Mahitaji
Ute wa Mayai 6
Sukari 4 dl
Unga wa maizena(corn flour)vijiko viwili vya chai
Siki vijiko viwili vya chai
Vanilla(harufu) kijiko kimoja cha chai
Dobble cream boksi moja
Matunda ya aina...
LEMON ice-cream
viungo
2 spoon lemon peel kubwa
1 x kikombe (240 ml) nzima maziwa
1 x kikombe (gramu 140) kuchapwa cream
½ x kikombe (gramu 140) sukari
½ x kikombe (240 ml) maji ya limau...
Mahitaji
Kuku wa kienyeji 1
Nyanya mbili zilizomenywa na kukatwakatwa
Kitunguu maji kikubwa kimoja kilichomenywa na kukatwa
Nyanya ya kibati vijiko viwili vya supu
Kitunguu swaumu kijiko...
Wapendwa..amani iwe juu yenu!!
I hope u have a great weekend.
Unga wa mchele glass 2 na nusu
Maziwa glass 2
Sukari vijiko 10 vya kulia
Iliki vijiko 2
Hamira vijiko 2
Yai 1
Jinsi ya kutayarisha...
Viburudisho vya mdomo!
Vitangulizio " Matango na cheese nyeupe"
Maandalizi yake ni madogo(machache)
1 tango moja/mbili ; waikata slices kwa urefu
vipande vya mkate mweupe
Mayonase vijiko 2/3...
Habari,
Jamani mwenzenu naomba kujuzwa nifanyeje ili ninapo pika mchuzi uwe mzito, na kuwa wa rangi iliyokooza, inakaribia black. msaada please
Unataka uzito wa kiasi gani?
Anyway weka karai...
Habari Zenu.
Mwenye ujuzi wa hicho chakula.
Tafadhwali.
Siku njemaaa.
How to Cook a Chicken Curry in Ten Minutes
Ingredients
3 tablespoons (45 mL) of olive oil
an onion (medium)
14 oz (400...
Wadau,
Ni muhimu unapoandaa maji ya kunywa kuzingatia usafi katika zoezi hilo. Usafi wa mazingira, chombo utakachochemshia na chombo utakacho hifadhia.
1. Hakikisha jiko unalochemshia lina...
Leo tumetumiwa mahitaji ya kutengeneza Chatini ya karoti, nazi na vitunguu. Hatukuelezewa hatua za kuipika hii chatini mpaka itokee kama picha ilivyotumwa, naamini mdau alikutana nayo sehemu...
Wapendwa za wk end? I hope all is well.
Mahitaji
Maziwa ya unga (vijiko 6 vya chai)
Unga (vijiko 4 vya chakula)
Mayai 4
Mafuta Robo kikombe
Sukari kikombe kimoja (unaweza kupunguza kidogo km...
Mahitaji ya shira(syrup)
1)Sukari kikombe 1
2)maji kikombe kasoro
3)hiliki kiasi
4)zafarani (saffron) au arki ya rose...
Mahitaji ya mkate
1)Unga wa ngano vikombe 3.5
2)mayai 2
3)maziwa ya unga...
Wakuu samahani kwa anajua atujuze maana mf ukipita kwenye migahawa ya wahindi utakuta wana chachandu ya nazi nafikiri huwa wanachanganya na ndim na pilipili lakin mie nimejaribu sipati same taste...
Katika makala iliyopita Nilifundisha namna ya kupoa asidi iletayo kiungulia kwenye maharage,na tuliona kwamba huwezi kutoa asidi(phytic)yote kwenye maharage ila unaweza kuipunguza kwa kiasi...
Mahitaji
Viazi ulaya 4 vya wastani
Hoho jekundu 1/2
Hoho la njano 1/2
Hoho la kiajani 1/2
Njegere 1 kikombe cha chai
Carrot 1 kubwa
Broccoli kidogo
Cauliflower kidogo
Kitunguu 1
Nyanya 1/2 kopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.