala ya kula chakula cha moto na tumai wote wazima!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini ,naomben ushauri mwanangu tangu amezaliwa ana wiki mbili .alikuwa analala vizur na kunyonya vizur..sasa kuanzia jana ameanza kulala saaana zaid ya masaa matano na kuamka ukimnyonyesha...
0 Reactions
1 Replies
12K Views
Back
Top Bottom