Caroline Kiyoki: Niaje James?
James: Poa Caro, za Kenya?
Caroline Kiyoki: poa. You are lost au uko kwa campaign ya Tz?
James: hapana,
Caroline Kiyoki: Ati nikuulize kitu?
James: Yap...
Kila uwanja wa mpira wa miguu (hasa viwanja vya wazi) unakuwa na njia katikati kutokea kona moja hadi nyingine (kama diagonal)......karibia viwanja vyoote.....hivi sababu ya hii kitu ni nini...
Kwa mda mrefu sana nimefuatilia uelewa wa watu (wa tz) na ushiriki wao katika habari mbali mbali zitupiwazo katika mitandao ya jamii kwa kweli ni muamko mzuri, kama utatumika vizuri kuweka mbali...
Habari jf,
Nimetoka kupima hatua/mita 200 kutoka kituo changu cha kupiga kura nimekuta zinaishia sokoni nimefurahi sana kwa maana hapo nitakaa kulinda kura na eneo hilo huku biashara zinaendelea...
BREAKING NEWS:
LEO Mama mmoja alikuwa anafanya
usafi chumbani
akakuta kisanduku chini ya uvungu.
Alipokifungua
akakuta mayai 5 na shilingi milioni 1. Aliporudi mumewe akamuuliza,
"Kisanduku...
RATIBA YANGU 25/10/2015
1. Naamka saa 11 asubuhi, nawaombea wote waliokomboa nchi hii toka kwa wakoloni na waliokomboa nchi hii kutoka kwa mvamizi Nduli Idd Amin ambao leo hii wanaonekana...
1. Naamka mapema sana
2. Nakunywa juice ya ukwaju kupata hasira
3. Naangalia picha kadhaa za wamama wamelala zahanati wanne wanne
4. Naangalia picha ya mwangosi
5. Nakunywa tena juice ya...
Ndugu zangu kubeba nauli kamili nayo ni shida, yani nimepanda daladala Kondakta mmoja akaingia kwenye gari amevaa suti za blue za daladala na miwani Kisha akakusanya pesa gari Zima alafu akakaa...
siku moja Abunuas kamkodishia muhindi moja vyumba kwenye ghorofa yake ila yeye anakaa chin muhind juu.sasa abunuas akataka kuuza ile ghorofa muhind akakubal kununua juu tu na hivyo abunuas...
Ivi hii ni kwa wanaume wote au mimi yaan kila ninayetaka kua naye kama mpenzi ata wiki haishi ataniomba kodi ya nyumba.
Sa sijui nina nyota ya nyumba au hii ndio habar ya mjini kwa sasa...
Hello!
Naomba kujua, hata wanaume wenzangu mnaweza kunisaidia. Kijana unampigia simu binti (aweza kuwa mpenzi ama rafiki yako), anachelewa kuipokea simu, unapiga mara ya mwisho baadae...
Leo ni siku ya tatu hawakati umeme, siwaelewi hawa TANESCO hata kidogo! Mitambo ya tera ishazimwa navya Kidatu within 24 hrs itazimwa pia, ila umeme hamkati. Hebu kuweni wachapakazi, do your part...
KUNA KOO ZIMEJIWEKEA "UFALME" WA KUWATAWALA WATZ NA NYIE MMEFENYWA "WATUMWA" WAO..
1.Mtoto wa Kikwete anagombea
2.Mtoto wa Mavunde anagombea
3.Mtoto wa Warioba anagombea
4.Mtoto wa Sitta...
wakuu naombeni msaada wa kupata hirizi ya simba hili niimeze na nipate nguvu kama za simba na uwezo wa kumpambana na wanaume 40.
kwa sababu kuna wajamaa fulani wamenizingua hapa mtaani sasa...
Sio kama nalalamika...
Dah!! Kuna kamtindo kamezuka humu ndani baadhi ya warembo kuzibana PM zao! Nimeongea na baadhi na wanadai wanakwepa usumbufu, sasa kwani kila usumbufu lazma muujibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.