Mume: Mke wangu kuna kitu nataka kukwambia? Mke: Kitu gani? Mume: Nataka kuoa mke wa pili. Mke: Unasemaje we mwanaharamu?!
Tehe tehe tehe kilichoendelea mi sijui!
jamaa mmoja kavamia semina ya wasomi iliyofanyika ubungo plaza jumamosi iliyopita,waliohudhuria wakaanza kujitambulisha
wa 1;naitwa anna toka sua nasoma agriculture science mwaka wa kwanza
wa...
Jana kuna dada mmoja nilikutanishwa nae ili nikamuonyeshe mzigo flani anahitaji. Nikampigia simu akasema niko sehemu flani nimfate na nikafanya hivo.
Kufika tu Hatujuani, ndio tunaelekea sehemu...
Nimekuwa nikiona watu mbalimbali wanafanya hizi sherehe za kuzaliwa wanamwagiwa maji wanaloa tepe tepe ipo siku mtaua mtu na huo ushamba wenu, kwanza sherehe gani hiyo ya kumwagiana maji kiasi...
Slogan au our motto:
Inaweza kuwa ni mara ya kwanza au si kitu kipya humu jamvini lakini nimejaribu kukumbuka mbali kuhusu kaulimbiu hizi wakati wa sekondari shule niliosoma mimi kaulimbiu...
Mapenzi ya Kibongo ni ya aina yake duniani, yaani hakuna pa kulinganisha, hivyo nimeona leo nitoe somo ili kuwasaidia vijana na wazee, wake kwa waume namna ya kuishi kwa furaha katika mapenzi ya...
Kama Unaweza Kudhani Najikomba kwa mods USHINDWE VIBAYA KWA JINA LANGU
Waswahili husema usione vyaelea vimeundwa na chanda chema huvikwa pete
hongereni sana kwa muundo mpya
niwe wazi kwamba na...
Mama mmoja mjamzito jirani yetu hapa alikaa jikoni na mtoto wake. Bahati mbaya akajisahau akakaa vibaya mtoto akaona m*vuzi akaropoka, "Mama safari hii utazaa dume." Mama yake akauliza, "Kwanini...
Kijana mmoja aliyefikia umri wa kubalehe alikuwa
analala chumba kimoja na
house girl. Chumbani kulikuwa
na kitanda cha double decker, kijana analala chini house girl
analala juu basi kijana kwa...
Wakati natoka mazoezini nimekutana na dada mmoja nikamsalimia, "Dada habari?" Akanijibu, "Unikome mi mke wa mtu." Nikamwambia, "Sawaa." Nikaondoka zangu hata sijafika mbali nikastuka yule dada...
Jana kulikuwa na sinema ya bure humu JF. Mkuu Simiyu Yetu aliweka bandiko lake kwenye Jukwaa la Siasa akidai kuwa yuko Arusha na ametafiti jambo. Ametafiti na kujua kuwa Lowassa hakubaliki Arusha...
Salaam wakuu...
JF ina majukwaa mengi, zaidi ya kumi. Hivi ni jukwaa gani haujawai hata siku moja kulifungua na hata kusoma post zake? Hapa namaanisha haulielewagi...
Heri ya mwaka mpya wanachichat wote.
Namshukuru sana Mungu kunifikisha hapa kwa sababu leo miaka dazani kadhaa iliyopita nilizaliwa.
Thanks God, today is my birthday!
Kwa wale WANAOJITEGEMEA na wamepanga Nyumba au chumba, hivi huwa unajisikiaje pale tarehe za kulipa kodi zinapokaribia na huna kitu mfukoni na ukifikiria mwenye nyumba ni BANDIDU, au hata kama...
Msamaha wa kweli unahitaji Neema ya Mungu. Sikiliza hii,
Kuna jamaa mmoja na Mkewe walikuwa wanasafiri kuelekea Italia kwa safari ya kibiashara kwa ndege. Wakiwa angani likatoka tangazo kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.