Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Moyo Moyo wa kibinadamu baada ya kutolewa kwenye maiti kwa utafiti wa kiganga Moyo kama ishara ya upendo Muundo wa moyo wa kibinadamu *1 Vena kava ya juu (damu inaingia kutoka...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Wakuu ni alfajiri hii siku ya leo, usishangae kwa nini nimeshika simu nakukaa kuandika uzi huu badala ya kujifunika gubigubi blanketi, hapo ujue ni kuwa usingizi umenipaa na dakika kadhaa...
37 Reactions
390 Replies
22K Views
Habar wakuu..nimerudi kuomba msaada kwenu.. nna ndugu yangu jinsia ya kiume jana majibu yameonesha figo zake zimefeli zote. Ni hivi huyu ndugu yangu ameanza kujiskia vibaya tangu majuzi kazidiwa...
6 Reactions
48 Replies
2K Views
Hi! Wakuu nafanya mazoezi ya gym almost miaka kumi now, Kuna mazoezi nayapenda zaidi ni squat ,na mengineyo, Squat napendelea kwa lengo niwe fit haswa pia kwajili ya self defence na afya...
5 Reactions
58 Replies
1K Views
JF doctor habari. Week iliyopita jumanne nilijikuta napata uchovu mkubwa sana, na maumivu kwenye mabega. Uchovu ulidumu siku mbili tu, then nikaanza kupata maumivu kiunoni na mgongoni kwenye...
0 Reactions
11 Replies
250 Views
Baadhi ya Maswali yaliyoulizwa na wadau Kuhusu tatizo la Ganzi kwa ujumla Habari wana JF, Naomba kujua kupata ganzi mwilini kunasababishwa na nini na tiba yake ni ipi? --- popoma yeye ameuliza...
2 Reactions
138 Replies
207K Views
Habarini wa Jf imepita sasa takribani week7 na nusu niko week ya 8 baada ya kuishi kwa msongo mkubwa sana wa mawazo kupelekea afya kudhorota na ufanisi wa kazi kuwa mbovu baada ya kuyatimba kwa...
2 Reactions
33 Replies
739 Views
Habari wakuu? Naomba kuleta kwenu swala hili la ugonjwa wa GERD. Je, kuna watu wameugua huu ugonjwa? Wamepona? Walitumia muda gani kupona? Ulitumia njia zipi/ matibabu gani Hadi kupona? Vipi...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Kuna watu hawaamini mpaka leo kuwa ngoma ni ugonjwa dhaifu kama magonjwa mengine pindi unapoingia mwilini kwa mara ya kwanza. Ikiwa mwili wako ni mwili wenye kinga imara ambayo inaweza kupambana...
9 Reactions
61 Replies
2K Views
Habari wana jamii, Ninasumbuliwa na tatizo la miguu kukaza kuanzia unyayoni mpaka kiunoni na hata mgongoni kiasi kwamba nakosa balance, siwezi kusimama au kutembea muda mrefu mpaka nitumie nguvu...
0 Reactions
9 Replies
221 Views
Mnyonyo ni mbegu zinazotokana na mti wa Mbarika. Sasa mwenye kujua zaidi atuhabarishe, manake hizi mbegu mi nasikia ni zaidi ya dawa!! Kwa niliyoyasikia hasa toka kwa wazee wa zamani ni haya...
3 Reactions
23 Replies
103K Views
Habari ndugu Wana jf. Natumaini nyie wazima wa afya Tena,niko hapa kuwaomba ushauri na uelewa juu ya tatizo hili la kichwa kuwa kizito sehemu ya nyuma bila kupoteza wakati Moja kwa Moja niende...
1 Reactions
18 Replies
274 Views
Habari Wana jukwaa! Kuna Binti anapitia changamoto ya mwili wote kuhisi maumivu ya kuwaka moto muda wote, miguu kuuma, mikono kushika ganzi na mabega kuumia lakini pia na meno yanamuuma ivyo vyote...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Wataalam Ningependa kujua kwa undani maana ya hiki kipimo cha full blood picture Kinahusu vipimo vyote vya damu? including HIV? Au ni vipi? Je, kinamsaidia dokta kupata picha ya magonjwa...
3 Reactions
38 Replies
33K Views
HAPA NI ELIMU YA ASALI TU Unakuta mtu anaasali nyingi hajui matumizi yake. Niulize chochote kuhusu asali nitakujibu hapa natoa na elimu yake Dawa ya Asili ya Kikohozi Sugu VIFAA 1.Kitunguu...
6 Reactions
119 Replies
5K Views
Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini mtu mwenye kisukari kidonda chake hakiponi haraka? JIBU: Kuna sababu kuu mbili za kisukari kuchelewesha kupona kwa vidonda: KWANZA: Viwango vya juu vya sukari...
4 Reactions
6 Replies
260 Views
Wasalaam madaktari na wahenga... Ninaandika uzi huu nikiwa na maswali mengi yakinichanganya akili. Nina mchumba wangu ni single mother pia amenizidi hadi umri. Kwanza ameokoka na katika uchumba...
19 Reactions
207 Replies
4K Views
Naelekea duka la dawa. Nikanunue dawa gani na bei ikoje? Usiniambié habari za kwenda hospitali, we taja dawa. Wengine tuliiba mashuka ya hospitali tukienda tu tunazua taharuki.
1 Reactions
12 Replies
261 Views
Back
Top Bottom