Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
  • Redirect
Tambi au pasta ni moja ya vyakula ninavyovipenda sana.Ni rahisi kuandaa na kuna namna nyingi sana ya kuziandaa na kuzipika. Kutokana na uandaaji au upishi tambi zinaweza kutumika kama...
2 Reactions
Replies
Views
Yafuatayo Ndiyo mahitaji ya kutengeneza nyanya chanzo. 1. Nyanya kilo 1. 2. Vitunguu maji viwili. 3. Vinegar vijiko 3 vya chai. 4. Sukari vijiko 2 vya chai. 5. Chumvi kijiko Kimoja cha chai 6...
7 Reactions
41 Replies
21K Views
Vipimo Majimbi (Eddoes) kiasi 6 au 7 Nyama ng’ombe ½ kilos Tangawizi ilosagwa 1 kijiko cha kulia Haldi (bizari manjano/turmeric) ½ kijiko cha chai Tui zito la nazi vikombe 2 Chumvi kiasi Namna...
3 Reactions
8 Replies
9K Views
Vipimo Tambi za Mchele - Pakti 1 (400 mg) Tui la nazi - Kikombe 1 Sukari - Nusu kikombe, ukipenda ongeza kidogo Maziwa ya kopo (evaporated) - Nusu kikombe Samli - Kijiko 1 cha supu Zabibu kavu - ¼...
1 Reactions
4 Replies
7K Views
Usiukimbize , bado una nafasi ya kipekee jikoni kwako. Haipendezi kukoroga juisi na vijiko vya bati au platisiki tumia miti, upawa na mwiko ndiyo marafiki zako hapa. Si jambo la kufurahia upawa...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
  • Redirect
Wataalam habari za asubuhi; natamani nijue jinsi ya kukausha nyama iwe vizuri na ladha nzuri; naombeni maujanja
1 Reactions
Replies
Views
Mchuzi huu hufaa wale wenye familia kubwa, Mahitaji: fungu moja la vibua, vitunguu, nyanya, tomato paste, limao, chumvi, oxo. Osha vibua toa utumbo na vichwa, Weka limao na chumvi...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Vipimo Boga la kiasi - nusu yake Tui zito la nazi 1 ½ gilasi Sukari ½ kikombe Hiliki ½ kijiko cha chai Namna Ya Kutayarisha Na Kupika Menya boga kisha katakata vipande vya kiasi. Weka katika...
2 Reactions
8 Replies
5K Views
  • Redirect
Habari zenu wapendwa. M nataka kujua jinsi ya kupika pilipili na nini huwekwa ili isichache na iwe na ladha nzuri
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mahitaji Tambi Maji\maziwa\tui la nazi Chumvi\sukari Mafuta ya kupikia Viungo mfano hiliki Soseji Chemsha maji\maziwa au tui la nazi kiasi jikoni weka hiliki,chumvi na sukari kidogo Chukua...
12 Reactions
Replies
Views
Salaam jamani, Kina dada na kina mama mnisaidie jamani simple futari ya makorombwezo nataka wikiendi hii niitumie vizuri.tunapata tabu sie mabachela, tunafuturu Kwa ugali . Thanks
1 Reactions
31 Replies
8K Views
Maza katoka kijijini kaja kunitembelea kaja na maboga ya kutosha namuonea huruma sijui alibebaje anyway am her little daughter hata kama nimezeeka vipi so hapa nimeona nipike soup ya boga. Kula...
10 Reactions
20 Replies
11K Views
Kwa kuwa niko single nimejikuta napenda sana kupika chakula kitamu, nikawa nimepata link moja ya group la mapishi whatsApp nikajiunga. Majaabu niliyoona ni kuwa pamoja na kuwa kundi liko hot kwa...
0 Reactions
36 Replies
8K Views
Samahani wakuu, Hivi ile mayonaiz inatengenezwa kutokana na kitu gani je ina umuhimu wowote kula kwa kuweka kwenye chips? Mimi siipendi hata kuiona.
3 Reactions
26 Replies
11K Views
Kwa miaka ishirini sasa Ndugu, Sila Sutharat amekuwa akichoma Kuku na Kitimoto kwa kutumia nguvu ya jua pekee. Ndugu huyu anasema kuwa wazo wa uchomaji wa vitoeo kwa njia ya mwanga wa jua ni wazo...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
  • Redirect
Mahitaji: -Karanga kilo moja. -Mayai 2-3 inategemea na ukubwa. -Chumvi kijiko kimoja. -Sukari kiasi unachohitaji. -Unga wa ngano robo kilo(kidogo tu). -Mafuta ya kupikia. Kuandaa: -Chukua karanga...
10 Reactions
Replies
Views
Kero yangu siku ya leo ni nyie mama ntilie, nianze kwa kudiclea interest kwamba mnatusaidia sana kutuhifadhi mjini kwa kutupatia shibe kwa bei chee, ila nimegundua mna tatizo sugu la kutoivisha...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
MAHITAJI 1.Karanga za kusagwa 2.Chumvi 3.Unga wa mlenda 4.Maji Jinsi ya kuandaa Chukua karanga zilizosagwa vizuri loweka kwenye bakuli la maji,baada ya muda anza kuzikoroga utokee uji mzito kiasi...
5 Reactions
31 Replies
13K Views
Habari zenu wakuu, naomba mwenye ufahamu wa kupika popcorn zinazokuaga na ladha ya sukari ilitupate kufahamu hapa jukwaani kwa faida ya wengi karibuni!!
1 Reactions
5 Replies
20K Views
Mahitaji 1)Karanga kg 1/4 2)Asali kijiko 1.5 cha chakula 3)Peanut oil au mafuta yeyote kijiko 1 na nusu cha chakula 4)Chumvi 1/2 kijiko cha chai (kama peanut zake hazijakua roasted na chumvi)...
2 Reactions
9 Replies
12K Views
Back
Top Bottom