I've visited T.Z a few times recently, Arusha to be specific and I've got to admit I have lost count of the number of times I had my head turned by the beauty of your women. Kwanza them bootays...
Jana nashukuru baada ya hotuba ya Freeman Mbowe kumalizika, nilikutana na katibu CCM itikadi na uenezi, kama kawaida hakosagi neno, sambamba na utani wake kwangu, akaniuliza"
" Tumemsikia...
Baada ya kukaa bongo mzungu
alijifunza maneno matatu
JAMBO,SALAMA NA SAFI SANA. cku
moja alikutana na #mdau mmoja hivi. Ikawa hiv.
mzungu~ jambo?
Mdau~ sijambo.
mzungu~ salama...
Habari zenyu binafsi,
Jamani naomba kufahamu jinsi ya kutengeneza gongo
Iwe ni ile ya au ya ndizi, au ya zabibu. Maadamu iwe gongo.
Natanguliza shukrani
CL
Kijana Mmoja alifungwa jela miaka 7, baada ya miaka miwili 2 baba yake alimwandikia barua,
'MWANANGU MPENDWA UMENIACHA KATIKA HALI YA UMASIKINI NA MARADHI YANASUMBUA NATAMANI HATA UNGEKUEPO...
Jamaaa kapoteza mali zoote na akawa masikini wa kutupwa sababu ya ulevi. Siku moja akapita karibu na dampo na kuona chupa za bia..Kwa hasira akachukua ya kwanza na kuipasua akisema " kwa sababu...
Najua ni moja kati ya matangazo yenye mvuto sana....lile tangazo la NDOOOOROBOO...nimefatilia nikagundua hawakua makini katika utengenezaji wake....anapokuja jamaa anauliza body spray anaambiwa...
Wengi wa age go katika jukwaa letu pendwa hili la Chit Chat tumepoteaaa.
Wito wa dereva tajwa hapo juu ni kwamba niwaombe wadau wote kurudi hapa jukwaani. Wafuata wametakiwa kurudi immediately...
Habari za kutwa pipoz,
Poleni na majukumu ya kutwa mzima, najua watu wako busy huku na kule kati ya team Lowasa na team CCM bin Magufuli, hii unaitwa endless movie hadi October 25, 2015 na pale...
Wakuu,
Watu wengi ufunga ndoa bar pasipo kujitambua,ukienda bar ukapata msichana changudoa au mhudumu, utaanza kufunga nae ndoa kama ifuatavyo!
Bia ya kwanza utakayo mnunulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.