Habari wana MMU,
Kwa mara ya kwanza nimeona mchepuko kani save 'Asante' sijashangaa sana si unajua weekend bwana kaacha simu kaenda washroom nikambeep naona asante! Wewe wako amekusave vipi...
Ulivyomuacha ulikuja kwa kufurahia ooh nimempiga chini, eti hana ishu yule. Leo umeachwa mwanzo mwisho unatulilia,ooh jamani anaondoka mbona sijamfanyia kibaya. Hukumbi ulivyomuacha yule mwingne...
UNGEKUWA NDIO MZAZI UNGEMJIBU NINI HUYU MTOTO????..
MTOTO ana wauliza WAZAZI wake
"Hivi BABA na MAMA j,, mnaweza kutoa gari na kumpa house girl ??"
WAZAZI wanajibu, "gari letu linathamani...
HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO
TANGAZO LA KAZI
Halmashauri ya wilaya ya Rombo kwa kushirikiana na chama cha wanaume rijali Tanzania (CHAWARITA) inatangaza nafasi elfu saba na miatano (7500)...
Kumeibuka tabia mbaya ya baadhi ya wanawake kumuita mwanaume (Mpenzi wake)"BABY". Kwa kawaida ni mtoto mchanga. Inasikitisha kwa mwanaume mtu mzima / mzee kuita BABY naye anakubali kuitwa jina...
Naamini mko poa,
Wataje members unaowakubali sana humu jamvini kwa posti zao na thread zao pia kwa walio mahiri kuchangia.Pia na wale member wanachangia kwa busara.
Wanachitchat hamjambo,
Niko very serious. Nataka wale wote tuliodumu humu JF kwa zaidi ya miaka mitatu bila kulimwa ban tuunde kikundi kitakachoitwa WAGUMU/UNBANNABLES.
Madhumuni:
1.Kupeana...
Ni kwa nini lakini mnatufanyia hivi sisi wakazi wa Kigamboni?
WHY!???
Tangu jana mmekata umeme, mkipigiwa simu ipo busy muda wote mmerudisha leo na kukata kama vile ni taa za christmas...
Kwanini huwezi kuona/kusikia gari Kama BMW X5,L.CRUISER V8 au Mercedes Benz S class inapita huku imefunguliwa mziki kwa sauti ya juu sana!?
Ila hio ni kawaida kwa vigari kama vits,passo,starlet...
Baada ya kupata jeraha la kwenye nyugunyugu kutokana na kujifanya mie stalingi kama jaki chani kujaribu kila staili matokeo yake najiuguza wiki sasa nyumbani.
Kilichonifanya niwamegee hii info ni...
Kina dada,
Kwa wale wote mnaopenda kujipatia wabeba maboksi wenu nitumieni PM. Mimi kama raisi wao hapa JF nime compile bonge moja la profile database na lina karibu kila kitu upendacho kujua...
Heshima kwenu wadau,
Kuna jamaa m:horn:moja huku JF anaitwa Remote jamaa ni noma sana kwa muda mrefu nimekua nikifuatilia nyuzi zake pamoja na comments anazoziweka humu. Ilibidi nifanye hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.