Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA na Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani
Bungeni, Zitto Kabwe akiongelea kuhusu Tamasha kubwa la Usiku wa Matumaini 2013 litakalofanyika...
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa Chadema jana alizuru kaburi la Mbunge wa zamani wa Viti Maalumu-Vijana wa CCM, marehemu Amina Chifupa, katika Kijiji cha...
Daima tutawakumbuka. Pia kumbukumbu hii imkumbushe rais Kikwete kutimiza ahadi yake ya meli kubwa zaidi katika ziwa Victoria kama alivyoahidi katika kampeni.
Huyu babu alivyokuwa anawatukana polisi hadi kuwaita POLICCM, lakini leo hii ni marafiki zake wakubwa, na wanamlinda vizuri tu kutoka kwa wananchi wenye hasira. Hii yote ashukuriwe Zitto kwa nguvu...
Natumai mwanajamvi ushawaikutana na picha kati ya hizi zikitumiwa katika kutaka kukuingiza mtegon ili uweze kutapeliwa.
Kifupi tuwe makini na watu hawa na wengine wengi na stori zao za kudraft
Kwa wale wanaohitaji hii, zipo za kumwaga from Small size to XXXXL. Zapatikana katika ofisi za vijana wetu Lumumba na hata mikoani. ukihitaji uje na kitambulisho chako cha Kazi..ni bure hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.