JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
  • Sticky
  • Redirect
Jamani hapa bongo utakutana na daladala zina majina kiboko,mimi natupia baadhi nawe tupia yako hapo chini. 1. Majungu mliyoyapika sasa mtayapakua 2. Nenda kaseme tena 3. Gusa unate 4. Flag ya...
79 Reactions
Replies
Views
  • Closed
  • Sticky
Kila jukwaa lina watu ambao wanakuwa ni members ‘zaidi ya wengine' tokana na mapenzi ya kila member. Katika majukwaa yote hili la CC limekithiri tabia za uchochezi na undumilakuwili kwa...
112 Reactions
91 Replies
79K Views
  • Sticky
1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992. 2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka...
91 Reactions
2K Replies
401K Views
  • Sticky
Wandugu, Thread hii ni mahususi kwa chochote unachokumbuka enzi unasoma shule ya msingi. Mimi binafsi nakumbuka enzi zile nasoma Issale primary school kule wilayani Mbulu miaka ya 1986-1991...
12 Reactions
419 Replies
76K Views
  • Sticky
~ Got chased by the headteacher and deputy head. A whole crowd of us in school uniform were in one area our school had forbidden to enter, otherwise could result in expulsion. Only 2 were caught...
48 Reactions
697 Replies
171K Views
Je huyo uliyeoana naye ndio wa ndoto zako ? Eti mkuu? Au tukuache kwanza?
0 Reactions
2 Replies
48 Views
Ni lipi jukwaa ambalo limekupa somo au shule ya maana, ushauri, maarifa, ufahamu na uelewa kutosha au kukukwamua juu ya masuala mbalimbali ya maisha, kisiasa, kiuchumi, kijamii, kitaifa na kimataifa?
4 Reactions
43 Replies
473 Views
GARDEN BOY IMPREGNATES THREE BIOLOGICAL SISTERS. According to reports, the Kenyan parents to the girls kept their daughters indoors and could not allow them to mingle with friends. The gardern...
0 Reactions
0 Replies
29 Views
Mimi naona kikubwa kazi iwe inakulipa na kukuwezesha kumudu maisha yako tu inatosha wajameni au sio
2 Reactions
7 Replies
88 Views
Tulimaliza robo mwaka March, zile resolution zako ulizosema mwanzoni mwa mwaka utafanya hiki na kile, Mpaka sasa umefanya nini? Umeaccomplish mikakati yako? Mimi nilisema nitafanya savings, ila...
8 Reactions
71 Replies
542 Views
Miaka 30 ni mingi sana kukaa hapa duniani sio tu kukaa nyumbani, inabidi uwe umesha leta impact. Kuna watu kabla ya hiyo miaka walishafanya makubwa sana hadi sasa bado wanakumbukwa kwenye...
13 Reactions
48 Replies
1K Views
Nauliza tu wazee, Nimecheki kwangu CRDB naona maluelue tu hamna fedha. Vipi kwenu tayari?
1 Reactions
8 Replies
151 Views
Kulikuwa kuna haja gani ya kuweka picha ya mwanamke mweny matrako makubwa kweny tangazo la mikopo. Hadi matangazo ya mikopo yanakuwa sexualized🔥🔥
3 Reactions
7 Replies
176 Views
Bila kupoteza muda ladies leo zamu yenu, hebu mtaje member wa kiume unayevutiwa naye… unaona kabisa huyu yupo kumtima. Na liwalo na liwe namtaja. Wanaume tulieni muone mnavyopendwa na ukitajwa...
21 Reactions
2K Replies
13K Views
Unapoingia mlangoni na kuufunga mlango, ni sawa na kuingia kaburini na kujifukia. Ndio maana asili ya viumbe hai, iwe wanyama n.k hawana nyumba zaidi ya kukaa na kuishi sehemu za wazi, na mwisho...
9 Reactions
47 Replies
608 Views
Hivi hii kauli na agizo huwa unalichukuliaje na unajisikiaje!? Unapoongea na mtu kwenye simu kisha anakupa hilo agizo.
7 Reactions
37 Replies
1K Views
Nategemea kutembelea mji wa Kigoma mwanzoni mwa mwezi wa tano mwaka huu. Kwa mwenye uzoefu na mji wa Kigoma, naomba kufahamishwa sehemu nzuri ya kufikia na maeneo ya kutembelea kwa wiki tatu...
1 Reactions
5 Replies
151 Views
Kutoka Guinea, mwamba mwenyewe Grand P amevuta kifaa cha nchi jirani mwenye umbo namba nane. Pesa inaongea na haijawahi shindwa 👇👇
3 Reactions
27 Replies
633 Views
Hi! Kinywaji niliwahi ipenda sana, hasa nikiwa na drive safari ndefu. Majuzi nikajaribu kuulizia mkata hola yale ma hotel barabaran hola. Nikaenda Liverpool, hii, wakasema atuuxi pombe, nikasema...
0 Reactions
4 Replies
162 Views
Uturuki itakuja kununua nguo Tanzania. Made in Tanzania. Watazigombania nguo za Made in Tanzania Ukiwa Uturuki tu utasikia "dont want if not Made in TanzaniA" Mmesikiaa wanangu?
0 Reactions
2 Replies
63 Views
Kwa umri uliofika. 1. Kama una miaka 30s Kuwa bilionea sahau/Waza mambo mengine. 2. Kama una 30s na hauko na hujawai kuingia kwene siasa bas we huwezi kuwa Rais hadi unakufa. 3.Wewe siyo Super...
8 Reactions
48 Replies
594 Views
Asalaam ndugu zangu, Hakika natumaini ya kuwa wote nyie ni wazima wa Afya baada ya mihangaiko ya week nzima. Anyways, niende moja kwa moja kwenye mada, Jumapili ya leo tarehe 21/4/2024 una enjoy...
1 Reactions
0 Replies
38 Views
  • Redirect
Mm nahitaji kumzaba Kofi Olomide shabiki yoyote wa Uto, maana wanasumbua sana kitaaa. Wewe je?
5 Reactions
Replies
Views
Mm nahitaji kumzaba Kofi Olomide shabiki yoyote wa Uto, maana wanasumbua sana kitaaa Tiririka Mkuu.....
6 Reactions
82 Replies
877 Views
  • Redirect
Kundi la maprofesa waliitwa kupanda ndege. Milango ilipofungwa maprofesa walifahamishwa kuwa ndege hiyo imetengenezwa na wanafunzi wao. Maprofesa wote wakakimbilia kwenye mlango wa ndege wakiomba...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom