wadau naomba msaada wa jinsi ya kukomesha vipele usoni, na apia jinsi ya kuondoa mabaka meusi usoni,
Je kuna uwezekano wa kuzuia au kupunguza kasi ya ndevu kuota? msaada wenu tafadhali
habar wapendwa,,nadhani wote tuu wazima,,ninaomba ushauri wenu nifanye njia gani zisizo na madhara kupunguza mwili na uzito?hasa kupunguza mwili,,naombeni msaaa wenu katika hili,,
Leo mchumba wangu amekuja kunitembelea sasa swali langu ni namna ya kuepusha mimba,kwani alianza monthly period tarehe 29.04.2012 sasa je leo tukifanya mapenzi bila kutumia kinga anaweza...
Jamani napata maumivu ya mifupa ya kwenye ugoko miguu yote,nashindwa kuelewa ni kitu gani kinasababisha hii kitu maana cjakimbia wala kufanya zoezi lolote cku za karibuni
Jaman mm nna tatizo,mm bado c jaoa lakini nataka tatizo hili ata nikataka kuoa niwe tayar nimelisha lipatia ufumbuz,,,,,
tatizo lenyewe ni samahanini lakini 'endapo nitafanya mapenz bac baada...
Heshima mbele wakuu wa jamvi.
Hapa nyumbani kuna dada angu yupo darasa la nne, Juzi alikuwa anaumwa akapelekwa haospitali.
Akapima mkojo kwa ajili ya UTI. Majibu yakatoka Daktari akasema mkojo...
Wakuu wana jf,
leo nakuja hapa kupata jambo moja tu!,ninae mgonjwa mtu mzima above 40 ana jipu shingon limetimbuliwa toka last year had sasa ndo linakauka na limeleta uvimbe wa tezi. Pia wiki 2...
Habari zenu wakuu,
Nina rafiki ambaye amekuwa akisumbuliwa na kifua kubana hasa anapokuwa na msongo wa mawazo(ni kwa muda usiopungua miaka minne sasa), maumivu hayo hayatokei mara kwa mara ila...
Hivi nikweli kuwa mtu mwenye matatizo ya ugonjwa wa moyo na presha hapaswi kudungwa sindano ya DICLOFENAC?. Tafadhali naomba wanajamvi mnijuze juu ya kadhia hii. Natanguliza shukrani zangu za dhati,
Jaman mimi ninashida jins ya kutumia kondomu kwa usahihi, eti unaweza ukapiga bao zaid ya moja kwenye kondomu moja? kwan nimeona kwenye maelezo ya namna ya kutumia kondomu kwenye pakiti...
Ndugu zangu naomba ushauri, mtoto wangu anawiki moja tangu azaliwe,analia kwanguvu mara kwa mara. Akisha lia tu,hujisaidia haja kubwa. Pia hutikiswa mara kwa mara(hustuka). Nisaidieni kwa ushauri.
Wakuu, naomba kuwasilisha kwenu tatizo hili, wakati wa baridi, sehemu za korodani hujaa vimaji kidogo, ambavyo hupelekea kuhisi kaama kichomi, na kuuma, tiba yake hasa ni nini? wengine huita...
LATEST CANCER INFORMATION
from Johns Hopkins
AFTER YEARS OF TELLING PEOPLE CHEMOTHERAPY IS THE ONLY WAY TO TRY AND ELIMINATE CANCER, JOHNS HOPKINS IS FINALLY STARTING TO TELL YOU THERE IS AN...
Wana JF naomba mwenye kujua namba za simu za Dr. Emmanuel Boaz anayetibu mifupa kiasili tafadhali nipatie, au maelekezo ya kuelekea kliniki yake. Asanteni
Nimekutana mara kadhaa na hawa MaDr wa mitipori wa Kimasai wakinadi dawa ya kuotesha nywele kwa wenye vipara!
Ninachopenda kujua kama kuna mdau ameisha tumia hizi dawa na kweli zikaotesha nyweleze...
Jamani naomba mnambie tiba ya vipele usoni mana nimepata vipele kuzunguka eneo ya shingo haviwashi wala kuuma.ila vinashamiri siku hadi siku.niliwai onana na doctor nikapewa elycort tube ila...
jamani huu mwaka takribani wa tano kichwa changu kinawasha, nimejaribu kumeza dozi ya mwezi(vidonge 30) bila nafuu, nimepaka mafuta ya asili lkn wapi! Km kuna mtu anajua dawa anisaidie kunitajia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.