JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari ya mchana watu wangu wa nguvu kabisa mnaendeleaje na afya zenu jamani..mmeshapata lunch jamni maana ndo muda wenyewe huu Siku zilizopita tulizungumzia vitu ambacho hatuvipendi katika...
11 Reactions
201 Replies
10K Views
Wakuu nimekaa hapa nikakumbuka kuna kipindi tulishwahi kutumia chaja ya kobe. Na wenye nazo walikuwa wanaringa vile vile kama wanavyoringa wamiliki wa type C leo hii😂 Kwanini iliitwa chaja ya...
1 Reactions
52 Replies
985 Views
Na hii airtime wanayopata Mara nyingi sio katika kusheheresha shughuli zao bali kudharalilisha uanaume. Ila siwezi walaumu hawa wadada maana ni watu wa mihemuko na pia hawa vijana hajalazimishwa...
4 Reactions
26 Replies
936 Views
Kwa kifupi tu kibongobongo ukisema unywe hizi pombe, unaonekana ni mtu ambae ushakata ringi, unasubiri kujifia tu. 1. Balimi 2. Visungura 3. Double kick 4. Gongo 5. Plisner 6. Eagle 7. Komoni 8...
8 Reactions
57 Replies
2K Views
Anatufaa. Uzi tayari.
1 Reactions
8 Replies
493 Views
Habari wakuu, Week hii ninajambo langu zito sana nafikiri baadhi ya watu wanalielewa vizuri. Kwahiyo tukae attention Weka kambi hapa
5 Reactions
18 Replies
579 Views
wamenishangaza, sikutegemea, nilijua content zao ni za SOFT life na udaku pekee, wamenifurahisha. Kumbe vijana mnapenda HAKI, kumbe vijana unapenda DEMOKRASIA, basi mmetisha. Hakuna ubaya kuwa...
4 Reactions
17 Replies
934 Views
Aisee huu mji ni una warembo vibaya mno. Nipo hapa stendi ndogo jirani na Kimahama yaani shingo inataka kukatika sijui ni wa mkoa gani hawa mabinti wa Tanzania, warefu weupe/maji ya kunde ngozi...
20 Reactions
248 Replies
6K Views
Eti wakuu kwanini watu wafupi huwa wanakua na sauti ndogo Mfano Yericko Nyerere Steve Nyerere
1 Reactions
9 Replies
542 Views
Nimefungua uzi huu mahususi kabisa kutokana na uchovu unaotupata kwenye mida flani hivi makazini. Mara nyingi ikiwa bado masaa mawili au moja kutoka. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanandugu, Mimi huwa naenda pale Uchumi siku za weekend kununua mahitaji kadha wa kadha. Lakini kuna katabia pale ambacho huwa kinanikera sana. Mara nyingi wale cashier wao hawana chenji ndogo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu hali siyo poa, hali siyo safi, hali si nzuri kabisa, katika halakati za kufukuza shilingi leo najihisi kuumwa umwa kabisa. Dar es salaam mateso tupu kwa kweli, mwakani mkisikia nipo kwa...
2 Reactions
0 Replies
142 Views
Wakuu kwema. Mi sio mdau sana wa kilevi. Ila kutokana na matatizo, upweke na stress zilizoniandama hivi karibuni nimeona hakuna jinsi. Nilianza na St. Ann, Dompo ila izo uwa nagusa tu kidogo...
4 Reactions
25 Replies
4K Views
Mzuka wanajamvi Mimi sinaga bahati kabisa. Tangu outbreak wa hili gonjwa hatarii nimekuwa kwa maksud nashindilia na kubughia minofu na supu ya popo mfululizo lakini wapi ndio kwanza afya yangu...
7 Reactions
39 Replies
6K Views
1. Post haihusu mapenzi wala mahusiano anaipeleka jukwaa la MMU. Basi tu ili mradi watu waisome na wamuone. 2. Anapenda kuzua ubishi kwenye thread za watu kwa jambo lisilo na ubishi ili mradi...
14 Reactions
170 Replies
18K Views
Hahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona...
31 Reactions
310 Replies
31K Views
Dar es salaam ni Town City pekee nchini kwetu ambapo unaweza kukutana na watu wa kila aina, asili na tabia tofautitofauti. Hapa bwana unaweza kumtongoza mwanamke leo, na mkamalizana leoleo bila...
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Pamoja na kua na vigezo, ila muonekano wangu ulifanya mkuu wa panel awe mpole sana na kuonesha kuvutiwa na mimi, nilipata kazi kirahisi sana. Baada ya kuingia kazini, nikawa namkwesikutaka ku...
6 Reactions
21 Replies
861 Views
Kuna wakati mji wa Dar es salaam ulikuwa wenye rotuba for "DREAMERS", sasa hivi ni mji wa "MAKERS" Kuna wakati vijana kutoka Kigoma walidandia treni kuja Dar, atagongea pa kulala, baada ya...
6 Reactions
20 Replies
921 Views
Back
Top Bottom