Wakuu heshima zenu,
Kuna mambo watu wanafanya kutafuta SIFA au kufurahisha watu wengine,lakini ukichunguza vizuri ni upuuzi mtupu,hebu nikushirikishe baadhi ya mambo/tabia ambazo ni SIFA ZA...
Huyu jamaa anaitwa Ally a.k.a Pwiru au 50 Cent.. Huyu jamaa ndiye aliyenipa jina la Mreno akiwa katika hali hiyo hiyo kama anavyoonekana kutokana na uwezo wangu wa kupachika mabao. Jina likapata...
Are you a Tanzanian aged between 25yrs-44yrs?
Are you a holder of a Bachelor's degree in any field related to Finance, Statistics, Economics, Commerce, Humanities, Social Sciences, Administration...
Wiki iliyopita nilifika Dar kumsalimia kaka yangu kipenzi ambaye tangu amalize masomo chuo kikuu Dar alipata kazi na kuoa huko huko msomi mwezake.
Nilifika usiku Ubungo na kupokelewa kwa furaha...
*Baada ya padri kufungisha ndoa ya mashoga,akawa anashindwa kuwaambia kwamba kuanzia sasa nyinyi ni mke na mume.Akafikiriaa kisha ikabidi aseme kuanzia sasa nyinyi ni MAN UNITED* [emoji23]...
Hivi Savanna na St anna si vinywaji ambavyo vimeingia juzi juzi tu hapa bongo.
Lakini mtu a
nakunywaaaa kama soda ya coca vile..
Mbona hawa watoto wa kike wanakomoa...
Alianza Zakayo sasa ni Messi.
Jamani sitaki Hili lichukuliwe kwa uzito mkubwa, kuna ajenda.
Mwakifuna wa Mbeya miaka ya 80 nae pia tunamjumuisha hapa.
Usilete kashfa, tuijadili hoja.
Kuna jamaa rafiki yangu nilimtembelea kwake nikamkuta amebanika maji ya kusongea ugali yana chenka pembebi kuna unga na mwiko alivyoniona uwezi amini aliyapooza Yale maji akaenda kuyaoga.....
Wakuu ni j!tatu ingine iliotulivu poleni na mishughhuliko ya kutafuta ridhki!!hv inakuwaje mtu uko uwanjani tena unacheza mpira alafu gafla unasikia mkojo tena unatoka kabisa nje ya uwanja na tena...
Pole na kazi wana j.f mi mwenzenu cjui niseme ni mawenge yangu au maluweluwe au ndo uchizi au ni msongo wa mawazo..twende kwenye uzi!!hv inakuwaje mtu unapita sehemu ambaya hujulikani kabisa tena...
Tangu Jana asubuhi nikutane na maajabu haya hadi sasa nashindwa kupata jibu nimeona niweke hapa ili tushangae wote haijawahi kutokea sisimizi wajazane kwenye chumvi na kuacha huru sukari iliyopo...
Hua sipendi tabia ya uzi kichwa cha habari ni kiswahili alafu uzi ni kingereza..
Hia sipendi mtu anaomba ushuri watu wanamjibu ndivyo sivyo....
Hua sipendi mtu anaandika uzi kiswahili anajibiwa...
nasikia sikia tu wanaume wa dar wanaume wa dar kwani wanamatatizo gn?? Mbona sisi wanaume wa shinyanga hatu zungumziwi????
embu nipeni reason why? wanaume wa Dar?
Kwanza mniwie radhi iwapo hii kitu iliwahi kuwekwa tayari kwenye hili jamvi.
Pili uzi huu hauna lengo la kudhalilisha jinsia yeyote.
Yafuatayo ni badhi ya maneno yanayodaiwa yaliwahi kutamkwa na...
Mume na mke wapo kwenye ndoa ambayo hakuna mawasiliano ndani. Kila mtu anafanya lake. Lakini wenyewe bado wanajiita mke na mume wakiwa nje.
Siku moja mume alienda kanisa mke hakwenda. Aliporudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.