Wapendwa wana Jf,
Naomba mnisaidie jinsi ya kuandaa kachumbari.
Nimeandaa pilau moja matata sana ila natakiwa kuandaa na kachumbari pembeni. Nime-google lakini kuna lugha inatumika kwenye blogs...
Wadau samahani, Yani kila siku napojaribu kupika maharage ile natoka na kurudi ndani nakuta nyumba imejaa moshi vitu vimeungua sana. Yani hivi mnafanyaje fanyaje wakuu!
Nimechoka kula mama ntilie...
Heshima kweny wakuu,
Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.
Naomba msaada;
Ni hatua...
Jamani, nimejaribu mara kadhaa kupika ugali kwa kutumia sufuria mpya, mara zote ninatoa ugali wa ajabu, na mimi ni mzoefu wa kupika ugali. Nikishapikia chakula kingine na kupikia tena ugali sufia...
salamu kwenu ndugu zangu wana jf!!
naomba kujuzwa sehemu ambazo naweza kujifunza mapishi bure au kwa gharama nafuu au kama kuna mtu yuko ready kujitolea nitashukuru sana na nitamuombea duaa...
1. nusu kila makorona madogodogo
2. 400grm nyama ya kusaga ukifnyanga kuwa meat ball
3.vitungu viwili
4.kikombe cha starch/unga
5.kikombe cha maziwa.....
weka kwenye oven kwa dkk 25~30
DON'TS AT THE DINING TABLE
It’s important to know the don’ts of dining around the world to avoid offending your hosts.
JAPAN You can cause quite a bit of offense when using chopsticks. Don’t...
Wakuu naomba msaada wa namna ya kutengeneza supaghett, mfano unatumia unga gani, maji kiasi gani, mayai, ama vipimo nk nisaidieni tafadhali.
Natanguliza shukrani kwa msaada wa aina yoyote.
Mahitaji
Vipapatio vya kuku kilo 1
Yai 1, pasua na vuruga
Kikombe 1 cha unga wa ngano, kwa kuweka utando (layer) juu ya kuku
Kikombe 1 cha siagi (butter)
Mahitaji ya sauce
Vijiko 3 vikubwa vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.