Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Naomba ushauri,nasumbuliwa na tumbo upande wa kushoto linauma maumivu ya mfululizo na yanafika mpaka kwenye mgongo kwa katikati.ila nimepima typhod sina,u.t.i sina,ila malaria nimekutwa nayo...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Soy power ni kwa ajili ya wanawake 1. Husawazsha hormone za kike mwilin 2. Huchangia kwa kuzuia ugonjwa wa moyo 3. Matatizo ya mifupa Royal je. 1. Husawazisha hormone 2. Kukufanya uwe na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
A), COMPOUND MARROW POWDER : Supplements calcium and magnesium to relive osteoporosis symptoms such as joint pain and lumbago; : strengthens hematopoietic function. : Improves immunity;relieves...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Katika ulimwengu wa vyakula, inafahamika na kuaminika kuwa chakula ni dawa. Chakula unachokula leo ndicho kinachoamua hali yako ya kiafya kesho. Unaweza kuishi bila kuugua kama ukila vyakula vyote...
12 Reactions
42 Replies
86K Views
Jamani mi nasumbuliwa na kichwa kinauma sana tena frequently kinaweza kuacha kwa mud a tu, shida iko hivi nikitembea juani kwa dakika 25 nitaumwa kichwa sana,pili nikiwasha computer hasa kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana JF! Wataalam wangu, naombeni kuuliza, ugpnjwa wa kutetemeka mikono husababishwa na nini na tiba yake ni ipi? Yaani utaona watu hasa watu wazima na wa makamo wakitetemeka mikono kiasi kwamba...
0 Reactions
15 Replies
11K Views
Habari wakuu, mimi nina tatizo la ukakasi au kama utando juu ya ulimi ambao huwa mwingi wakati naamka asubuhi pia ulimi unakuwa kama umeliwa ivi. nilienda hospital nkapewa dawa aina mbili Moja...
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Mlioko Dar es Salaam ni wapi wanahuduma mzuri ya kug'oa meno na gharama zake au kama wanapokea bima ya NHIF. Asanteni.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SARATANI YA MATITI NA NAMNA YA KUJICHUNGUZA MWENYEWE Saratani ya matiti ni ugonjwa ambao huwapata wanawake na unatokana na athari za chembe ndogo ama seli kwenye matiti na matokeo yake ni...
1 Reactions
4 Replies
20K Views
Habarini wakuu, Ninasumbuliwa na tumbo kuuma sana hasa ni nikila maharage na dagaa nimeenda hospitali moja ya wilaya nikapima kipimo cha occuh blood hakuna reaction yoyote. Nishaurini nifanyaje?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
What Eating Pork Does Inside Your Body (Medical Video) Some religions forbid the consumption of pork, and one of the reasons is that it is considered „unclean.“ Need an explanation? Is there...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Wakuu wa nchi wapi nitapata Dr wa mambo ya Urologist kwa wanaume, niko Arusha mjini. Msaada please.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nasumbululiwa na tumbo, muda mrefu nimeenda hospitali ya wilaya hawajaona tatizo wakuu wapi kuna hospitali nzuri mkoa wa Tanga? Mimi niko Korogwe..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF Hii ni ratiba ya mlo kwa wiki nzima kwa ambao wanapenda kuwa na afya bora pamoja na kujiepusha na baadhi ya maradhi na magonjwa kwa kupitia mpangilio mzuri wa vyakula...
0 Reactions
30 Replies
13K Views
https://www.yahoo.com/health/5-common-vaginal-odors-and-exactly-what-they-122863683890.html
0 Reactions
0 Replies
875 Views
Habari wanajamvi?? straight to the point, she is one month pregnant now, is it safe for her to travel by bus lets say from Dar to Moshi ( to and fro )? Note: Hatujaanza bado clinic, but by mwezi...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Epuka sana njia na vipodozi visivyo salama na vilivyopigwa marufuku na mamlaka ya chakula na dawa Tanzania (TFDA) maana vitakuletea matatizo mbali mbali ya afya kama vile kansa, allergy, ngozi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Sasa angalieni kiasi cha Sukari inayopatikana ndani ya Vinywaji Mnavyo Kunywa kila Siku haya...kumbuka ni chupa moja tu....kila shule inafaa hii picha iwekwe
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za kazi wana jukwaa. Najihisi kuvurugwa, naombeni msaada kwa mwenye utaalamu au uzoefu. Ni muda wa mwaka sasa tokea mimi na mpenzi wangu tukutane kimwili, lakini wiki iliyopita...
0 Reactions
28 Replies
27K Views
  • Redirect
Msaada tafadhali! Nikiwa period napata maumivu makali sana chin ya kitovu na kiuno ambayo hunipelekea kila mwezi mim kwenda hospital kuchoma sindano za maumivu wakati mwingne nikimaliza period...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom