Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Naomba nipewe muongozo kuhusu kama mtu ameathiriwa kwa Kansa ya Kichwa anaweza kupata tiba hapa hapa Tanzania. Jamaa alikuwa ana uvimbe uliotokeza kwa nje ya tumbo lake upande wa kushoto. Akaenda...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wanajamii forum habari za shughuli?Aisee naomba msaada kwa mtu anayejuwa tiba ya mtoto mwenye umri wa miaka minne na nusu katika mfumo wa kupumua yaani anapumua kwa kuweka kituo between two hurt...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Hii tabia mwanzo sikuanayo! Imeanza kama miezi 7 ilopita. Yani naamka usingizini nakuta mate yamejaa mdomoni, na mbaya zaidi sikuhizi yameanza kutiririka kidogo niwapo usingizini. Why? Why...
0 Reactions
7 Replies
16K Views
Parts Used: Essential oil extracted from flower buds Constituents: eugenol ,gallic-acid , oleanolic-acid ,methyl-salicylate, magnesium, tannin ,vanillin Medicinal Uses & Health Benefits of Clove...
1 Reactions
0 Replies
12K Views
Nilipimwa juzi ,katika dispensar maeneo ya kigogo,,sasa nimegundulika na tatizo la figo,,nimeambiwa ni imfection,,bacteria wamepanda kutoka kwenye kibofu cha mkojo mpaka kwenye figo, nikapewa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
mi nina tatizo la uume wangu kuwa mdogo.mda mwingine naona hata aibu kufanya mapenzi na msichana.juzi juzi 2 nimekataa kufanya mapenzi na demu wangu kwa kutoa visingizio kibaaao.nisaidieni ndugu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za majukumu nimatumaini yangu mu wazima naomaeni kujuzwa jambo kwa mwenye hekima anijibu hivi ukitaka kumjua mwenzi wako kama anaujauzito utajuaje nilikutana naye kimwili tangu tarehe...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wana JF, habari za leo! Nimekuwa na tatizo la kusumbuliwa na miguu kwa mda wa mwezi mmoja sasa, hili tatizo huwa linanikuta hasa ninapokuwa nimekaa kwenye kiti nimetulia au nikiwa nafanya kazi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Naamini ushauri wenu kwa asilimia 100%maana ulishanisaidia several times, nina mdogo wangu wa kike ana miaka 22 ,anasumbuliwa na tatizo ambalo kwa kweli tumemtibu na tumeshindwa kuelewa ninini...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu nisaidieni nina tatizo la flue isiyoisha, kila baada ya siku 3 nakua na flue yaani inanikera sana..kama mtu unaeza nisaidia nipate tiba wapi au nitumie dawa gani ntashukuru sana,..
0 Reactions
2 Replies
3K Views
ninaomba msaada wa kuujua ugonjwa huu na chanzo chake tafadhali na nini kifanyike kuprevent
0 Reactions
2 Replies
834 Views
Tumbo linanisumbua sana nilijarb kwenda hosp nikachukua vipimo nikahambiwa choo ndio kinasumbua nikapewa dawa hila dawa haijanisaidia chochote pia naweza nisipate aja kubwa kwa muda wa siku 4 hadi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba msaada wana janv mimi nimetumia chndarua baada ya siku naona naota vipele sehemu mbali mbali za mwili hasa mkono mmoja ambao nilikuwa nimeuweka kwenye chandarua kwa sababu nilikuwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hi JF, Please refers to this post https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/331545-ugonjwa-huu-ni-kitu-gani.html Watu wengi wali-comment mambo yasiyo eleweka na ya kukatisha tamaa. Hakuna aliyeweza...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau habarini Nina matatizo ya kutoa gesi tumboni(bloating). Wataalam mnisaidie maana nimetumia Unenzyme lakini haijasaidia. Cc Riwa
0 Reactions
4 Replies
4K Views
KWA WAJAWAZITO hasa wanaopenda mimba zao unashauriwa kufanya mazoezi angalau mara mbili kwa siku yaani asubuhi na jion kunywa maji mengi kwani kunapunguza kuvimba mguu na kupata magonjwa...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
habari za jioni jf doctor, ninafahamu ya kwamba mama anapomaliza kujifungua huwa anatakiwa kukandwa maji ya moto tumboni ili kuziruhusu damu chafu kutoka baada ya kujifungua. je kuna njia gani...
0 Reactions
6 Replies
12K Views
wapendwa wanajf anaejua elimu ya utosi wa mtoto kudunda anijuze fasta naomba maana naona utosi wa kichanga changu hauchezi sina raha jamani nisaidieni sijawahi kuona utosi wamtoto mchanga usicheze...
0 Reactions
1 Replies
17K Views
doctors napenda kuelimishwa, inakuwaje mama anayenyonyesha haingii kwenye siku zake(bleed) lakini akifanya mapenzi anapata ujauzito? sayansi ya ujauzito inasemaje doctors?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom