Naombeni recipe ya chapati nzuri na tamu za kukanda.
Nataka huu uwe mlo wa leo nyumbani kwangu.
Pia ningefurah zaidi kama ukinipatia na mboga gani niitumie kwenye huo mlo. Binafsi nilipanga...
Huko mjini mnaita popukoni, ni kazi rahisi sana.
Chambua mahindi yako kutoa visivyohitajika hasa pumba ambazo zikiungua huweka weusi kwenye sufuria. baada ya hapo weka sufuria motoni na weka...
Mahitaji
Mchele nusu kilo
Karot 1 kubwa (ipare vizuri)
Nyanya 3 kubwa
Vitunguu maji viwili (ukubwa kiasi)
Bizari ya pilau, curry powder, binzari ya njano na mdalasini 1/2...
Kuna sehemu nililiona ili pishi nikajaribu kulipika aisee ni tamu asikwambie mtu, hii ni kwa wale wenzangu na mimi wanaopenda kujaribu jaribu mapishiii.
MAHITAJI
1...
Mahitaji
Ute wa Mayai 6
Sukari 4 dl
Unga wa maizena(corn flour)vijiko viwili vya chai
Siki vijiko viwili vya chai
Vanilla(harufu) kijiko kimoja cha chai
Dobble cream boksi moja
Matunda ya aina...
LEMON ice-cream
viungo
2 spoon lemon peel kubwa
1 x kikombe (240 ml) nzima maziwa
1 x kikombe (gramu 140) kuchapwa cream
½ x kikombe (gramu 140) sukari
½ x kikombe (240 ml) maji ya limau...
Mahitaji
Kuku wa kienyeji 1
Nyanya mbili zilizomenywa na kukatwakatwa
Kitunguu maji kikubwa kimoja kilichomenywa na kukatwa
Nyanya ya kibati vijiko viwili vya supu
Kitunguu swaumu kijiko...
Wapendwa..amani iwe juu yenu!!
I hope u have a great weekend.
Unga wa mchele glass 2 na nusu
Maziwa glass 2
Sukari vijiko 10 vya kulia
Iliki vijiko 2
Hamira vijiko 2
Yai 1
Jinsi ya kutayarisha...
Viburudisho vya mdomo!
Vitangulizio " Matango na cheese nyeupe"
Maandalizi yake ni madogo(machache)
1 tango moja/mbili ; waikata slices kwa urefu
vipande vya mkate mweupe
Mayonase vijiko 2/3...
Habari,
Jamani mwenzenu naomba kujuzwa nifanyeje ili ninapo pika mchuzi uwe mzito, na kuwa wa rangi iliyokooza, inakaribia black. msaada please
Unataka uzito wa kiasi gani?
Anyway weka karai...
Habari Zenu.
Mwenye ujuzi wa hicho chakula.
Tafadhwali.
Siku njemaaa.
How to Cook a Chicken Curry in Ten Minutes
Ingredients
3 tablespoons (45 mL) of olive oil
an onion (medium)
14 oz (400...
Wadau,
Ni muhimu unapoandaa maji ya kunywa kuzingatia usafi katika zoezi hilo. Usafi wa mazingira, chombo utakachochemshia na chombo utakacho hifadhia.
1. Hakikisha jiko unalochemshia lina...
Leo tumetumiwa mahitaji ya kutengeneza Chatini ya karoti, nazi na vitunguu. Hatukuelezewa hatua za kuipika hii chatini mpaka itokee kama picha ilivyotumwa, naamini mdau alikutana nayo sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.