Nawapenda sana na nawatakieni jioni njema wadada wa Jamiiforums mtag mdada unaempenda na unae mkubali sana mimi nawakubali hawa👇👇 FaizaFoxy
Kasie
Dr Lizzy
Depal dada yangu
Jadda
Kalpana
Unique...
Naomba nikosolewe au kupongezwa kwa utaratibu nilioelekeza nyumbani kwangu kwamba ni marufuku wife kupokea shukrani za mgeni anaeshukuru kwa chakula.
Hii imekua ikitokea hata kwa wageni ambao...
Nimewatazama wazee wangu pamoja na marafiki zangu ambao ni wazee, nimegundua miili yao haiongezeki zaidi ya kupukutika; ile minofu iliyokuwa inaficha mifupa inapotea.
Sasa najiuliza swali kwa...
Aisee naona kama nimeshindwa tena kuwapiga sound mademu yaani siku hizi sound zangu naona kama zimeisha nguvu kila demu ninaemtongoza now simpati sijajua shida ni nini maana hadi nimekata...
Mambo yalipofikia sio mazuri. Nadhani inahitajika busara ya ziada kufundishana na kuelekezena pasipo kubughudhiana na kutukanana.
Kina dada wa JF mnataka tufanye nini! tutafute mbinu zipi...
Naisubiri siku hii kwa hamu niamke mwenye hasira kiasi cha kutaka kuua mtu na si mmoja
Kabla ya kulala usiku huo nitakunywa pombe nyingi na bangi nyingi ili nikiamka niwe nazo kichwani na...
Nasikia kuwa mwanamke akikuchukia ni amekupenda sana .
Nauliza hivi maana kuna mwanamke hapa karibu na sehemu nilipo ananichukia sijapata kuona chuki ya namna hii .
Wadada wa jamii emu...
Katika pitapita zangu leo jioni maeneo fulani ya kujidai nikakutana live na mwanajf mashuhuri sana hapa kutokana michango yake ya ajabu kwenye nyuzi tofauti tofauti. Amenichangamkia sana sikuwahi...
Huu ni utafiti wangu binafsi nilioufanya kulingana na curiosity nilokuwa nayo kujua hili na lile katika masuala mazima ya udereva na jinsi madereva wanavyoliendesha gari langu kulingana na life...
Usiombe apate namba ako alafu upokee simu yake au ujibu hata txt yake moja tu.
Ndani ya dakika 5 unajuta kwa nini aliumbwa mfupi.
Samahani kwa wale wafupi ambao mpo humu.
JIREKEBISHENI
Kwa wanawake akiniwekea hivyo najua hana mwanaume mmoja yaani ana mambo mengi anafanya huko kwa simu yake na hataki abambwe kama yeye ni malaya,
Kwa wanaume akiweka hivyo red flag ya kwanza ni...
Mamboooooz
Naimani nyoote mu wazima humu ndani
Nimejaribu kuvumilia siku nyingiiii lkn imeniwia vigumu kutatua swala hili.
kwanza awali ya yote niombe tu msamaha kwa Nifah kwa kujaribu kuingia...
Namshukuru Mungu kwa kweli, tarehe kama ya leo miaka arobaini iliyopita, alizaliwa kipenzi, rafiki, dada, mdogo wangu mzuri mzuri jamani na ndugu yangu kipenzi Shunie!!
Mungu azidi kukuinua...
Halafu anataka mimi nibaki ndani namsubiri yeye mpaka umeme wake uwake.
Vijana kuleni tu hizo viagra ujanani. Fainali uzeeni.
Pesa yako nakula halafu wewe unakula kwa macho coz huna umeme wa...
Natamani kujua siri ya hiko kilevi.
Coz nipo na chupa ya pili sasa na najisikia kuagiza inayofuata
Nzuri ladha yake ukichanganya na coke
Ingawa mie sio dada poa.
Nina BIASHARA zangu TOFAUTI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.