Sasa jaukwaani huku JF mkiona zile thread za kitoto na miandiko ya kama FB na vitukovituko msiwalaumu maana sikuhizi watu wanamaliza form 6 wengi wakiwa na umri mdogo na akili za kitoto vilevile...
Jijini Dar es Salaam Nalisikia Peke Yangu Tu au Nanyi Huko Mliko Mnalisikia? Ni Baridi Kali Hadi Linaingia Ktk Mifupa Na Kutetemesha Mwili. Hivi Kwa Staili Hii Kuna Kuoga Kweli Leo au Mwendo Ni...
Usiku kuamkia leo nikiwa ndotoni:- rafiki yangu akanipa miadi ya kutoka lakin pia akaniambia anatumia fursa hiyo kunitambulisha kwa demu wake, tuko sehemu ya tukio akafika mwanadada mzuri kweli...
Naomba nizikiri wazi kuwa ni ngumu kwangu kuishi bila mchepuko.Ziko sababu nyingi zinazopelekea kuwa na mchepuko mathalani jinsi anavyokunyenyekea na ubunifu kitandani.
Mchepuko wangu nimeusevu...
Wakuu,
Kuna huyu Dada wa Airtel ambaye anajibu watu pale unapopiga namba ya Airtel na haipo hewani au haipatikani, napenda sana kusikia anavyoongea, ana slang za kufa mtu ukijumlisha na sauti...
Kubwa zaidi ni ya wanywaji pombe (vilevi) wanapanga mkakati wa punguzo bei ya vinywaji na kwa kuwa Serikari yetu siyo sikivu, wanapanga mgomo ambao utahusisha baa na zote kufungwa na walevi...
Wengi walivunja mbavu katika mji wa tanga baada ya kichaa mmoja kununua kiberiti iliyokuwa imechorwa kifaru.La kushangaza ni kuwa alikuwa amekataa dawa kwa muda mrefu.Alipotingisha kile kiberiti...
1.italy wilk be conquered by communism. Cardinals and bishops will be killed. For a time the. Vatican will be closed and the. Catholic religion will stop for a while. Communism will seep...
Wanasiasa 40 walipata ajali mbaya porini mkulima mmoja alipoona hivyo alichimba shimo na kuwazika wote pamoja.alipoulizwa na polisi juu ya maiti mambo yalikuwa hivi;
POLISI: zipo wapi maiti...
...nimekosa swaga la kuanzia!!
Sijalipwa na wala sina interest yoyote na 'Valentina'..
Valentina alishaishi nje sanaa,
Majina ya waliowahi kumtokea hapa na kulia sana PM ni haya...
Nimepewa ultmatum na ndugu zangu nitafute mke. Kwa vile shughuli za kiofisi zinanikeep locked nimeona njia rahisi by hooks and crooks ni kumnasa Lara 1 au Charming lady. Maisha ya sasa hayahitaji...
~Kama salam ni aibu
niko tayari niaibike kwa ajili yenu.
~Kama salam ni mali
niko radhi nifilisike
kwa upendowangu kwenu.
Kama salam ni
lawama ni bora
nilaumiwejuu yenu.
~Kama salam...
Yawezekana ni tatizo la wachache au wengi au yawezekana pia ni tatizo langu pekeyangu lakini kwakweli mvua hii imenitia hasara kubwa yani ndani ya wiki moja nimeshapoteza miamvuli mitatu...
Nilikuwa kwenye usafiri wa 'public' jamaa mmoja akauliza kwanini wahudumu wengi wa baa (maarufu baamedi) huwa hawatumii glass pindi wanapokunywa bia? Nilifika ninapokwenda kabla sijapata jibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.