Mimi na mke wangu tumeoana miezi minne iliyopita. Tumejaribu sana kufuata taratibu zote ikiwemo kuhesabu siku zake za urutibisha lakini hatujafanikiwa...
Je, nifanyeje kuweza kufanikisha hili...
Habari zenu humu ndani.
Baada ya salam, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.
Nina mtu wangu wa karibu ana hilo tatizo tajwa hp juu.
Mwenzangu huyu kupata choo kwake imekua nadra sana, yani...
VYAKULA VIZURI KWA WAGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO
Ili kupunguza makali au kujiepusha kabisa na ugonjwa wa vidonda vya tumbo, unapaswa kujiepusha na tabia ya kula na kushiba kupita kiasi, kwa...
Nikiwa katika period miguu na kiuno kinauma sana. Hospital wamenipa dawa ambazo nameza kila mwezi nikikarbia kuingia tena.
Nani anajua dawa ya kuponyesha kabisa?
Jana yalianza maumivu ambayo naona leo yamepungua, ila nashangaa kuona uvimbe!!
Sijajua exctly kipi kimesababisha...ila juzi niliendesha gari kwenye rough road karibia 8km...kabla ya hapo...
Habari zenu wakuu.
Naomba msaada nasumbuliwa na uvimbe(jipu) sehemu za makalio, nitumie dawa gani Lipone?
Iwe ya kienyeji au ya kizungu maana linauma mno likiguswa tu.
Wakuu mwanangu ana umri wa miaka 3,anasumbuliwa na kikohozi kikavu.
Kila baada ya dakika kumi lazima akohoe.
Naomba kufahamishwa ni dawa gani nzuri naweza kumpatia ikamsaidia.
Note; Hana homa.
FAIDA ZA MCHAI CHAI KWA AFYA YAKO
UJUE MCHAICHAI
Ni wengi wanaoutumia na
kuufahamu mchaichai kama
kiungo cha chakula jikoni na
wengine hutumia kama dawa ya
mbu.
Lakini, je unafahamu kuwa...
Unajihisi unataka kuamka na upo kwenye akili za kawaida kabisa lakini hauwezi kusogeza hata msuli mmoja wa mwili wako hata ukipiga kelele sauti haisikiki. Nina maswali kuhusiana na hili
(1) je hii...
Pale nilipokuwa nyumbani mza sikuwa na chunus ila nilipofika tbr kikaz kama miezi sita hivi zilifutuka chunus za hatali na haziishi ila nina uso wa mafuta mengi nikioga nakaa kama nusu sa -sa 1...
Kwa kifupi sana, nimesikia mitaani, eti ukimtahiri mtoto mdogo toddler (sio mchanga,) uume wake hautaongezeka, yaani wakati sahii afikishe miaka saba na kuendelea ama awe mchanga kabisa. Naomba...
Mwenzenu nina shida sana. Nilinenepa na kwenda kupima nikakuta nina kilo 125.8 wakati urefu wangu ni 198 nikashauriwa niwe na kilon 98 au 90. Nikaanza kufanya mazoezi na kupunguza sana msosi...
Watu wengi wananunua mashuka kutokana na mapenzi yao, lakini hawafahamu rangi ya shuka ina uhusiano na afya.
1. Rangi ya chungwa
Shuka ya rangi ya chungwa inaweza kusaidia kuongeza hamu ya kula na...
Habari wadau. Naomba mnijuze hivi mwanamke au binti anaweza kuwa na mimba ya wiki Tatu na akaona siku zake kama kawaida japo damu haitoki nyingi,,? Au changa La macho
,?
Habari wadau naomba mnijuze,
Hivi mwanamke au binti anaweza kuwa na mimba ya wiki tatu na akaona siku zake kama kawaida japo damu haitoki nyingi?
Au changa la macho?
Salam wana jamvi!
Mimi ni mmoja wa watumiaji wa kati wa pombe hasa weekend na nikiwa likizo. Nimetumia pombe kuanzia tarehe tano had tare 26 December bila kupumzika. Mara nyingi natumia Castle...
Wakuu, Salaam.
Bila shaka Tiba itolewayo na wataalamu kutoka 'NUGA BEST' si ngeni hususani mikoa ya miji mikubwa kama Dar es Salaam na Mwanza.
Naomba mwenye uelewa wa kutosha atuhabarishe...
Wakuu, Salaam.
Bila shaka Tiba itolewayo na wataalamu kutoka 'NUGA BEST' si ngeni hususani mikoa ya Majijini.
Naomba mwenye uelewa wa kutosha atuhabarishe kuhusiana na Tiba hii kwa namna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.