Hi guys
Wakuu mimi natatizwa sana na hizo sehemu na tofauti zake sijazijua bado Motel, Hotel,Restaurant na Cafee ipi ndio ipi na kipi ndio kipi kwa sifa gani mahali gani na kivipi naombeni...
Habari wana Jf...
Nimepokea suggestion pm kuhusu utengenezaji wa crisps za viazi
MALIGHAFI
1.VIAZI MBATATA KIASI
2.CHUMVI
3.MAFUTA YAKUPIKIA YA MAJI
4.MASHINE YA KUPARUZIA KAROTI
NAMNA YA...
habari za majukumu wana jf
Naomba msaada wa kutengeneza kachumbari
nina viungo hivi; nyanya, kitunguu maji, karroti, pilipili hoho, limao
naomba muongozo wa jinsi ya kuandaa kama kutakua na...
Wakuu naomba munisaidie ..nataka kujua namna ya kitengeneza au kupika pilipili ya kutoelea mishikaki..kwani napenda sana kuchoma mishikaki but testi ya pilipili sijui kuifanya..msaada please
Kwanza, unahitaji viazi, mayai na vitunguu maji.
Pili, weka maji madogo katika bakuli moja kubwa, ondoa ngazi ya viaz na kuzikata ziwe chips, halafu unatakiwa kuviweka katika bakuli lenye maji...
Wakuu karibuni tujadiliane hapa hivi aliyebuni kuvaa vile vikofia ni nani ............. na lengo lake la kuvaa vile vikofia ni nini ......... na kwanini ni rangi nyeupe tu ???
karibuni...
Hivi karibuni, mji wa Chengdu, ambao ni mji mkuu wa mkoa wa Sichuan uliidhinishwa kujiunga na mfumo wa miji yenye wazo la uvumbuzi wa shirika la elimu, sayansi na utamaduni wa Umoja wa Mataifa, na...
Habari ya mchana wakuu nmekua na wazo la kutengeneza pilipili yenyewe ladha tofauti na chili source ambayo ndo kidogo imezoeleka kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya naona kidogo chillsource...
Habarini wana-JF.
Nazani Leo ndo first day fact ya SWAUM RAMADHANI KWA WAISLAMU DUNIANI KOTE.
UNAZANI NI CHAKULA GANI UNACHOPENDELEAGA KUFUTURU JIONI?
TUMWOMBE MOLA TUWE WENYE KUMALIZA SWAUMU...
Sabakher Wadau;
Baada ya kuona Maujuz Mbali Mbali Ya Mapish Humu Na Mim Nimeona Mapish Matamu Ya Panya Almaarufu Kama Mbuku.
Panya Anaweza Kutumiwa Kama Kitoweo! Au Roast.
MAHITAJI;
Panya Saiz Ya...
Pilipili hoho ni kiungo muhimu sana cha mboga na salad na wengine hula zikiwa mbichi.
Lakini je wajua kuwa ziko za kike na za kiume na je wajua utumie vipi aina hizi mbili ili kupata matokeo ya...
KACHORI :
Mahitaji :
Viazi 1/2 kilo
Kotmiri ilokatwa katwa
Pilipili ya kijani 1 ilokatwa ndogo ndogo
Chumvi
Garam Masala kjk 1 cha chai
Manjano ya unga 1/2 kjk cha chai
Sukari kjk 1 cha chai...
Mahitaji
Unga wa ngano 250g
Butter 250g
Mayai 9
Baking powder kijiko cha chai 1
Kuku wa kusaga 2 cups
Chumvi kijiko cha chai 1
Sukari 1/3 cup
Kungu manga 1/2 kijiko cha chai (sio lazima)
Mdalasini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.