Gwajima: naona Bashite kaliamsha dudee sasa tukutane jumapili ijayo kanisa la ufufuo na uzima
wazee wa popcorn mnichukulie na mimi nitawawekea siti
#WapostPumba
Kizazi cha mwaka 1990 kushuka chini kilipenda kueka #Vitanda karibu na madirisha ili waweze kuona mwezi na nyota wakati wa usiku...;)
Kizazi cha mwaka 1991 mpk sasa 2017 utasikia kina mwambia...
Salaam nyingi sana wanaJF.
Neno 'kismati' limekuwa likitumika kuashia mtu kuwa na bahati nzuri au zali kwa wenzetu vijana huku mtaani.
Wanawake wenye ndevu ni kama wana kismati.Mwanaume...
Katika maisha kila mtu ana maono yake, na sote tuna matamanio yetu ambayo tungependa kuyafikia hata kama hatuna uwezo huo!! Mfano kwa wapenzi wa mpira ukiwauliza ungependa uwe kama nan kama...
Kuna Members wawili ' maarufu ' sana humu JF na ambao pia wameshaanzisha ushirikiano wao wa kutukuka wa Kibaiolojia / Mapenzi ila tokea watutangazie huo umoja wao wa Kibaiolojia ' uchangamfu ' wao...
Visa vya sekondari ni moja kati ya kumbu kumbu zangu ambazo siwezi kuzisahau kirahisi japo nmeshahitimu chuo.
Kuna kipindi nakumbuka shuleni sekondari ukiwa mtukukutu wanampigia simu mzazi...
*Wanaume wa Dar es Salaam ni waoga sana yaani wameshindwa kumuhoji BASHITE mpaka amehojiwa na wanaume wa Mwanza*
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji85]
Jamani tuwaache hawa wanawake waishi wapendavyo.
Mana sasa kila kitu kizuri tunawakataza wasifanye hadi imekuwa kero sasa.
Ndo mana wanatusema wanaume tunalia lia siku hizi...
Habari waungwana, ni katika mfululizo na mwendelezo wa harakati za kimaisha na kimaendeleo. Leo nimekuja na hili la kuipongeza mitandao ya kijamii, hususani jf , huu mtandao kiukweli umenifanya...
Hakika sina shaka na ninachokisema kama unasikia mahojiano hayo yanayoendelea au umeyasikia japo kidogo unaweza kuamini hayo ninayosema
Huyu Jamaa ni mtunzi mzuri wa story maana anayoelezea huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.