Mahitaji
Unga kg 1 na robo
Chumvi kiasi
Samli vijiko 6 vya kulia......vijaze
Mafuta vijiko 5....
Maji ya baridi (yaliowekwa kwa friji).....
Namna ya kutaarisha.....
Weka unga katika...
Tumia njia hii rahisi na salama kusafisha microwave yako
Mahitaji
Microwave safe bowl
Limau 1
Maji nusu kikombe
Kitambaa safi
Namna ya kusafisha
Weka maji katika bakuli na kamulia limau...
Mahitaji
1)sukari (granulated sugar) 1cup
2) mayai 4
3)maziwa kikombe 1
4)mafuta ya kupikia(vegetable,corn au canola) kikombe 1
5)unga wa ngano 2 cups
6)1/3 vanilla ya unga au arki ya vanilla...
Za saa hizi,
Hamna ubuge ninaoupenda kama sukari guru,ulaini laini wake kama keki na sukari tu,taaaaamu! Kibaya huku kwetu zinapatikana kwa nadra sana kwa msimu.
Napenda kuzipika mwenyewe kila...
Msaaada wana JF.
Mimi ni mpishi mzuri tu wa cake.
Sasa next week nina birthday ya binamu yangu.
Nilitaka nimpikie cake mwenyewe bt niipeleke sehemu ikapambwe (kuchorwa).
Kwa wanaojua ni...
Nikiwa mjini Tanga STIMA ni chakula maarufu sana mjini hapo, ni tamu sana na watu wengi hulisifia sana, unapata STIMA ya kuku, mbuzi au ng'ombe.
Sasa mimi natamani sana kujua namna ta kulipika...
Jinsi ya kutengeneza fruit salad ya nanasi, machungwa na maembe
Mahitaji
4 vikombe vya mananasi yaliyomenywa na kukatwa vipande vidogo vidogo
2 machungwa yaliyomenywa na kukatwa vipande...
Mahitaji
Unga kg 1
Sukari kiasi
Hiliki
Baking powder 1tea spoon
Hamira 1table spoon
Tui la nazi au maziwa
Samli 3 table spoon
Siagi 3 table spoon
Yai 1
Mafuta ya kupikia
Namna ya kutaarisha...
One of the pleasures of travel is getting to sample the local cuisine.
But would you tuck in to a developing duck embryo straight from the egg in southeast Asia? Or sip fermented mare's milk in...
Habari ni ndugu,
Natafuta mwalimu wa kunifundisha upambaji wa keki ili nijiajiri.
NinaujuzI huo ila nahitaji kujua hiyo sana. Natak kujua sana na ntalipa kwa ajili ya hilo.
Nipo DSM please...
Wengi ni wapishi lakini theory ya upish huu hatujui, mimi nitaanza kutoa elimu basics za culinary arts. Leo ni hiyo juu
1. Herbs ni mimea iwe imekauka au mibichi jitumika kwenye vyakula kupika au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.