Wandugu,
Thread hii ni mahususi kwa chochote unachokumbuka enzi unasoma shule ya msingi.
Mimi binafsi nakumbuka enzi zile nasoma Issale primary school kule wilayani Mbulu miaka ya 1986-1991...
1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992.
2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka...
Kila jukwaa lina watu ambao wanakuwa ni members ‘zaidi ya wengine' tokana na mapenzi ya kila member. Katika majukwaa yote hili la CC limekithiri tabia za uchochezi na undumilakuwili kwa...
~ Got chased by the headteacher and deputy head. A whole crowd of us in school uniform were in one area our school had forbidden to enter, otherwise could result in expulsion. Only 2 were caught...
Muulize mshawishi wake mkubwa ni nani?
Akikwambia nandy, agnes masugange, Wema sepetu
Huyo ni mwanamke anaye penda mambo ya juu!
Akisema mama uyo ni wakupeleka home kabisa ukaonane na wazazi wake๐๐๐
Nampongeza sana Rais kwa kuishinda Vita dhidi ya Coronavirus COVID-19, pia nampongeza sana Paul Makonda Mkuu wetu wa mkoa wa kihistoria kutokea tangu tupate Uhuru.
Jumapili ni siku rasmi ya...
*Faida za kudate na o-level students*
1:they are not time consuming
2:they are still young in everything
3:they can never fight against you
4:easy to control their maind
5:everytime they call yo...
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi, kwenda kufungua mlangoโจakamkuta jamaa kalewa sana akiwa kasimama mlangoni kwaoโจ
JAMAA: Nini tena...
โI am Henry Ford, whatever I donโt wearโ
Once, when he was already a billionaire, Henry Ford came to England on business. At the airport information desk, he asked about the cheapest hotel in...
Pasipo kujali umri wako,
Una watoto wangapi,
Kuna watangulizi wangapi,
Una komwe,
Nakuhakikishia, unatembea na nusu ya moyo wangu, fanya hima nipate ukombozi๐น๐๐
Habari za Saizi WanaJF
Katka Kuchakarka na maisha kuzisaka dinero, Kipindi hiki cha Holy Jiwe ambapo kwa wafanyabiashara wadogo kam mimi zmekuwa mbali sana kuzpata mpaka uwe na visa aisee.
Asa...
Ni mwezi sasa nikiwa Lupango,Isanga jana nimerudi nimepgwa butwaa my wife ana kilambo cha udongo wa pemba,limao za kutosha.chini ya Meza kuna kifuu cha kutemea mate..
Hiyo kitu sijui ni yangu...
Kabla ya kupanda kilimani kwa ajili ya sala,yesu aliwaambia mitume wake wabebe jiwe moja moja kisha wapande nalo mpaka juu kilimani.Mitume walibeba mawe ya ukubwa mbali mbali isipokuwa Yuda.Yuda...
>> Dem Wako Kaenda Kukutambulisha Kwao, Kufika Getini Kwao Unamkuta Dada Ake Ambae Ni Dem Wako Wa Zamani, Kidogo Unamuona Kaka Ake Ulipigana Nae Kwa Sababu Alikufumania Na Demu Wake,, Ulipoangalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.