kuna jamaa mmoja alienda katika kijiji fulani. Akatokea kumpenda msichana fulani .Na yule msichana alikuwa wa ukweli, sio zobazoba. Jamaa akasend request yake demu kamkubali.
Jamaa akauliza...
Kuna jamaa alimpenda mwanamke sana, kiasi kwamba chochote atakacho anampa. Siku moja jamaa alimuahidi demu kuwa atamfanyia suprise. Jamaa siku imefika akamtumia elfu mbili 2000/=, basi demu...
Mzunguko wa elimu Africa:
1- Wale wanafunzi wanaoongoza shuleni hupelekwa kwenye engineering na medical schools huku
2- Wale waliokuwa wa wa pili wanachukua zao MBA na LLB na kuja kuwa mameneja...
Ndugu zangu wa TZ .Nachukua fursa hii kutoa salamu kwa watu wa rika zote.Najivunia kuwa mtanzania PIA napenda kuona nchi yetu inakuwa na amani pia TUDUMISHE MUUNGANO WETU.TUFANYE UCHAGUZI WA AMANI...
Ujinga ni kufuta namba ya mchumba wako wakati kichwani ulishaga inakili. Sasa basi kuanzia leo usifanye kitu kibaya kama kile.Kwanza kusalitiana ni kitu kibaya sana, mpaka inasababisha baadhi watu...
ndani ya gari inayotosha abiria wanne , mpare akiwa amepakia abiria wawili aliombwa lifti na abiria wengine wawili akakataa.
Eti anadai mafuta hayatatosha.
Inawezekana ndio kundi lenye majina mengi humu Jf.
Ni majina ya Jr ambayo yameonekana kushika kasi ya ukubwa wa wingi wao.
Hawa ni member wachache wa Jf wenye majina ya Jr. mshana jr Rene jr...
chizi mmoja alikuwa kazungukwa na watu wakimsikiliza,
chizi: mimi nashangaa kuona mtu anaibiwa nguo.
watu: sasa tufanyeje ili tusiibiwe nguo.
chizi.: ukitaka usiibiwe nguo njia ni rahisi tu...
I arrived in Dar Es Salaam safely. I traveled via Pricess Munna from Mwanza to Dar, and the journey was extremely tiring and not as exciting as i thought it would be.We left Mwanza at 6:05 in the...
Tafadhali husika na mada ya hapo juu.
Mimi ni kijana nisiezidi miaka 30 ni mwenyeji wa Zanzibar. Dhumuni la barua ni kukueleza tangu nipate kukufahamu kupitia Jf unaukosesha raha moyo wangu...
Leo nafungua thread ambayo kupitia hapa kila awezaye atatoa hoja ambayo ukiifanyia utafit ( to prove it... especially simple utafiti) utagundua kuna ukwel kuhusu hicho kitu!
Kwa kuanzia;
1...
kwa kizazi hiki cha leo imekuwa ni fashion kwa vijana kuanza testing ya kuishi kama mke na mume then baada ya kupata mimba ndipo inapowalazimisha kufunga pingu za maisha au kuvunja uhusiano kabisa...
Kwenye maisha ya uswahilini na pwani huwa kuna kashda za Pwani, kwa namna hiyo basi hapa nazungumzia Pwani kwa ujumla maneno ya waswahili wa pwani hunikosha sana na huwa kuntu tena pambee tena...
Mwalimu aliwaambia wanafunz
wajifanye ni wanajeshi
walioshirik vita ya Uganda
waandke insha isiyopungua
maneno 100 kuelezea Vita
ilivokuwa. Wakat wa kusahisha mwalimu akakuta mwanafunz
mmoja...
Ukiona umefungua topic hii ili ujifunze namna ya kutumia vocha za mitandao ya simu iliyotuka ujue wewe ni kati ya wanaopenda vya Bure ila sema haujijui tu.
So nimekusaidia ili ujijue kuwa...
NI STORI YA KWELI ILITOKEA MIAKA YA NYUMA SANA
watu walikuwa wakiangalia mwezi
mwandamo kwa ajili ya mfungo wa ramadhani,vijana kwa wazee.
mara mzee mmoja aliyekuwa anakaribia miaka mia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.