1.italy wilk be conquered by communism. Cardinals and bishops will be killed. For a time the. Vatican will be closed and the. Catholic religion will stop for a while. Communism will seep...
Wanasiasa 40 walipata ajali mbaya porini mkulima mmoja alipoona hivyo alichimba shimo na kuwazika wote pamoja.alipoulizwa na polisi juu ya maiti mambo yalikuwa hivi;
POLISI: zipo wapi maiti...
...nimekosa swaga la kuanzia!!
Sijalipwa na wala sina interest yoyote na 'Valentina'..
Valentina alishaishi nje sanaa,
Majina ya waliowahi kumtokea hapa na kulia sana PM ni haya...
Nimepewa ultmatum na ndugu zangu nitafute mke. Kwa vile shughuli za kiofisi zinanikeep locked nimeona njia rahisi by hooks and crooks ni kumnasa Lara 1 au Charming lady. Maisha ya sasa hayahitaji...
~Kama salam ni aibu
niko tayari niaibike kwa ajili yenu.
~Kama salam ni mali
niko radhi nifilisike
kwa upendowangu kwenu.
Kama salam ni
lawama ni bora
nilaumiwejuu yenu.
~Kama salam...
Yawezekana ni tatizo la wachache au wengi au yawezekana pia ni tatizo langu pekeyangu lakini kwakweli mvua hii imenitia hasara kubwa yani ndani ya wiki moja nimeshapoteza miamvuli mitatu...
Nilikuwa kwenye usafiri wa 'public' jamaa mmoja akauliza kwanini wahudumu wengi wa baa (maarufu baamedi) huwa hawatumii glass pindi wanapokunywa bia? Nilifika ninapokwenda kabla sijapata jibu...
Kule Kwa Wenzetu Wanautamaduni Wao Kila Wanapolala Mfn:
USA-Good Night
UK-Nice Dream
Australia-Enjoy the night
Canada-God Be With You Tonight.
Ila Kwetu Sasa
Arusha-Usisahau Blanket
Dsm-Umefunga...
Jamani, Bwana Yesu Asifiwe! Habarini Za Asubuh! Basi Kama Umeamka Salama Mshukuru Mungu. Iko Siri Pia Ktk Kumka Mapema Kwani Adui Mkubwa Wa Mafanikio Ni Muda. Na Kama Biblia Inavyosema Kuwa...
Wakuu,
Naomba ku'declare interest' kwa huyu dada ni kuwa ananisuuza mno azungumzapo hivo hupunguza 'stress' zote. Ninazokuwa na kupenda kusikiliza kipindi chao cha "Yaliyomo Yamo" radioni...
Waungwana tuambiane,
Hivi ukubwa wa mtu unapimwa kwa kuangalia nini?
-umri alionao?
-majukumu aliyonayo?
-mawazo aliyonayo?
-pesa aliyonayo?
Au nini?
Maana kila kila mtu siku hizi anajiona mkubwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.