Habari ya mchana watu wangu wa nguvu kabisa mnaendeleaje na afya zenu jamani..mmeshapata lunch jamni maana ndo muda wenyewe huu
Siku zilizopita tulizungumzia vitu ambacho hatuvipendi katika...
Wakuu nimekaa hapa nikakumbuka kuna kipindi tulishwahi kutumia chaja ya kobe. Na wenye nazo walikuwa wanaringa vile vile kama wanavyoringa wamiliki wa type C leo hii😂
Kwanini iliitwa chaja ya...
Na hii airtime wanayopata Mara nyingi sio katika kusheheresha shughuli zao bali kudharalilisha uanaume.
Ila siwezi walaumu hawa wadada maana ni watu wa mihemuko na pia hawa vijana hajalazimishwa...
wamenishangaza, sikutegemea, nilijua content zao ni za SOFT life na udaku pekee, wamenifurahisha.
Kumbe vijana mnapenda HAKI, kumbe vijana unapenda DEMOKRASIA, basi mmetisha.
Hakuna ubaya kuwa...
Aisee huu mji ni una warembo vibaya mno. Nipo hapa stendi ndogo jirani na Kimahama yaani shingo inataka kukatika sijui ni wa mkoa gani hawa mabinti wa Tanzania, warefu weupe/maji ya kunde ngozi...
Nimefungua uzi huu mahususi kabisa kutokana na uchovu unaotupata kwenye mida flani hivi makazini. Mara nyingi ikiwa bado masaa mawili au moja kutoka.
Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane...
Wanandugu,
Mimi huwa naenda pale Uchumi siku za weekend kununua mahitaji kadha wa kadha. Lakini kuna katabia pale ambacho huwa kinanikera sana. Mara nyingi wale cashier wao hawana chenji ndogo...
Wakuu hali siyo poa, hali siyo safi, hali si nzuri kabisa, katika halakati za kufukuza shilingi leo najihisi kuumwa umwa kabisa. Dar es salaam mateso tupu kwa kweli, mwakani mkisikia nipo kwa...
Wakuu kwema.
Mi sio mdau sana wa kilevi. Ila kutokana na matatizo, upweke na stress zilizoniandama hivi karibuni nimeona hakuna jinsi.
Nilianza na St. Ann, Dompo ila izo uwa nagusa tu kidogo...
Mzuka wanajamvi
Mimi sinaga bahati kabisa. Tangu outbreak wa hili gonjwa hatarii nimekuwa kwa maksud nashindilia na kubughia minofu na supu ya popo mfululizo lakini wapi ndio kwanza afya yangu...
1. Post haihusu mapenzi wala mahusiano anaipeleka jukwaa la MMU. Basi tu ili mradi watu waisome na wamuone.
2. Anapenda kuzua ubishi kwenye thread za watu kwa jambo lisilo na ubishi ili mradi...
Hahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona...
Dar es salaam ni Town City pekee nchini kwetu ambapo unaweza kukutana na watu wa kila aina, asili na tabia tofautitofauti.
Hapa bwana unaweza kumtongoza mwanamke leo, na mkamalizana leoleo bila...
Pamoja na kua na vigezo, ila muonekano wangu ulifanya mkuu wa panel awe mpole sana na kuonesha kuvutiwa na mimi, nilipata kazi kirahisi sana.
Baada ya kuingia kazini, nikawa namkwesikutaka ku...
Kuna wakati mji wa Dar es salaam ulikuwa wenye rotuba for "DREAMERS", sasa hivi ni mji wa "MAKERS"
Kuna wakati vijana kutoka Kigoma walidandia treni kuja Dar, atagongea pa kulala, baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.