Kumekuwa na tatizo katika while ninayosoma madada wengi sana wanasheki(wanatembea wanatikisa miguu kama mlevi) ni kitu gani kinachosababisha.
Naomba kujulishwa
Sema shem naamini uko poa,
Nilipita mda fulani nikakuta sehemu umeacha on Id yako, kumbuka kusig off mpwa wabaya wengi wakina pdidy wenye roho njema wanahesabika humu.
Wasalaam
pdidy
nb.id...
Leo nimejitupia ndani ya daladala moja Gongo la Mboto~posta.Wamepanda vischana viwili vya secondary, story zao mpaka wanashuka ni boyfriends tuu tena asubuhi yote hii inayoitwa blue monday hawa...
Eti Kama Inatokea Bahati Nasibu Ukaambiwa Upige Kura Kumchagua Mtu Mmoja Wakurudi Duniani Utamchagua Nani Kati Ya Hawa?1.Julius K.Nyerere,2. Osama Bin Laden,3.Adolf Hittler,4. Moringe Sokoine,5...
Leo nimekaa na kuwambuka baadhi ya Maheadmaster wa shule zetu katika miaka ya 80s, 90s na early 00s, ni wale waliokuwa katika zile shule zetu kongwe za miaka mingi, kutokana na uchache wa shule...
Heshima mbele wana JF,
Mwenzenu kila nikikatiza mitaani, kwenye shopping malls, beach na kila sehemu aisee nashindwa kuzuia hisia zangu juu wa dada zetu.
Kwa kweli dada zetu wamejaaliwa neema ya...
Jamani, Leo Asubuhi Nimekutana na ombaomba nikamuuliza "nikikupa 50,000 utafanyaje" akanijibu "nitakufa Kwa furaha". Ikanibidi niondoke kuhofia maisha yake.
Credit:Malisa Godlisten
Dear Friends in Arusha
Jinsi kuanzisha biashara bila kuwa na mtaji mkubwa kwa muda wako wa ziada.
Tar 1. Mei Mosi, tunawakaribisha kwenye oriflame mega event itakayofanyika New Safari Hotel...
Jamani wote tu mashahidi katika hili, kuna wale watu wa kuomba ofa kila mahali yaani ukikutana nao mara nataka soda, bia yaani mpaka kero, lakini mchezo unakuja hapa hawa watu ukiwapatia hizo ofa...
Baada ya Idd Amin kumpindua Obote mwaka 1971, aliweza kuhudhuria vikao mbali mbali huko umoja wa mataifa. Siku moja wakakutana katika kikao kimoja cha kwanza kwa Idd Amin kuhudhuria, na kwa kuwa...
Habari zenu ndugu,...
Inavyoonekana hapa kwetu Tanzania mahusiano ya vitu tajwa hapo juu ni makubwa mno, Je! Ni kawaida vitu hivi kwenda sambamba au ni mazoea yamepitiliza....
Mpendwa farkhina, natambua leo ni siku yako ya kuzaliwa na sina budi kutumia wasaa huu kukupa hongera kwa kuongeza umri na kukutakia yote yalio ya kheri katika kuadhimisha siku hii ya leo.
Mola...
Salaam,
Salamu ni moja ya jambo ambalo ni sehemu ya kumuheshimu yule uliyemuakia. Kuna salamu.za kilugha, mambo vipi, shikamoo, habari gani?
Lakini kuna hii salamu ya "heshima yako" binafsi...
Toka tunakuwa tunasikia huu msemo fulani na fulani ni chui na paka yaani hawapatani. Sasa kutopatana kwao kuna uhusiano gani wa kusema chui na paka? Kwani kuna nini kati ya chui na paka?
Kwakweli serekali ya Tanzania ijaonesha action yoyote ile kwa jambo south Africa wanafanya kupiga wageni huku kweli wanapewa hesma kubwa. Sijui niuwoga au.
Wadau
Ukiwauliza watoto wengi ambao wameshajitambua kiasi kwamba watakapokuwa wakubwa wanataka kuwa nani.....wengi utasikia wakisema wanataka kuwa manadaktari,mainjinia,rais........nk na ni nadra...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.